20162016
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 206
- 96
Biashara ya ufugaji wa kuku mayai ipo katika hali mbaya sana. Bei za mayai ya kisasa zimeshuka kiasi kwamba wafugaji wanashindwa kulipia vyakula vya kulisha kuku wao.
Taarifa ambazo hazijathibitishwa ila zinasemwa mitaani ni kuna mayai kutoka malawi na zambia yanaingia kinyume na utaratibu.
Kwa mlio karibu na waziri wa mifugo na viongozi wengine wa serikali tunaomba hili lifikishwe kwa uharaka ili hatua zichukuliwe.
Asanteni
Taarifa ambazo hazijathibitishwa ila zinasemwa mitaani ni kuna mayai kutoka malawi na zambia yanaingia kinyume na utaratibu.
Kwa mlio karibu na waziri wa mifugo na viongozi wengine wa serikali tunaomba hili lifikishwe kwa uharaka ili hatua zichukuliwe.
Asanteni