DOKEZO Serikali iimulike hospitali ya Mloganzila, Huduma zake ni janga kwa wagonjwa na ndugu wanaouguza pale

DOKEZO Serikali iimulike hospitali ya Mloganzila, Huduma zake ni janga kwa wagonjwa na ndugu wanaouguza pale

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Mnamo tarehe 18 Novemba 2024 nilienda hospitali ya rufaa ya Mloganzila kumtazama shemeji yangu aliyelazwa pale na kichanga wake aliyejifungua kwa oparesheni. Nilipofika getini nilielekezwa na walinzi sehemu ya kusubiria muda wa kuingia kuona wagonjwa. Nikiwa eneo hilo nilipata kusikia mawili matatu ya ndugu na jamaa wenye wagonjwa pale. wengi walikuwa wanalalamikia ukubwa wa gharama na huduma isiyo nzuri ya wahudumu wa pale Mloganzila.

Nilipopata wasaa kuingia wodini nilikuta mgonjwa wetu anaendelea kupambania afya yake lakini mtoto hali yake haikuwa nzuri kabisa. Tuliwauliza wauguzi pale kuhusu maendeleo ya kichanga waligoma kutueleza chochote wakisema mpaka afike baba wa mtoto (kimsingi shemeji alipata ujauzito na mwenye mzigo akalala mbele). Baada ya kunyimwa taarifa za hali ya m toto tukaomba mwenendo wa bill ili tuanze kupunguza. Hapo tulipatiwa bill haraka haraka na nikaketi chini kuchambua gharama kwa items.
  1. Kitanda cha mama bila gharama za matibabu kwa siku analipia Tzs 100,000/-
  2. kitanda cha mtoto bila gharama za matibabu kwa siku analipia Tzs 100,000/-
  3. Gharama zingine halali za tiba na madawa.
Sasa piga hesabu mama amekaa hapo siku tisa huku siku nne akiwa ICU. Na bado mpaka leo yupo wodini.

Nikashuka chini kushauriana na ndugu juu ya gharama zile, Waliniambia kuwa bili hiyo inayozidi 2M imekuwa mzigo mkubwa kwao hivyo tumeanza kukusanya na kupunguza bili ili siku akitoka asipate kash kash.

Nikiwa hapo nje, nikashuhudia baadhi ya watu waliokuja kutembelea ndugu wakitoka ndani wakiwa na vilio, majonzi na lawama. Nilipouliza kwa watu ambao wanaonekana wametoka mikoani na wagonjwa wao, wengi wameweka kambi pale. wanasema kuwa kwa siku pale Mloganzila wagonjwa wanaoaga dunia kwa kiwango cha chini ni 20 au 25. Watu wanalalamikia majibu yasiyo ya staha kutoka kwa wauguzi, na bill kuwa kubwa mno kiasi kwamba hata wakijaribu kuhoji wananyimwa ushirikiano. Nikikumbuka nilinyimwa taarifa za maendeleo ya mtoto kwa demand ya kipumbavu maana huyo baba wa mtoto hajawahi kukanyaga pale na hata sisi hatumjui kwa sura maana alikimbia ujauzito wa shemeji.

Serikali, hususani serikali ya CCM inapaswa kuingilia kati hii biashara ya afya na uhai wa Watanzania inayoendeshwa kibabe na hospitali zetu za umma. Leo hospitali binafsi zimekuwa kimbilio la watu wengi kwa sababu ya reasonable prices zao ingawa zipo nyingi zinatoza ghali kwa huduma zao. lakini hospitali za umma hususan za RUFAA ni janga kubwa kwa wananchi.

Hivi, hizi kodi tunazolipa zinaishia kulipa madeni ya mikopo ya miundombinu pekee?
Iwapo serikali imekosa muhali kwa afya za Watanzania na kuzigeuza mtaji wake, basi itupishe tuweke chama kitakachowakwamu Watanzania kutoka huu mchezo wa kutoza bill kubwa kwa amtibabu kwenye hospitali zetu za umma.

