Serikali iingilie kati Makanisa ya Miujiza? Watanzania masikini wa kutupwa wanakamuliwa mamilioni kwa utapeli huku wahubiri wakigeuka mamilionea

Serikali iingilie kati Makanisa ya Miujiza? Watanzania masikini wa kutupwa wanakamuliwa mamilioni kwa utapeli huku wahubiri wakigeuka mamilionea

Hayo makanisa na hyo serikali inayoongozwa na ccm hawanatofauti Sanaa .

Hapo n mwingine anakulaa Kwa kuwalaghai hao wanaofata miujizaa Kwa njia ya sadaka .

Na serikali ya CCM inawala Kwa njia ya tozo ,hvyo n ngumu wezi kuingilianaa ktk sekta zao km hakuna anayedhuru maslai ya mwenziee..

Yaan kiufupi hakuna wakututetea km utajiteteaa mwenyewee mkuu[emoji23][emoji23]
 
Hizo ni biashara za watu...Labda kwa ushauri taasisi za ya kidini (wakristo) wakemee kwa kufanyoa usajili hayo makanisa ili kuwabana wahusika..

Matendo hayo yanaleta image mbaya kwa taasisi na wakristo wote ,ni vizuri taasisi kubwa za kikristo kuwa na mamlaka ya kukemea hata kufngua hao manabii
Mkuu Accumen,
Hayo ni masuala ya imani, unamfunga vipi nabii? unapeleka evidence gani mahakamani kufungwa nabii?

1.watu wameenda wenyewe
2. Wametoa pesa kwa hiari zao
3. Wakiwa na akili zao timamu

Kesi ya zumaridi akituhumiwa kufanya vitendo vya udharirishaji kwa waumini, ni nani walioenda kumtoa kama sio waumini wenyewe.

Bongo kuna hitajika elimu ya ku reason sana kwa vitu.
 
Nd
Mkuu Accumen,
Hayo ni masuala ya imani, unamfunga vipi nabii? unapeleka evidence gani mahakamani kufungwa nabii?

1.watu wameenda wenyewe
2. Wametoa pesa kwa hiari zao
3. Wakiwa na akili zao timamu

Kesi ya zumaridi akituhumiwa kufanya vitendo vya udharirishaji kwa waumini, ni nani walioenda kumtoa kama sio waumini wenyewe.

Bongo kuna hitajika elimu ya ku reason sana kwa vitu.
Ndio hapo labda taasisi za kidini (wakristo) waamue wenyewe ila serikali haina huo uwezo maana ni kuingilia imani za watu.

Kama kuna taasisi zenye mamlaka a juu kwa wakristo wanaweza kuchukua hatua ila sio serikali .
 
Wanabodi
Kama kawa kila nipatapo fursa huja na makala zangu elimishi za kwa maslahi ya taifa. Topic ya leo, ni kutoa wito kwa Serikali yetu kuingilia kati kitu kinachoendelea kwenye baadhi ya makanisa ya wakovu yanayojinasibu kufanya miujiza, kutoa mapepo, kutoa uchawi na kufanya miujiza ya uponyaji?.

Baadhi ya wahubiri hawa wanatumia nguvu za giza za kiini macho kwa kitu kinachoitwa auto suggestion kwa Watanzania Masikini wa Kutupwa, kuaminishwa umasikini wao ni kwasababu wamelogwa, hivyo ili kuuondoa uchawi wa umasikini,
unatakiwa kufanya appointment kumuona Mtumishi, ambapo utapangiwa kiwango cha fedha kumuona mtumishi.

Kwenye matangazo yao kupitia redio na TV, unaambiwa njoo na sadaka yako bila kuambiwa kiwango. Ukifika kanisani,
utaandikishwa na kuambiwa kiwango cha kumuona mtumishi akueleze jinsi ulivyologwa na ni nani amekuloga. Kiwango kilianzia 10,000, baadae ikawa 20,000, ikapanda kuwa 50,000, 100,000 sasa ni 200,000.

