DOKEZO Serikali iimulike hospitali ya Mloganzila, Huduma zake ni janga kwa wagonjwa na ndugu wanaouguza pale

DOKEZO Serikali iimulike hospitali ya Mloganzila, Huduma zake ni janga kwa wagonjwa na ndugu wanaouguza pale

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mnamo tarehe 18 Novemba 2024 nilienda hospitali ya rufaa ya Mloganzila kumtazama shemeji yangu aliyelazwa pale na kichanga wake aliyejifungua kwa oparesheni. Nilipofika getini nilielekezwa na walinzi sehemu ya kusubiria muda wa kuingia kuona wagonjwa. Nikiwa eneo hilo nilipata kusikia mawili matatu ya ndugu na jamaa wenye wagonjwa pale. wengi walikuwa wanalalamikia ukubwa wa gharama na huduma isiyo nzuri ya wahudumu wa pale Mloganzila.

Nilipopata wasaa kuingia wodini nilikuta mgonjwa wetu anaendelea kupambania afya yake lakini mtoto hali yake haikuwa nzuri kabisa. Tuliwauliza wauguzi pale kuhusu maendeleo ya kichanga waligoma kutueleza chochote wakisema mpaka afike baba wa mtoto (kimsingi shemeji alipata ujauzito na mwenye mzigo akalala mbele). Baada ya kunyimwa taarifa za hali ya m toto tukaomba mwenendo wa bill ili tuanze kupunguza. Hapo tulipatiwa bill haraka haraka na nikaketi chini kuchambua gharama kwa items.
  1. Kitanda cha mama bila gharama za matibabu kwa siku analipia Tzs 100,000/-
  2. kitanda cha mtoto bila gharama za matibabu kwa siku analipia Tzs 100,000/-
  3. Gharama zingine halali za tiba na madawa.
Sasa piga hesabu mama amekaa hapo siku tisa huku siku nne akiwa ICU. Na bado mpaka leo yupo wodini.

Nikashuka chini kushauriana na ndugu juu ya gharama zile, Waliniambia kuwa bili hiyo inayozidi 2M imekuwa mzigo mkubwa kwao hivyo tumeanza kukusanya na kupunguza bili ili siku akitoka asipate kash kash.

Nikiwa hapo nje, nikashuhudia baadhi ya watu waliokuja kutembelea ndugu wakitoka ndani wakiwa na vilio, majonzi na lawama. Nilipouliza kwa watu ambao wanaonekana wametoka mikoani na wagonjwa wao, wengi wameweka kambi pale. wanasema kuwa kwa siku pale Mloganzila wagonjwa wanaoaga dunia kwa kiwango cha chini ni 20 au 25. Watu wanalalamikia majibu yasiyo ya staha kutoka kwa wauguzi, na bill kuwa kubwa mno kiasi kwamba hata wakijaribu kuhoji wananyimwa ushirikiano. Nikikumbuka nilinyimwa taarifa za maendeleo ya mtoto kwa demand ya kipumbavu maana huyo baba wa mtoto hajawahi kukanyaga pale na hata sisi hatumjui kwa sura maana alikimbia ujauzito wa shemeji.

Serikali, hususani serikali ya CCM inapaswa kuingilia kati hii biashara ya afya na uhai wa Watanzania inayoendeshwa kibabe na hospitali zetu za umma. Leo hospitali binafsi zimekuwa kimbilio la watu wengi kwa sababu ya reasonable prices zao ingawa zipo nyingi zinatoza ghali kwa huduma zao. lakini hospitali za umma hususan za RUFAA ni janga kubwa kwa wananchi.

Hivi, hizi kodi tunazolipa zinaishia kulipa madeni ya mikopo ya miundombinu pekee?
Iwapo serikali imekosa muhali kwa afya za Watanzania na kuzigeuza mtaji wake, basi itupishe tuweke chama kitakachowakwamu Watanzania kutoka huu mchezo wa kutoza bill kubwa kwa amtibabu kwenye hospitali zetu za umma.

Taifa lisilojali afya za wananchi wake ni taifa linalojimaliza kwa kansa ya kujitengenezea

Soma pia: KERO - Gharama za Kujifungua Hospital ta Taifa Muhimbili MNH (Mloganzila) ni kufuru
Kama hakun hosptali nyingine hii jamani sitotibiwa pale na hakuna nitakaemshauri afikenpale bora ufie hosptali za kata mloganzila ni lango la kifo
 
Mtu kupata rufaa kutoka Muhimbili -Upanga hadi Mlonganzila ni kwamba hizo hospital zina level mbili tofauti?
 
