Serikali ifuatilie utendaji wa uongozi wa Chuo cha Kilimo cha Sokoine (SUA)

Serikali ifuatilie utendaji wa uongozi wa Chuo cha Kilimo cha Sokoine (SUA)

Katavi university of agriculture ilijifia wapi aisee hii ccm ni laana kabisa Kwa elimu yetu
 
Niliwahi kusema huko nyuma ya kwamba course kama Rural Development si kozi za hadhi ya kufundishwa SUA, kama vipi chuo kiitwe Sokoine University tu, neno Agriculture liondolewe maana haiwezekani kozi ambazo zinaweza kufundishwa hata udom na Jordan, KIU n.k zifundishwe SUA
mkuu kwani kilimo kinafanyika mjini walioanzisha kozi walifanya utafiti kabla ya kuanzisha
 
Wakuu habari zenu hapa ndani?

Nimeandika uzi huu kwa ajili ya kusaidia maendeleo ya taifa na ustawi wa jamii kwa ujumla, hii ni kutokana na ukweli kuwa taasisi nyingi za serikali zinaendeshwa kwa utendaji mbovu, sasa leo naandika machache kuhusu chuo cha kilimo cha sokoine (SUA), kilichopo Morogoro.

1. Ndio chuo chenye umaskini wa hali ya juu, yaani ni kawaida kabisa kukuta wahadhiri wake wakilalamika kukosa pesa za kuendelezwa sababu tu chuo hakina pesa wakati huohuo vyuo vingine mambo yanaenda vizuri tu.

2. Miundombinu ya chuo hasa kufundishia ni mibovu na imechoka sana (nitaambatanisha picha ya wanafunzi wakisomea nje ilhali lecturer yuko ndani).

3. Chuo kina wakufunzi WENGI ambao wamesoma hapohapo na hata mkiitwa interview wengi watachukua wanafunzi waliosoma hapohapo,hii imesababisha hali ya kutohoji utendaji wa viongozi wa chuo.

4. Magari ya chuo yana hali mbaya,na uongozi haujali wala haufatulii hili (kiambatanisho kipo).

5. Kuna rushwa kubwa ya ngono chuoni, hasa kwa wahadhiri na wale watu wa hostel, wanataka sana rushwa kwa wanafunzi hasa wa kike.

6. Barabara za chuo hazikidhi vigezo vya chuo kikuu, tena hapa uongozi umejinasibu kuwa umetengeneza barabara ila ni kwa kiwango duni sana pesa itakua imeliwa.

7. Vitendea kazi (mfano projector) vya kufundishia havipo kwa baadhi ya vitivo na kwa wenye navyo basi vipo vichache sana.

Naandika uzi huu kuomba serikali ifatilie utendaji kazi wa chuo hiki, yawezekana kabisa VC wa chuo anafanya kazi nzuri sana ila kuna utaratibu mbovu wa watu wa chini yake.


Umeandika kama unakimbizwa vipi haukuwa na credible source?
 
Kwakwel Uongozi wa Sua ni shida, ESM na Brd wafundishwa partial huku wakilazimishwa kwenda field mwez wa pili wakati idadi kubwa hawana pesa za kujikimu huko waendako, wajitafakar kabla ya kutenda
 
[emoji3][emoji3] poleni sana wanangu wa ESM, Dkt mtoni, Prof Malisa, Prof Tungalaza, Dkt Ligate, Dkt Mwalilino, Dkt Mjemah n.k ESM mtaani imekuwa changamoto Sana ajira zakuunga unga sana
Kwakwel Uongozi wa Sua ni shida, ESM na Brd wafundishwa partial huku wakilazimishwa kwenda field mwez wa pili wakati idadi kubwa hawana pesa za kujikimu huko waendako, wajitafakar kabla ya kutenda
 
Wakuu habari zenu hapa ndani?

Nimeandika uzi huu kwa ajili ya kusaidia maendeleo ya taifa na ustawi wa jamii kwa ujumla, hii ni kutokana na ukweli kuwa taasisi nyingi za serikali zinaendeshwa kwa utendaji mbovu, sasa leo naandika machache kuhusu chuo cha kilimo cha sokoine (SUA), kilichopo Morogoro.

1. Ndio chuo chenye umaskini wa hali ya juu, yaani ni kawaida kabisa kukuta wahadhiri wake wakilalamika kukosa pesa za kuendelezwa sababu tu chuo hakina pesa wakati huohuo vyuo vingine mambo yanaenda vizuri tu.

