Serikali ihamishe nusu ya wakazi wa Zanzibar iwalete Tanganyika na kuhamishia watanganyika kule kuuenzi Muungano

Serikali ihamishe nusu ya wakazi wa Zanzibar iwalete Tanganyika na kuhamishia watanganyika kule kuuenzi Muungano

Execute

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
3,000
Reaction score
7,336
Hili likifanyika itakuwa rahisi kuanzisha serikali moja tu na kuweka umoja wa kitaifa.

Wananchi wanataka uchumi mzuri na sio kuwa na serikali nyingi. Pia itasaidia kuondoa ubaguzi wa kidini uliopo Zanzibar.
 
Hili likifanyika itakuwa rahisi kuanzisha serikali moja tu na kuweka umoja wa kitaifa.

Wananchi wanataka uchumi mzuri na sio kuwa na serikali nyingi. Pia itasaidia kuondoa ubaguzi wa kidini uliopo Zanzibar.
WAZO BORA Kabisa kama kweli MUUNGANO ni WADHATI basi Wazanzibar wahamishiwe Huko na wa huku waende Kule
 
Kwanza waturuhusu tumiliki ardhi kule alafu mengine yafuate
 
Robo ya wazanzibar tayari iko bara na bado hawajaacha ubaguzi,utamkuta mpemba kigoma ndani ndani kaoa huko na watoto juu lakini ndoto zake kila siku hataki muungano
Tatizo wanafundishwa tangu utoto wao kuwa wabaguzi ndio maana hata wakija huku na kufurahia matunda ya muungano bado yale mafunzo yamebaki kichwani.
 
Kwanza waturuhusu tumiliki ardhi kule alafu mengine yafuate
Sijui kwanini serikali imekuwa kimya kuhusu hili jambo kwa miaka mingi. Ardhi yote inapaswa kupatikana kwa watanzania wote.
 
Hili likifanyika itakuwa rahisi kuanzisha serikali moja tu na kuweka umoja wa kitaifa.

Wananchi wanataka uchumi mzuri na sio kuwa na serikali nyingi. Pia itasaidia kuondoa ubaguzi wa kidini uliopo Zanzibar.
Mtu utoke bara uende Kisiwa Ndui ukafe kwa umaskini?!
 
wapemba wanatutosha wamejaa kila kona, vitoto kibado vya kipemba wamezawadiwa dada zetu.
 
Back
Top Bottom