Kama Huna Bima ya kueleweka Na maisha ya chini , Ki ufupi ni kuwa TUNZA AFYA YAKO SANA . Itokee bahati mbaya kufika hospitali na sio kwasababu ya uzembe wa kutunza Afya

Nje na hapo Kwa Hospitali zenu Ni kwa Bahati kwenda na kurudi salama
Hivi nawaambiaga Baadhi ya ndugu zangu. Suala la afya Tanzania chini ya utawala wa CCM ni biashara kubwa sana. Wanaosikia wanasikia
 
Mtu kupata rufaa kutoka Muhimbili -Upanga hadi Mlonganzila ni kwamba hizo hospital zina level mbili tofauti?
Ukiona umepewa transfer kutoka muhimbili kwenda Mloganzila ujue uwezekano wa kufa ni zaidi ya 60%
 
Huenda ni mbinu ili kila mtu awe na bima. Angalia kwa wenye bima bili inakuja ngapi kwenye simu zao?
 
Kwa uhalisia ni kuwa tutafute hela ili tuache lalamika
 
Mkuu
Kama upo Tanzania, fanya kutembelea hospitali ile kuna mengi sijaweza kuyaandika, yanaumiza sana masikio.

Madaktari wengi pale ni wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Tiba Muhimbili. Pata picha kinachoendelea hapo, yaani hata watu hawajahitimu ethics za utabibu wanapewa dhamana ya kusimamia matibabu ya watu as mabingwa.

Serikali inatuweka rehani sana
Ni kweli, tuliguza pale Kila siku tulikuwa tunalipa 200,000/- na huduma zao zinasuasua.
Wamejaa vidaktari vidogovidogi tu
 
Viongozi hawawezi kuweka Ruzuku ya maana huko, sababu itabidi wajipunguzie kwenye posho zao, magari yao ya kifahari, dili zao nakadhalika.
 
Mloganzira ni kituo cha Kifo. Hapanogi hata kwa Asali, Lol
 
Kiola kona tuna daiwa jamani tusipokamuliwa Watawala hawataweza kumudu gharama za maisha. Ama tugome tusiugue au tuugue tutozwe hizo gharama.

Mnaweza kuta vile vitanda tulipewa kwa mkopo hatukuambiwa tu, sasa tunalipia kimya kimya. Kwanini Watawala nao wasilzwe huko angalau warudishe kidogo kwa serikali?

Mishahara yao mikubwa kodi hawalipi, na gharama nyingi tunawalipia, kama mafuta,matengenezo ya magari, na sasa hadi nyumba zao za kuishi wakistaafu tunawajengea sisi. Lakini wakiugua wanakwenda nje na bado tunawalipia sisi duh, ngoja nisubirie nami nakachukuwe form nigombee ubunge, Utawala raha jamani manfanya nini uswahilini?
 
Mnamo tarehe 18 Novemba 2024 nilienda hospitali ya rufaa ya Mloganzila kumtazama shemeji yangu aliyelazwa pale na kichanga wake aliyejifungua kwa oparesheni. Nilipofika getini nilielekezwa na walinzi sehemu ya kusubiria muda wa kuingia kuona wagonjwa. Nikiwa eneo hilo nilipata kusikia mawili matatu ya ndugu na jamaa wenye wagonjwa pale. wengi walikuwa wanalalamikia ukubwa wa gharama na huduma isiyo nzuri ya wahudumu wa pale Mloganzila.

Nilipopata wasaa kuingia wodini nilikuta mgonjwa wetu anaendelea kupambania afya yake lakini mtoto hali yake haikuwa nzuri kabisa. Tuliwauliza wauguzi pale kuhusu maendeleo ya kichanga waligoma kutueleza chochote wakisema mpaka afike baba wa mtoto (kimsingi shemeji alipata ujauzito na mwenye mzigo akalala mbele). Baada ya kunyimwa taarifa za hali ya m toto tukaomba mwenendo wa bill ili tuanze kupunguza. Hapo tulipatiwa bill haraka haraka na nikaketi chini kuchambua gharama kwa items.
  1. Kitanda cha mama bila gharama za matibabu kwa siku analipia Tzs 100,000/-
  2. kitanda cha mtoto bila gharama za matibabu kwa siku analipia Tzs 100,000/-
  3. Gharama zingine halali za tiba na madawa.
Sasa piga hesabu mama amekaa hapo siku tisa huku siku nne akiwa ICU. Na bado mpaka leo yupo wodini.