Taifa lisilojali afya za wananchi wake ni taifa linalojimaliza kwa kansa ya kujitengenezea

Majibu ya Hospitali > Hospitali ya Taifa Muhimbili yatoa ufafanuzi hoja ya Mdau kuhusu "Huduma zake ni janga kwa Wagonjwa"

Soma pia: KERO - Gharama za Kujifungua Hospital ta Taifa Muhimbili MNH (Mloganzila) ni kufuru
 
Poleni sana
Mkuu
Kama upo Tanzania, fanya kutembelea hospitali ile kuna mengi sijaweza kuyaandika, yanaumiza sana masikio.

Madaktari wengi pale ni wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Tiba Muhimbili. Pata picha kinachoendelea hapo, yaani hata watu hawajahitimu ethics za utabibu wanapewa dhamana ya kusimamia matibabu ya watu as mabingwa.

Serikali inatuweka rehani sana
 
Mnamo tarehe 18 Novemba 2024 nilienda hospitali ya rufaa ya Mloganzila kumtazama shemeji yangu aliyelazwa pale na kichanga wake aliyejifungua kwa oparesheni. Nilipofika getini nilielekezwa na walinzi sehemu ya kusubiria muda wa kuingia kuona wagonjwa. Nikiwa eneo hilo nilipata kusikia mawili matatu ya ndugu na jamaa wenye wagonjwa pale. wengi walikuwa wanalalamikia ukubwa wa gharama na huduma isiyo nzuri ya wahudumu wa pale Mloganzila.

Nilipopata wasaa kuingia wodini nilikuta mgonjwa wetu anaendelea kupambania afya yake lakini mtoto hali yake haikuwa nzuri kabisa. Tuliwauliza wauguzi pale kuhusu maendeleo ya kichanga waligoma kutueleza chochote wakisema mpaka afike baba wa mtoto (kimsingi shemeji alipata ujauzito na mwenye mzigo akalala mbele). Baada ya kunyimwa taarifa za hali ya m toto tukaomba mwenendo wa bill ili tuanze kupunguza. Hapo tulipatiwa bill haraka haraka na nikaketi chini kuchambua gharama kwa items.
  1. Kitanda cha mama bila gharama za matibabu kwa siku analipia Tzs 100,000/-
  2. kitanda cha mtoto bila gharama za matibabu kwa siku analipia Tzs 100,000/-
  3. Gharama zingine halali za tiba na madawa.
Sasa piga hesabu mama amekaa hapo siku tisa huku siku nne akiwa ICU. Na bado mpaka leo yupo wodini.

Nikashuka chini kushauriana na ndugu juu ya gharama zile, Waliniambia kuwa bili hiyo inayozidi 2M imekuwa mzigo mkubwa kwao hivyo tumeanza kukusanya na kupunguza bili ili siku akitoka asipate kash kash.

Nikiwa hapo nje, nikashuhudia baadhi ya watu waliokuja kutembelea ndugu wakitoka ndani wakiwa na vilio, majonzi na lawama. Nilipouliza kwa watu ambao wanaonekana wametoka mikoani na wagonjwa wao, wengi wameweka kambi pale. wanasema kuwa kwa siku pale Mloganzila wagonjwa wanaoaga dunia kwa kiwango cha chini ni 20 au 25. Watu wanalalamikia majibu yasiyo ya staha kutoka kwa wauguzi, na bill kuwa kubwa mno kiasi kwamba hata wakijaribu kuhoji wananyimwa ushirikiano. Nikikumbuka nilinyimwa taarifa za maendeleo ya mtoto kwa demand ya kipumbavu maana huyo baba wa mtoto hajawahi kukanyaga pale na hata sisi hatumjui kwa sura maana alikimbia ujauzito wa shemeji.