Unatakiwa kuitafuta hiyo pesa popote ulipe ndipo umuone mtumishi. Hivyo ni waumini wenye pesa tuu ndio watamuona mtumishi!.

Baada ya kuingia kumuona, mtumishi atakuambia prophesy yako na ku conclude matatizo yako yote, ya kiuchumi, umasikini, maradhi, au majanga yoyote, ni umelongwa na watu wa jijijini kwako!.

Baada ya hapo sasa ndio utapewa bili ya sadaka. Mtumishi atajifanya anamuuliza Mungu, then unaambiwa Mungu amesema njoo na sadaka ya milioni 2, 5, 10, 20, kutegemea na ukubwa wa tatizo lako, ya kuleta hiyo sadaka ndipo Mungu atalimaliza tatizo lako!.

Kutokana na wewe kuwa ni tayari umesha pigwa ganzi, utakwenda kuzitafuta hizo pesa na kuzileta cash!.

Watanzania masikini wa kutupwa, wanakamuliwa mamilioni kwa utapeli, na baadhi ya hawa ma Pastor, huku hao ma Pastor na wahubiri wakineemeka na kuageuka mamilionea na mabilionea huku wakivuta mi ndinga ya nguvu!.

Kuna Mama mmoja alifiwa na mtoto wake, the only son, amedanganywa mtoto wake hajafa, amechukuliwa tuu kichawi, mama kaambiwa akatafute sadaka kiasi fulani, arejeshewe mwanae!, huyo mama ana haha kusaka hiyo pesa ili kumrejesha mwanae!.

Japo haya ni mambo ya imani, na waumini wanakwenda wenyewe kwa hiyari yao na wana toa fedha kwa ridhaa zao, na serikali yetu imetoa uhuru wa kuabudu, lakini ikifikia kiwango Watanzania wanatapeliwa, serikali ina wajibu wa kuingilia kati wananchi wake wasiendelee kutapeliwa!.

Namalizia kwa ile hoja ya msingi jee kuna haja ya serikali iingilie kati shughuli za haya makanisa ya wakovu ya miujiza ili Watanzania masikini wa kutupwa, wasiendelee kukamuliwa mamilioni kwa utapeli, huku wahubiri wakizidi kunona kwa kuwa mamilionea!.

Naomba kuwasilisha.

Paskali
Hayo makanisa ni kama CCM yanawanyonya maskini.
 
Wenzetu waliona mbali ndomaana leo hii China imekuwa nchi ya pili kwa uchumi duniani.

Sisi bado tunaambiwa taifa teule ni Israel tu, hivyo hata kama sisi ni masikini tunapaswa kuwachangia katika vita vinavyohusu masilahi yao binafsi ili tubarikiwe.

Wengine wanasema siku ya kiama Mungu ataongea kiarab tu, hivyo tupambane kuijua.

Wale wafia dini aina za kina johnthebaptist , MK254, Mwaipp Xi anawasalimia
 
Wanabodi
Kama kawa kila nipatapo fursa huja na makala zangu elimishi za kwa maslahi ya taifa. Topic ya leo, ni kutoa wito kwa Serikali yetu kuingilia kati kitu kinachoendelea kwenye baadhi ya makanisa ya wakovu yanayojinasibu kufanya miujiza, kutoa mapepo, kutoa uchawi na kufanya miujiza ya uponyaji?.

Baadhi ya wahubiri hawa wanatumia nguvu za giza za kiini macho kwa kitu kinachoitwa auto suggestion kwa Watanzania Masikini wa Kutupwa, kuaminishwa umasikini wao ni kwasababu wamelogwa, hivyo ili kuuondoa uchawi wa umasikini,
unatakiwa kufanya appointment kumuona Mtumishi, ambapo utapangiwa kiwango cha fedha kumuona mtumishi.