Nikashuka chini kushauriana na ndugu juu ya gharama zile, Waliniambia kuwa bili hiyo inayozidi 2M imekuwa mzigo mkubwa kwao hivyo tumeanza kukusanya na kupunguza bili ili siku akitoka asipate kash kash.

Nikiwa hapo nje, nikashuhudia baadhi ya watu waliokuja kutembelea ndugu wakitoka ndani wakiwa na vilio, majonzi na lawama. Nilipouliza kwa watu ambao wanaonekana wametoka mikoani na wagonjwa wao, wengi wameweka kambi pale. wanasema kuwa kwa siku pale Mloganzila wagonjwa wanaoaga dunia kwa kiwango cha chini ni 20 au 25. Watu wanalalamikia majibu yasiyo ya staha kutoka kwa wauguzi, na bill kuwa kubwa mno kiasi kwamba hata wakijaribu kuhoji wananyimwa ushirikiano. Nikikumbuka nilinyimwa taarifa za maendeleo ya mtoto kwa demand ya kipumbavu maana huyo baba wa mtoto hajawahi kukanyaga pale na hata sisi hatumjui kwa sura maana alikimbia ujauzito wa shemeji.

Serikali, hususani serikali ya CCM inapaswa kuingilia kati hii biashara ya afya na uhai wa Watanzania inayoendeshwa kibabe na hospitali zetu za umma. Leo hospitali binafsi zimekuwa kimbilio la watu wengi kwa sababu ya reasonable prices zao ingawa zipo nyingi zinatoza ghali kwa huduma zao. lakini hospitali za umma hususan za RUFAA ni janga kubwa kwa wananchi.

Hivi, hizi kodi tunazolipa zinaishia kulipa madeni ya mikopo ya miundombinu pekee?
Iwapo serikali imekosa muhali kwa afya za Watanzania na kuzigeuza mtaji wake, basi itupishe tuweke chama kitakachowakwamu Watanzania kutoka huu mchezo wa kutoza bill kubwa kwa amtibabu kwenye hospitali zetu za umma.

Taifa lisilojali afya za wananchi wake ni taifa linalojimaliza kwa kansa ya kujitengenezea

Soma pia: KERO - Gharama za Kujifungua Hospital ta Taifa Muhimbili MNH (Mloganzila) ni kufuru
Hospitali ya kuweka Maputo tumboni na kuongeza makalio
 
Halafu watu wakishalewa kimpumu kivhafu utaeasikia wakiimba. CCM mbele kwa mbele.
Ndugai alisemaga nchi itapugwa mnada, chawa wakashangikia Sana Ndugai alivyoonyeshwa geti la kutokea.
Sasa hivi omba Sana usiumwe.
 
Mloganzila kikwetu ni mchawi wa kuzimu yaani njia ya kuzimu.
Lawama ziwe kwenu pia,hongo zipo kila mahali ila angalia penye unafuu.
Mngempa nesi buku 50 tu mnyamala pale angewasindikiza mpaka getini mkapumzike salama atawapigia mtoto akiwa tayari.
Kwasisi tuliopitia kadhia ya hospitali hizi tunajua.
Siku nilipiga mzinga icu badae kushonwa,huduma bila kutoa buku5 wauguzi wanakupita tu na madaktari wao.
Siku narudi kutoa nyuzi muuguzi kagoma kutoa nikapenyeza rupia dah.
Yaani ikawa si nyuzi tena,nyuzi zilitolewa kwa mahaba,huku nimepakatwa kitandani humo wodini.
Na hilo janamke la haja lina uniform kigauni fulani hivi kifupi kiko juu, huo mpaja sasa na anatoa zile nyuzi mbona nilipona fasta tu.
Aisee nilikuja mtawanya yule dada alikoma kunitania.
Yaani ile elfu 10 alilipa zaidi ya mara 10.
Siku anajua huyu mtu hayupo alilia km mbwa mwitu.
 
Kuna ndugu naye amelazwa na mtoto hapo ni muda sasa.
 
Back
Top Bottom