Serikali, hususani serikali ya CCM inapaswa kuingilia kati hii biashara ya afya na uhai wa Watanzania inayoendeshwa kibabe na hospitali zetu za umma. Leo hospitali binafsi zimekuwa kimbilio la watu wengi kwa sababu ya reasonable prices zao ingawa zipo nyingi zinatoza ghali kwa huduma zao. lakini hospitali za umma hususan za RUFAA ni janga kubwa kwa wananchi.

Hivi, hizi kodi tunazolipa zinaishia kulipa madeni ya mikopo ya miundombinu pekee?
Iwapo serikali imekosa muhali kwa afya za Watanzania na kuzigeuza mtaji wake, basi itupishe tuweke chama kitakachowakwamu Watanzania kutoka huu mchezo wa kutoza bill kubwa kwa amtibabu kwenye hospitali zetu za umma.

Taifa lisilojali afya za wananchi wake ni taifa linalojimaliza kwa kansa ya kujitengenezea
Muhimbili na Mloganzila zile ni hospital za private na sio serikali.

Serikali ya CCM imeamua kuitumia sekta ya afya kuua wananchi wake
 
Mnamo tarehe 18 Novemba 2024 nilienda hospitali ya rufaa ya Mloganzila kumtazama shemeji yangu aliyelazwa pale na kichanga wake aliyejifungua kwa oparesheni. Nilipofika getini nilielekezwa na walinzi sehemu ya kusubiria muda wa kuingia kuona wagonjwa. Nikiwa eneo hilo nilipata kusikia mawili matatu ya ndugu na jamaa wenye wagonjwa pale. wengi walikuwa wanalalamikia ukubwa wa gharama na huduma isiyo nzuri ya wahudumu wa pale Mloganzila.

Nilipopata wasaa kuingia wodini nilikuta mgonjwa wetu anaendelea kupambania afya yake lakini mtoto hali yake haikuwa nzuri kabisa. Tuliwauliza wauguzi pale kuhusu maendeleo ya kichanga waligoma kutueleza chochote wakisema mpaka afike baba wa mtoto (kimsingi shemeji alipata ujauzito na mwenye mzigo akalala mbele). Baada ya kunyimwa taarifa za hali ya m toto tukaomba mwenendo wa bill ili tuanze kupunguza. Hapo tulipatiwa bill haraka haraka na nikaketi chini kuchambua gharama kwa items.
  1. Kitanda cha mama bila gharama za matibabu kwa siku analipia Tzs 100,000/-
  2. kitanda cha mtoto bila gharama za matibabu kwa siku analipia Tzs 100,000/-
  3. Gharama zingine halali za tiba na madawa.
Sasa piga hesabu mama amekaa hapo siku tisa huku siku nne akiwa ICU. Na bado mpaka leo yupo wodini.

Nikashuka chini kushauriana na ndugu juu ya gharama zile, Waliniambia kuwa bili hiyo inayozidi 2M imekuwa mzigo mkubwa kwao hivyo tumeanza kukusanya na kupunguza bili ili siku akitoka asipate kash kash.

Nikiwa hapo nje, nikashuhudia baadhi ya watu waliokuja kutembelea ndugu wakitoka ndani wakiwa na vilio, majonzi na lawama. Nilipouliza kwa watu ambao wanaonekana wametoka mikoani na wagonjwa wao, wengi wameweka kambi pale. wanasema kuwa kwa siku pale Mloganzila wagonjwa wanaoaga dunia kwa kiwango cha chini ni 20 au 25. Watu wanalalamikia majibu yasiyo ya staha kutoka kwa wauguzi, na bill kuwa kubwa mno kiasi kwamba hata wakijaribu kuhoji wananyimwa ushirikiano. Nikikumbuka nilinyimwa taarifa za maendeleo ya mtoto kwa demand ya kipumbavu maana huyo baba wa mtoto hajawahi kukanyaga pale na hata sisi hatumjui kwa sura maana alikimbia ujauzito wa shemeji.