Kwenye matangazo yao kupitia redio na TV, unaambiwa njoo na sadaka yako bila kuambiwa kiwango. Ukifika kanisani,
utaandikishwa na kuambiwa kiwango cha kumuona mtumishi akueleze jinsi ulivyologwa na ni nani amekuloga. Kiwango kilianzia 10,000, baadae ikawa 20,000, ikapanda kuwa 50,000, 100,000 sasa ni 200,000.

Unatakiwa kuitafuta hiyo pesa popote ulipe ndipo umuone mtumishi. Hivyo ni waumini wenye pesa tuu ndio watamuona mtumishi!.

Baada ya kuingia kumuona, mtumishi atakuambia prophesy yako na ku conclude matatizo yako yote, ya kiuchumi, umasikini, maradhi, au majanga yoyote, ni umelongwa na watu wa jijijini kwako!.

Baada ya hapo sasa ndio utapewa bili ya sadaka. Mtumishi atajifanya anamuuliza Mungu, then unaambiwa Mungu amesema njoo na sadaka ya milioni 2, 5, 10, 20, kutegemea na ukubwa wa tatizo lako, ya kuleta hiyo sadaka ndipo Mungu atalimaliza tatizo lako!.

Kutokana na wewe kuwa ni tayari umesha pigwa ganzi, utakwenda kuzitafuta hizo pesa na kuzileta cash!.

Watanzania masikini wa kutupwa, wanakamuliwa mamilioni kwa utapeli, na baadhi ya hawa ma Pastor, huku hao ma Pastor na wahubiri wakineemeka na kuageuka mamilionea na mabilionea huku wakivuta mi ndinga ya nguvu!.

Kuna Mama mmoja alifiwa na mtoto wake, the only son, amedanganywa mtoto wake hajafa, amechukuliwa tuu kichawi, mama kaambiwa akatafute sadaka kiasi fulani, arejeshewe mwanae!, huyo mama ana haha kusaka hiyo pesa ili kumrejesha mwanae!.

Japo haya ni mambo ya imani, na waumini wanakwenda wenyewe kwa hiyari yao na wana toa fedha kwa ridhaa zao, na serikali yetu imetoa uhuru wa kuabudu, lakini ikifikia kiwango Watanzania wanatapeliwa, serikali ina wajibu wa kuingilia kati wananchi wake wasiendelee kutapeliwa!.

Namalizia kwa ile hoja ya msingi jee kuna haja ya serikali iingilie kati shughuli za haya makanisa ya wakovu ya miujiza ili Watanzania masikini wa kutupwa, wasiendelee kukamuliwa mamilioni kwa utapeli, huku wahubiri wakizidi kunona kwa kuwa mamilionea!.

Naomba kuwasilisha.

Paskali
Mapastor hawana tofauti na viongozi wa serikali. Wote wanasomana na wote wanakula kwa watz ambao tumekubali kutojielewa
 
Watanzania masikini wa kutupwa, wanakamuliwa mamilioni kwa utapeli, na baadhi ya hawa ma Pastor, huku hao ma Pastor na wahubiri wakineemeka na kuageuka mamilionea na mabilionea huku wakivuta mi ndinga ya nguvu!.
Kwani hili Lina tofauti gani na la wanasiasa mkuu. Unajua tofauti Kati ya siasa na dini. Dini wanakuambia maisha baada ya kufa Kuna adhabu usipofuata wanayotaka Ila siasa wanakuambia maisha ya Sasa na usipofanya Kama wanavyotaka wanakuadhibu Mana majeshi na jela Ni zao pia.

