Ambacho hujui wanaouza rejareja bei hawashushagi ndio mana chipsi Yai haiwez kushuka bei yake...Labda kama ukinunua trei zimaaTulia mkuu na sisi tule mayai ,hakyanani kula mayai ilikua anasa na kiashiria cha utajiri acheni na sisi tule jamani hata yakitoka Goma
Mlipokuwa mnaruhusu vifaranga viuzwe malawi mlitegemea nini?Biashara ya ufugaji wa kuku mayai ipo katika hali mbaya sana. Bei za mayai ya kisasa zimeshuka kiasi kwamba wafugaji wanashindwa kulipia vyakula vya kulisha kuku wao.
Taarifa ambazo hazijathibitishwa ila zinasemwa mitaani ni kuna mayai kutoka malawi na zambia yanaingia kinyume na utaratibu.
Kwa mlio karibu na waziri wa mifugo na viongozi wengine wa serikali tunaomba hili lifikishwe kwa uharaka ili hatua zichukuliwe.
Asanteni
Kwa mayai haya ya kisasa, bora usile tu.Tulia mkuu na sisi tule mayai ,hakyanani kula mayai ilikua anasa na kiashiria cha utajiri acheni na sisi tule jamani hata yakitoka Goma
Kufuga kuku no kipengele Kwa sana!Fugeni wa kienyeji trey 15000 na hayapatikani sana
Buku nane unapigwa!! Huku buku 6Siku hizi ni mwendo wa trey TU, huku mtaani 8000 TU..
Nilinunua mayai nikakuta kiini cheupe kama poda nikayamwaga.Kwa mayai haya ya kisasa, bora usile tu.
Hayafai yale, we kuku anafanya kazi ya kutaga tu, hata ile mikuku ya nyama haifai pia, kuku hawana hata wazazi.Nilinunua mayai nikakuta kiini cheupe kama poda nikayamwaga.
Kama yameshuka bei inakuwaje yawe elfu 8, nakumbuka hiyo ndio ilikuwa bei miaka ya nyuma, yakishuka ni 7000 mpka 6500,6800.Siku hizi ni mwendo wa trey TU, huku mtaani 8000 TU..
Huu ni uchawi sasa...wanangu wa Goba pale Goba senta ukitokea makongo unaoaribishwa na mayai trei elfu saba 🔥🔥Biashara ya ufugaji wa kuku mayai ipo katika hali mbaya sana. Bei za mayai ya kisasa zimeshuka kiasi kwamba wafugaji wanashindwa kulipia vyakula vya kulisha kuku wao.
Taarifa ambazo hazijathibitishwa ila zinasemwa mitaani ni kuna mayai kutoka malawi na zambia yanaingia kinyume na utaratibu.
Kwa mlio karibu na waziri wa mifugo na viongozi wengine wa serikali tunaomba hili lifikishwe kwa uharaka ili hatua zichukuliwe.
Asanteni