Serikali ifuatilie semina wanazopewa Watumishi wa Umma wanaotaka kustaafu

Serikali ifuatilie semina wanazopewa Watumishi wa Umma wanaotaka kustaafu

Watalaamu wa semina hizo wapo ila hawajitokezi. Kila mtu anapaswa kushauriwa kulingana na jinsi alivyo siyo kama alivyosema Mh Mtaka anakandia kujenga nyumba
Wafanyakazi wanatakiwa kupewa hiyo elimu kila baada ya muda (at least miaka 5) ili kuwatayarisha psychologically kwamba unatakiwa ujitayarishe na mapema sana (labda kuanza miaka 30), unasave kidogo kidogo na unaanza kujenga kidogo kidogo.

Lakini ukiishia kwenye kunywa bia au mabibiz kama vijana wa humu wanavyojisifu kweli mtu utaanguka kwa pressure ukifikia kustaafu.
 
Mimi neno langu ni moja tu watumishi mnaoshikilia CCM hamtajenga nyumba kwa ujinga wenu ni hivi katiba hii inampa nafasi ya afisa elimu ,mkurugenzi,Rais na wengine kuwanyonya watumishi kwenye muda wenu,akili zenu ,inakuwaje Rais anastaafu anajengewa nyumba huku wewe polisi ,mwalimu ,mwanajeshi ,nurse,ukilia wakati wa kustaafu wakati wote ni watumishi wa umma(watu) ?Kwa nini rasilimali kubwa wale watawala ?Kwa nini kila mtumishi asipewe pesa yake ajengee hiyo nyumba? Mbona mbunge Kama raia anapewa fedha zake zote?Huyu mtumishi ni raia wa wapi?Pale kigamboni fedha za wastaafu zimeliwa Kwa kununuliwa kiwanja kimoja shs milioni mianane halafu kuna mjinga anasema wakakope yaani mtumishi akatwe miaka 12 humu akila dagaa wanaotoka funza?Sasa kuna Raha gani ya kusoma?Yaani nchi imejaa viongozi wenye Roho za mamba .Watumishi popote ulipo Tanzania pigania katiba mpya maana katiba itajenga taasisi za kusimamia maslahi na mishahara yenu iliyobora na manufaa Kwa vizazi vyenu .
 
Mimi neno langu ni moja tu watumishi mnaoshikilia CCM hamtajenga nyumba kwa ujinga wenu ni hivi katiba hii inampa nafasi ya afisa elimu ,mkurugenzi,Rais na wengine kuwanyonya watumishi kwenye muda wenu,akili zenu ,inakuwaje Rais anastaafu anajengewa nyumba huku wewe polisi ,mwalimu ,mwanajeshi ,nurse,ukilia wakati wa kustaafu wakati wote ni watumishi wa umma(watu) ?Kwa nini rasilimali kubwa wale watawala ?Kwa nini kila mtumishi asipewe pesa yake ajengee hiyo nyumba? Mbona mbunge Kama raia anapewa fedha zake zote?Huyu mtumishi ni raia wa wapi?Pale kigamboni fedha za wastaafu zimeliwa Kwa kununuliwa kiwanja kimoja shs milioni mianane halafu kuna mjinga anasema wakakope yaani mtumishi akatwe miaka 12 humu akila dagaa wanaotoka funza?Sasa kuna Raha gani ya kusoma?Yaani nchi imejaa viongozi wenye Roho za mamba .Watumishi popote ulipo Tanzania pigania katiba mpya maana katiba itajenga taasisi za kusimamia maslahi na mishahara yenu iliyobora na manufaa Kwa vizazi vyenu .
Sad indeed
 
Sasa ni kwanini usubiri kustaafu ndio ujenge nyumba za kupangisha? Kwanini usiwe unafyatua tofali hata 20 kila mwezi, kwa miaka kadhaa..,baada ya hapo unaanza kidogo kidogo
Uko sahihi

Machinga na makobda wa daladala wanajenga nyumba halafu mfanyakazi wa serikali hawezi !! Ni kituko cha mwaka
Yaani konda wa daladala na mama ntilie wana nyumba ,wauza magenge ya nyanya nk wana nyumba hslafu mfanyakaxi wa serikali hana
 
Mimi neno langu ni moja tu nini Kwa nini kila mtumishi asipewe pesa yake ajengee hiyo nyumba?
Chadema mna wafanyakazi kwenye chama chenu waajiriwa mumewapa pesa za kujenga nyumba?

Pili yaani mtu umpe mshahara ns umpe pesa za kujenga nyumba yake

Tatu hizo nyumba zote unaxoziona mijini na vijijini ni watu wamepewa pesa na serikali au waajiri binafsi wajenge?

Kuna mwingine kasema wafanyakazi hela ndogo wanasomesha ndio.masna hawajengi kisingizio cha kitoto ohh nasomesha kuna mzazi gani asiyesomesha nchi hii? .Hakuna mzazi asiye na mtoto shule mwenye umri wa kwenda shule asiyesimesha na kugharimia lakini nyumba zinajengwa na hawana kelele na mtu wawe wauza maandazi au vitumbua wanauza wanasomesha na wanajenga
 
Back
Top Bottom