Serikali ifute Div 4 na 0. Hazina tija yoyote kwenye ulimwengu wa leo! Halafu ipunguze Div 1 kuna pointi nyingi sana Div 1.

Serikali ifute Div 4 na 0. Hazina tija yoyote kwenye ulimwengu wa leo! Halafu ipunguze Div 1 kuna pointi nyingi sana Div 1.

CCM Music

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2018
Posts
1,036
Reaction score
1,784
Zibaki Div 1, 2 na 3.

Just imagined matokeo ya mitihani ina range from point 7 hadi 35 Kwa O level. Uwingi wote wa nini?

A level point 3 hadi 20s huko.

What the meaning of all these many numbers?

Div 1 inaanza 7, 8, 9, 10, 11, unaendelea kuchanja mbuga hadi 17 dah a very long safari.

Div one A level point 3, 4 unaendelea hadi 9 huko. Tena ukipata C flat hio ni Div one advance. Hii ina logic sasa???? C merely means average!

Kuwepo na cheti kwa waliopata Div one hadi three. Wale waliokosa Div one/two/three wapewe Cheti of appreciation ya kuhudhuria O/A level secondary na hakuna daraja, kwamba tuna appreciate juhudi zake pia.

Cheti cha Div 4 na O zenye F nyingi km zote ni udhalilishaji wa utu wa binadamu.

CCM halla!
 
Kwani siku hz div 4 na 0 wanapewa cheti ? Duuh !!

Anyway, hoja yako Ina mashiko
 
Zibaki Div 1, 2 na 3.

Just imagined matokeo ya mitihani ina range from point 7 hadi 35 Kwa O level. Uwingi wote wa nini?

A level point 3 hadi 20s huko.

What the meaning of all these many numbers?

Div 1 inaanza 7, 8, 9, 10, 11, unaendelea kuchanja mbuga hadi 17 dah a very long safari.

Div one A level point 3, 4 unaendelea hadi 9 huko. Tena ukipata C flat hio ni Div one advance. Hii ina logic sasa???? C merely means average!

Kuwepo na cheti kwa waliopata Div one hadi three. Wale waliokosa Div one/two/three wapewe Cheti of appreciation ya kuhudhuria O/A level secondary na hakuna daraja, kwamba tuna appreciate juhudi zake pia.

Cheti cha Div 4 na O zenye F nyingi km zote ni udhalilishaji wa utu wa binadamu.

CCM halla!
Kweli mkuu mimi cheti changu cha A level kina S ya physics yaani sikipendi kinyama hua natamani hata kukichoma na nikifikisha miaka 40 hakitakuwa na kazi tena ntakitambaliza.
 
Back
Top Bottom