2. Miundombinu ya chuo hasa kufundishia ni mibovu na imechoka sana (nitaambatanisha picha ya wanafunzi wakisomea nje ilhali lecturer yuko ndani).

3. Chuo kina wakufunzi WENGI ambao wamesoma hapohapo na hata mkiitwa interview wengi watachukua wanafunzi waliosoma hapohapo,hii imesababisha hali ya kutohoji utendaji wa viongozi wa chuo.

4. Magari ya chuo yana hali mbaya,na uongozi haujali wala haufatulii hili (kiambatanisho kipo).

5. Kuna rushwa kubwa ya ngono chuoni, hasa kwa wahadhiri na wale watu wa hostel, wanataka sana rushwa kwa wanafunzi hasa wa kike.

6. Barabara za chuo hazikidhi vigezo vya chuo kikuu, tena hapa uongozi umejinasibu kuwa umetengeneza barabara ila ni kwa kiwango duni sana pesa itakua imeliwa.

7. Vitendea kazi (mfano projector) vya kufundishia havipo kwa baadhi ya vitivo na kwa wenye navyo basi vipo vichache sana.

Naandika uzi huu kuomba serikali ifatilie utendaji kazi wa chuo hiki, yawezekana kabisa VC wa chuo anafanya kazi nzuri sana ila kuna utaratibu mbovu wa watu wa chini yake.


... kwa maelezo haya, katika World University Ranking 2020, SUA inaweza kuwa ya ngapi?
 
2.Ajira ziwe kwa kila MTU ,sio mpaka aliyesoma sua ( trust me kama hujasoma sua una asilimiaa 2% ya kutoboa usaili kama waliosoma sua wapo humu
Sehemu kubwa ya kozi za SUA lazima zifundishwe na mwal mwenye similar background
 
Wakuu habari zenu hapa ndani?

Nimeandika uzi huu kwa ajili ya kusaidia maendeleo ya taifa na ustawi wa jamii kwa ujumla, hii ni kutokana na ukweli kuwa taasisi nyingi za serikali zinaendeshwa kwa utendaji mbovu, sasa leo naandika machache kuhusu chuo cha kilimo cha sokoine (SUA), kilichopo Morogoro.

1. Ndio chuo chenye umaskini wa hali ya juu, yaani ni kawaida kabisa kukuta wahadhiri wake wakilalamika kukosa pesa za kuendelezwa sababu tu chuo hakina pesa wakati huohuo vyuo vingine mambo yanaenda vizuri tu.

2. Miundombinu ya chuo hasa kufundishia ni mibovu na imechoka sana (nitaambatanisha picha ya wanafunzi wakisomea nje ilhali lecturer yuko ndani).

3. Chuo kina wakufunzi WENGI ambao wamesoma hapohapo na hata mkiitwa interview wengi watachukua wanafunzi waliosoma hapohapo,hii imesababisha hali ya kutohoji utendaji wa viongozi wa chuo.

4. Magari ya chuo yana hali mbaya,na uongozi haujali wala haufatulii hili (kiambatanisho kipo).

5. Kuna rushwa kubwa ya ngono chuoni, hasa kwa wahadhiri na wale watu wa hostel, wanataka sana rushwa kwa wanafunzi hasa wa kike.

6. Barabara za chuo hazikidhi vigezo vya chuo kikuu, tena hapa uongozi umejinasibu kuwa umetengeneza barabara ila ni kwa kiwango duni sana pesa itakua imeliwa.

7. Vitendea kazi (mfano projector) vya kufundishia havipo kwa baadhi ya vitivo na kwa wenye navyo basi vipo vichache sana.

Naandika uzi huu kuomba serikali ifatilie utendaji kazi wa chuo hiki, yawezekana kabisa VC wa chuo anafanya kazi nzuri sana ila kuna utaratibu mbovu wa watu wa chini yake.


SUA watamkumbuka Prof. Bangu( mungu amuweke mahala pema peponi).wengine hata wenye PhD bado hawajitambui.
 
yanayosemwa hapa yafuatiliwe hasa haya ya ngono na wanafunzi kwani sheria zipo wazi kabisa. Tunaomba Takukuru, Usalama na wanaharakati fuatilieni haya kwa ukaribu kuwashikisha adabu haya mabazazi.
 
Huyo vc sijui jiwe alimuokota wapi usikute ni amepewa u-vc kwa ajili usukuma.Picha ziko wapi mleta mada
 
Back
Top Bottom