Serikali, hususani serikali ya CCM inapaswa kuingilia kati hii biashara ya afya na uhai wa Watanzania inayoendeshwa kibabe na hospitali zetu za umma. Leo hospitali binafsi zimekuwa kimbilio la watu wengi kwa sababu ya reasonable prices zao ingawa zipo nyingi zinatoza ghali kwa huduma zao. lakini hospitali za umma hususan za RUFAA ni janga kubwa kwa wananchi.

Hivi, hizi kodi tunazolipa zinaishia kulipa madeni ya mikopo ya miundombinu pekee?
Iwapo serikali imekosa muhali kwa afya za Watanzania na kuzigeuza mtaji wake, basi itupishe tuweke chama kitakachowakwamu Watanzania kutoka huu mchezo wa kutoza bill kubwa kwa amtibabu kwenye hospitali zetu za umma.

Taifa lisilojali afya za wananchi wake ni taifa linalojimaliza kwa kansa ya kujitengenezea
Alisikika "mtanikumbuka" RIP JPM!
 
Muhimbili na Mloganzila zile ni hospital za private na sio serikali.

Serikali ya CCM imeamua kuitumia sekta ya afya kuua wananchi wake
Muhimbili National Hospital.

Naomba utufafanulie huo uprivate wake upoje mkuu? Nani mmiliki? au ndo Hospitali za Mama kama inavyojulikana kuwa HAZINA ni yake binafsi ndo maana kila waziri anamshukuru kwa pesa za Bajeti anazowapatia
 
Mnamo tarehe 18 Novemba 2024 nilienda hospitali ya rufaa ya Mloganzila kumtazama shemeji yangu aliyelazwa pale na kichanga wake aliyejifungua kwa oparesheni. Nilipofika getini nilielekezwa na walinzi sehemu ya kusubiria muda wa kuingia kuona wagonjwa. Nikiwa eneo hilo nilipata kusikia mawili matatu ya ndugu na jamaa wenye wagonjwa pale. wengi walikuwa wanalalamikia ukubwa wa gharama na huduma isiyo nzuri ya wahudumu wa pale Mloganzila.

Nilipopata wasaa kuingia wodini nilikuta mgonjwa wetu anaendelea kupambania afya yake lakini mtoto hali yake haikuwa nzuri kabisa. Tuliwauliza wauguzi pale kuhusu maendeleo ya kichanga waligoma kutueleza chochote wakisema mpaka afike baba wa mtoto (kimsingi shemeji alipata ujauzito na mwenye mzigo akalala mbele). Baada ya kunyimwa taarifa za hali ya m toto tukaomba mwenendo wa bill ili tuanze kupunguza. Hapo tulipatiwa bill haraka haraka na nikaketi chini kuchambua gharama kwa items.
  1. Kitanda cha mama bila gharama za matibabu kwa siku analipia Tzs 100,000/-
  2. kitanda cha mtoto bila gharama za matibabu kwa siku analipia Tzs 100,000/-
  3. Gharama zingine halali za tiba na madawa.
Sasa piga hesabu mama amekaa hapo siku tisa huku siku nne akiwa ICU. Na bado mpaka leo yupo wodini.

Nikashuka chini kushauriana na ndugu juu ya gharama zile, Waliniambia kuwa bili hiyo inayozidi 2M imekuwa mzigo mkubwa kwao hivyo tumeanza kukusanya na kupunguza bili ili siku akitoka asipate kash kash.