Mbona hukuongea mfano makamba alivyosaini mktaba tanesco wa kukodi software from India ya kufuatilia ama iwe inamwambia Ni wapi umeme umekatika kwa bilioni 69tzs. Unajua hii hela ingesaidia watanzania wangapi masikini na yapo mengi madudu ya wanasiasa.
Hawa wote mtaji wao Ni umasikini na ujinga wa watanzania wa Hali duni. Na ndio wamekataa kuwa hata English isitumike kufundishia from primary Mana watu watakuwa wajanja wengi mno. Mana watapata exposure ya mambo mengi mno na kuwa na Uhuru wa kuhoji. Cheki sheria zetu na Katina zipo kwa English mpaka hospital or banks kila mahala Ni English Ila masikini anazidi kufumbwa macho ili asione.


Please don't be biased acha nao wao watumie ujinga na umasikini wa watu kujineemesha Mana matatizo yako Ni fursa kwa wengine wachache. Yeye Ni kwa Nini asiombe ili apate hizo hela Ila ananiomba mie mtu ameshindwa kujiuliza swali dogo Sana Ilo. Mganga wa kienyeji anakupa dawa ya utajiri na wakati katika Koo yake Hakuna hata tajiri mmoja. Watu Ni wajinga na wavivu wa kufikiria achane waliwe. Kuna prey and predators ndio rule if the jungle and someone having just a slightest edge will survive in long run.
Ukisoma akili na watu na Tabia zao utapata manufaa makubwa mno
 
Serikali yenyewe inaongozwa na washirikina.

Hembu tuambie ule Mwenge unaofanya zindiko nchi nzima,kwa nini ukitaka kuwashwa unawashwa kwa siri sana tena kwa watu wachache tu walioteuliwa?!!

Ukiacha hilo watawala wanajulikana kwa kuroga,kuanzia kwa masangoma,masheikh Hadi kwa wachungaji!!
 
Nd

Ndio hapo labda taasisi za kidini (wakristo) waamue wenyewe ila serikali haina huo uwezo maana ni kuingilia imani za watu.

Kama kuna taasisi zenye mamlaka a juu kwa wakristo wanaweza kuchukua hatua ila sio serikali .
Mkuu ,
Kuna mtu alisema LIKUD kama sikosei.
Alisema ukristo ni IMANI uislamu ni sheria kama nitakuwa nakosea atanirekebisha.

Naona alikuwa sahihi, ukiangalia dhana nzima ya ukristo na uislamu utaona hili jambo.

Taasisi kweli zinaweza kuwepo ila wanazuia vipi hili swala ndio kitendawili kinapoanzia hapo.
 
Wanabodi
Kama kawa kila nipatapo fursa huja na makala zangu elimishi za kwa maslahi ya taifa. Topic ya leo, ni kutoa wito kwa Serikali yetu kuingilia kati kitu kinachoendelea kwenye baadhi ya makanisa ya wakovu yanayojinasibu kufanya miujiza, kutoa mapepo, kutoa uchawi na kufanya miujiza ya uponyaji?.

Baadhi ya wahubiri hawa wanatumia nguvu za giza za kiini macho kwa kitu kinachoitwa auto suggestion kwa Watanzania Masikini wa Kutupwa, kuaminishwa umasikini wao ni kwasababu wamelogwa, hivyo ili kuuondoa uchawi wa umasikini,
unatakiwa kufanya appointment kumuona Mtumishi, ambapo utapangiwa kiwango cha fedha kumuona mtumishi.

Kwenye matangazo yao kupitia redio na TV, unaambiwa njoo na sadaka yako bila kuambiwa kiwango. Ukifika kanisani,
utaandikishwa na kuambiwa kiwango cha kumuona mtumishi akueleze jinsi ulivyologwa na ni nani amekuloga. Kiwango kilianzia 10,000, baadae ikawa 20,000, ikapanda kuwa 50,000, 100,000 sasa ni 200,000.

Unatakiwa kuitafuta hiyo pesa popote ulipe ndipo umuone mtumishi. Hivyo ni waumini wenye pesa tuu ndio watamuona mtumishi!.

Baada ya kuingia kumuona, mtumishi atakuambia prophesy yako na ku conclude matatizo yako yote, ya kiuchumi, umasikini, maradhi, au majanga yoyote, ni umelongwa na watu wa jijijini kwako!.