Nikiwa hapo nje, nikashuhudia baadhi ya watu waliokuja kutembelea ndugu wakitoka ndani wakiwa na vilio, majonzi na lawama. Nilipouliza kwa watu ambao wanaonekana wametoka mikoani na wagonjwa wao, wengi wameweka kambi pale. wanasema kuwa kwa siku pale Mloganzila wagonjwa wanaoaga dunia kwa kiwango cha chini ni 20 au 25. Watu wanalalamikia majibu yasiyo ya staha kutoka kwa wauguzi, na bill kuwa kubwa mno kiasi kwamba hata wakijaribu kuhoji wananyimwa ushirikiano. Nikikumbuka nilinyimwa taarifa za maendeleo ya mtoto kwa demand ya kipumbavu maana huyo baba wa mtoto hajawahi kukanyaga pale na hata sisi hatumjui kwa sura maana alikimbia ujauzito wa shemeji.

Serikali, hususani serikali ya CCM inapaswa kuingilia kati hii biashara ya afya na uhai wa Watanzania inayoendeshwa kibabe na hospitali zetu za umma. Leo hospitali binafsi zimekuwa kimbilio la watu wengi kwa sababu ya reasonable prices zao ingawa zipo nyingi zinatoza ghali kwa huduma zao. lakini hospitali za umma hususan za RUFAA ni janga kubwa kwa wananchi.

Hivi, hizi kodi tunazolipa zinaishia kulipa madeni ya mikopo ya miundombinu pekee?
Iwapo serikali imekosa muhali kwa afya za Watanzania na kuzigeuza mtaji wake, basi itupishe tuweke chama kitakachowakwamu Watanzania kutoka huu mchezo wa kutoza bill kubwa kwa amtibabu kwenye hospitali zetu za umma.

Taifa lisilojali afya za wananchi wake ni taifa linalojimaliza kwa kansa ya kujitengenezea
Mama Samia huwa anasoma huku...kwa Ilani ya CCM ya sasa hii si sawa...ndio maana hata kupitishwa kwa Bima ya wote imekua changamoto maana Afya za watu zimejeuka biashara....ubaya ni biashara hii inafanywa na taasisi za uma ambazo kimsingi zilipaswa kuendeshwa kwa mfumo wa uchangiaji kutoka kwenye kodi na sio gharama kubwa kiasi hiki.
 
Mkuu
Kama upo Tanzania, fanya kutembelea hospitali ile kuna mengi sijaweza kuyaandika, yanaumiza sana masikio.

Madaktari wengi pale ni wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Tiba Muhimbili. Pata picha kinachoendelea hapo, yaani hata watu hawajahitimu ethics za utabibu wanapewa dhamana ya kusimamia matibabu ya watu as mabingwa.

Serikali inatuweka rehani sana
Niko Tanzania Kaka .
Kuhusu hali ya mloganzila sisimuliwi naielewa ,ni hapo niliposhikana mashati na tarajali mmoja kisa naona anaenda tofauti alafu namwambia ananijibu kejeli ,anakuja kujua kuwa naongea kitu ninachokijua na kukiishi baada ya kuamuliwa na matarajali wenziye ambao baadhi ni wadogo zangu .

Kisa kufanya ndivyo sivyo kwa mgonjwa aliyepata ajari.

Inauma Sana Kaka ,nikashauriana na ndugu wa mgonjwa ikiwa inawezekana mgonjwa aondoshwe mahali pale ila wakaona Mimi mlevi nitawashauri nini ?

Ni jioni taarifa ya kifo Cha ndugu yao ikawakumbusha kumbe wapo madaktari walevi ila tunaelewa nini maana ya uhai .

So brother napaelewa Sana hapo na Sina kauli mbaya au nzuri nayoweza kusema ila kuiomba serikali itupie jicho tena katika hospitali hiyo kabla hawajaharibu taswira au maana ya neno hospitali ya umma .
 
Niko Tanzania Kaka .
Kuhusu hali ya mloganzila sisimuliwi naielewa ,ni hapo niliposhikana mashati na tarajali mmoja kisa naona anaenda tofauti alafu namwambia ananijibu kejeli ,anakuja kujua kuwa naongea kitu ninachokijua na kukiishi baada ya kuamuliwa na matarajali wenziye ambao baadhi ni wadogo zangu .