Baada ya hapo sasa ndio utapewa bili ya sadaka. Mtumishi atajifanya anamuuliza Mungu, then unaambiwa Mungu amesema njoo na sadaka ya milioni 2, 5, 10, 20, kutegemea na ukubwa wa tatizo lako, ya kuleta hiyo sadaka ndipo Mungu atalimaliza tatizo lako!.

Kutokana na wewe kuwa ni tayari umesha pigwa ganzi, utakwenda kuzitafuta hizo pesa na kuzileta cash!.

Watanzania masikini wa kutupwa, wanakamuliwa mamilioni kwa utapeli, na baadhi ya hawa ma Pastor, huku hao ma Pastor na wahubiri wakineemeka na kuageuka mamilionea na mabilionea huku wakivuta mi ndinga ya nguvu!.

Kuna Mama mmoja alifiwa na mtoto wake, the only son, amedanganywa mtoto wake hajafa, amechukuliwa tuu kichawi, mama kaambiwa akatafute sadaka kiasi fulani, arejeshewe mwanae!, huyo mama ana haha kusaka hiyo pesa ili kumrejesha mwanae!.

Japo haya ni mambo ya imani, na waumini wanakwenda wenyewe kwa hiyari yao na wana toa fedha kwa ridhaa zao, na serikali yetu imetoa uhuru wa kuabudu, lakini ikifikia kiwango Watanzania wanatapeliwa, serikali ina wajibu wa kuingilia kati wananchi wake wasiendelee kutapeliwa!.

Namalizia kwa ile hoja ya msingi jee kuna haja ya serikali iingilie kati shughuli za haya makanisa ya wakovu ya miujiza ili Watanzania masikini wa kutupwa, wasiendelee kukamuliwa mamilioni kwa utapeli, huku wahubiri wakizidi kunona kwa kuwa mamilionea!.

Naomba kuwasilisha.

Paskali
Hakika, Mwanajopo. Hili ni janga la kitaifa, japo halionekani kushtua mamlaka, na pengine ni kwa sababu liko kiimani zaidi. Naamini Serikali inajua, maana hata baadhi ya viongozi ni wahanga na kimsingi SerIkali inaogopa kuingilia imani za watu wake kwa kisingizio cha uhuru wa kuabudu. Hii ni zaidi ya kausha damu, watu wanaliwa kimya kimya. Kwa mfano mtu anapiga simu kwa 'Nabii' aliyeko kwenye TV, na kisha 'Nabii' huyo anamsimulia shida zake zooote na kuwataja wahusika'''Huko mbeleni tutashuhudia mgogoro mkubwa kwa mazingira haya na hao 'Manabii' watakuwa wamekimbilia nje maana pesa wanazo.. Nayaona yaleee ya Kibwetere!
 
Yeye Ni kwa Nini asiombe ili apate hizo hela Ila ananiomba mie mtu ameshindwa kujiuliza swali dogo Sana Ilo. Mganga wa kienyeji anakupa dawa ya utajiri na wakati katika Koo yake Hakuna hata tajiri mmoja. Watu Ni wajinga na wavivu wa kufikiria achane waliwe.
Sijui huwa shida inakuwa wapi kufikiri vitu basic Kama hivi.
 
Mkuu ,
Kuna mtu alisema LIKUD kama sikosei.
Alisema ukristo ni IMANI uislamu ni sheria kama nitakuwa nakosea atanirekebisha.

Naona alikuwa sahihi, ukiangalia dhana nzima ya ukristo na uislamu utaona hili jambo.

Taasisi kweli zinaweza kuwepo ila wanazuia vipi hili swala ndio kitendawili kinapoanzia hapo.
Hapo ndio mtihani 😁😁maana ukristo mtu anapanga tu afanye nn hamna sheria.
 
Back
Top Bottom