Kisa kufanya ndivyo sivyo kwa mgonjwa aliyepata ajari.

Inauma Sana Kaka ,nikashauriana na ndugu wa mgonjwa ikiwa inawezekana mgonjwa aondoshwe mahali pale ila wakaona Mimi mlevi nitawashauri nini ?

Ni jioni taarifa ya kifo Cha ndugu yao ikawakumbusha kumbe wapo madaktari walevi ila tunaelewa nini maana ya uhai .

So brother napaelewa Sana hapo na Sina kauli mbaya au nzuri nayoweza kusema ila kuiomba serikali itupie jicho tena katika hospitali hiyo kabla hawajaharibu taswira au maana ya neno hospitali ya umma .
Dah, mkuu poleni sana sana.

Miaka 4 iliyopita nilienda pale kuna jamaa yangu alipata rufaa kutoka Muhimbili kupelekwa pale. Aisee niliyaona ya kuyaona nikadhani wameboresha huduma kumbe ndo kwaanza wameongeza ugumu. Serikali ipeleke mabingwa pale na iongeze bajeti kwenye sekta ya afya kwa sababu hali za Watanzania ni duni kubeba gharama kubwa za matibabu. Kimbilio letu ni huduma za umma ambapo nako tunakutana na ngariba wa roho zetu.
 
Dah, mkuu poleni sana sana.

Miaka 4 iliyopita nilienda pale kuna jamaa yangu alipata rufaa kutoka Muhimbili kupelekwa pale. Aisee niliyaona ya kuyaona nikadhani wameboresha huduma kumbe ndo kwaanza wameongeza ugumu. Serikali ipeleke mabingwa pale na iongeze bajeti kwenye sekta ya afya kwa sababu hali za Watanzania ni duni kubeba gharama kubwa za matibabu. Kimbilio letu ni huduma za umma ambapo nako tunakutana na ngariba wa roho zetu.
Ubaya ni kuwa mahospitalini hali ya rushwa inakuwa kila kukicha kwasababu inafika mahali mfawidhi ametengeneza chain kuanzia mapokezi ili kila mgonjwa aongezewe kiasi gani ili baadaye wafanye mgawo .

Siongei nikiwa nje ya ukumbi niko ndani ya ukumbi na huu ujinga unafanyika Sana .

Ndugu madaktari ,manesi ,waajiriwa wa wizara ya afya na matarajali wote hakuna kauli ya kuwa kuwa mtunzaji au muokoaji wa afya ya mgonjwa ni wito ila ni ukweli ulio uchi kuwa ni suala la wito na utu ,embu tujirudi afya za watanzania ni vitu tunavyotakiwa kuvilinda Sana maana ndiyo wito mkuu tuliouitikia .

Pole tena na tena Kaka .

Note :Sijalewa kabisa hapa naongea kwa uchungu na wito uliomo moyoni mwangu naomba nieleweke hivyo
 
Kama Huna Bima ya kueleweka Na maisha ya chini , Ki ufupi ni kuwa TUNZA AFYA YAKO SANA . Itokee bahati mbaya kufika hospitali na sio kwasababu ya uzembe wa kutunza Afya

Nje na hapo Kwa Hospitali zenu Ni kwa Bahati kwenda na kurudi salama
 
Mnamo tarehe 18 Novemba 2024 nilienda hospitali ya rufaa ya Mloganzila kumtazama shemeji yangu aliyelazwa pale na kichanga wake aliyejifungua kwa oparesheni. Nilipofika getini nilielekezwa na walinzi sehemu ya kusubiria muda wa kuingia kuona wagonjwa. Nikiwa eneo hilo nilipata kusikia mawili matatu ya ndugu na jamaa wenye wagonjwa pale. wengi walikuwa wanalalamikia ukubwa wa gharama na huduma isiyo nzuri ya wahudumu wa pale Mloganzila.

Nilipopata wasaa kuingia wodini nilikuta mgonjwa wetu anaendelea kupambania afya yake lakini mtoto hali yake haikuwa nzuri kabisa. Tuliwauliza wauguzi pale kuhusu maendeleo ya kichanga waligoma kutueleza chochote wakisema mpaka afike baba wa mtoto (kimsingi shemeji alipata ujauzito na mwenye mzigo akalala mbele). Baada ya kunyimwa taarifa za hali ya m toto tukaomba mwenendo wa bill ili tuanze kupunguza. Hapo tulipatiwa bill haraka haraka na nikaketi chini kuchambua gharama kwa items.
  1. Kitanda cha mama bila gharama za matibabu kwa siku analipia Tzs 100,000/-
  2. kitanda cha mtoto bila gharama za matibabu kwa siku analipia Tzs 100,000/-
  3. Gharama zingine halali za tiba na madawa.
Sasa piga hesabu mama amekaa hapo siku tisa huku siku nne akiwa ICU. Na bado mpaka leo yupo wodini.

Nikashuka chini kushauriana na ndugu juu ya gharama zile, Waliniambia kuwa bili hiyo inayozidi 2M imekuwa mzigo mkubwa kwao hivyo tumeanza kukusanya na kupunguza bili ili siku akitoka asipate kash kash.

Nikiwa hapo nje, nikashuhudia baadhi ya watu waliokuja kutembelea ndugu wakitoka ndani wakiwa na vilio, majonzi na lawama. Nilipouliza kwa watu ambao wanaonekana wametoka mikoani na wagonjwa wao, wengi wameweka kambi pale. wanasema kuwa kwa siku pale Mloganzila wagonjwa wanaoaga dunia kwa kiwango cha chini ni 20 au 25. Watu wanalalamikia majibu yasiyo ya staha kutoka kwa wauguzi, na bill kuwa kubwa mno kiasi kwamba hata wakijaribu kuhoji wananyimwa ushirikiano. Nikikumbuka nilinyimwa taarifa za maendeleo ya mtoto kwa demand ya kipumbavu maana huyo baba wa mtoto hajawahi kukanyaga pale na hata sisi hatumjui kwa sura maana alikimbia ujauzito wa shemeji.

Serikali, hususani serikali ya CCM inapaswa kuingilia kati hii biashara ya afya na uhai wa Watanzania inayoendeshwa kibabe na hospitali zetu za umma. Leo hospitali binafsi zimekuwa kimbilio la watu wengi kwa sababu ya reasonable prices zao ingawa zipo nyingi zinatoza ghali kwa huduma zao. lakini hospitali za umma hususan za RUFAA ni janga kubwa kwa wananchi.

Hivi, hizi kodi tunazolipa zinaishia kulipa madeni ya mikopo ya miundombinu pekee?
Iwapo serikali imekosa muhali kwa afya za Watanzania na kuzigeuza mtaji wake, basi itupishe tuweke chama kitakachowakwamu Watanzania kutoka huu mchezo wa kutoza bill kubwa kwa amtibabu kwenye hospitali zetu za umma.

Taifa lisilojali afya za wananchi wake ni taifa linalojimaliza kwa kansa ya kujitengenezea

Soma pia: KERO - Gharama za Kujifungua Hospital ta Taifa Muhimbili MNH (Mloganzila) ni kufuru
Mnamo tarehe 18 Novemba 2024 nilienda hospitali ya rufaa ya Mloganzila kumtazama shemeji yangu aliyelazwa pale na kichanga wake aliyejifungua kwa oparesheni. Nilipofika getini nilielekezwa na walinzi sehemu ya kusubiria muda wa kuingia kuona wagonjwa. Nikiwa eneo hilo nilipata kusikia mawili matatu ya ndugu na jamaa wenye wagonjwa pale. wengi walikuwa wanalalamikia ukubwa wa gharama na huduma isiyo nzuri ya wahudumu wa pale Mloganzila.

Nilipopata wasaa kuingia wodini nilikuta mgonjwa wetu anaendelea kupambania afya yake lakini mtoto hali yake haikuwa nzuri kabisa. Tuliwauliza wauguzi pale kuhusu maendeleo ya kichanga waligoma kutueleza chochote wakisema mpaka afike baba wa mtoto (kimsingi shemeji alipata ujauzito na mwenye mzigo akalala mbele). Baada ya kunyimwa taarifa za hali ya m toto tukaomba mwenendo wa bill ili tuanze kupunguza. Hapo tulipatiwa bill haraka haraka na nikaketi chini kuchambua gharama kwa items.
  1. Kitanda cha mama bila gharama za matibabu kwa siku analipia Tzs 100,000/-
  2. kitanda cha mtoto bila gharama za matibabu kwa siku analipia Tzs 100,000/-
  3. Gharama zingine halali za tiba na madawa.
Sasa piga hesabu mama amekaa hapo siku tisa huku siku nne akiwa ICU. Na bado mpaka leo yupo wodini.

Nikashuka chini kushauriana na ndugu juu ya gharama zile, Waliniambia kuwa bili hiyo inayozidi 2M imekuwa mzigo mkubwa kwao hivyo tumeanza kukusanya na kupunguza bili ili siku akitoka asipate kash kash.

Nikiwa hapo nje, nikashuhudia baadhi ya watu waliokuja kutembelea ndugu wakitoka ndani wakiwa na vilio, majonzi na lawama. Nilipouliza kwa watu ambao wanaonekana wametoka mikoani na wagonjwa wao, wengi wameweka kambi pale. wanasema kuwa kwa siku pale Mloganzila wagonjwa wanaoaga dunia kwa kiwango cha chini ni 20 au 25. Watu wanalalamikia majibu yasiyo ya staha kutoka kwa wauguzi, na bill kuwa kubwa mno kiasi kwamba hata wakijaribu kuhoji wananyimwa ushirikiano. Nikikumbuka nilinyimwa taarifa za maendeleo ya mtoto kwa demand ya kipumbavu maana huyo baba wa mtoto hajawahi kukanyaga pale na hata sisi hatumjui kwa sura maana alikimbia ujauzito wa shemeji.

Serikali, hususani serikali ya CCM inapaswa kuingilia kati hii biashara ya afya na uhai wa Watanzania inayoendeshwa kibabe na hospitali zetu za umma. Leo hospitali binafsi zimekuwa kimbilio la watu wengi kwa sababu ya reasonable prices zao ingawa zipo nyingi zinatoza ghali kwa huduma zao. lakini hospitali za umma hususan za RUFAA ni janga kubwa kwa wananchi.

Hivi, hizi kodi tunazolipa zinaishia kulipa madeni ya mikopo ya miundombinu pekee?
Iwapo serikali imekosa muhali kwa afya za Watanzania na kuzigeuza mtaji wake, basi itupishe tuweke chama kitakachowakwamu Watanzania kutoka huu mchezo wa kutoza bill kubwa kwa amtibabu kwenye hospitali zetu za umma.

Taifa lisilojali afya za wananchi wake ni taifa linalojimaliza kwa kansa ya kujitengenezea

Soma pia: KERO - Gharama za Kujifungua Hospital ta Taifa Muhimbili MNH (Mloganzila) ni kufuru
Haya madhila na misukosuko waTanzania wanajitakia wao wenyewe kutokana na ujinga wao wa kutokuiondoa madarakani Ccm.
Kamwe nchi hii Wananchi hawataweza kuishi maisha ya amani na utulivu ikiwa Ccm itaendelea kubaki madarakani, na Wala mabadiliko yoyote yale yenye faida kwa umma hayataweza kutokea au kufanyika bila ya kuiondoa kwanza Ccm. Never!
Tanzanians are reaping what they sow!
 
Back
Top Bottom