Serikali iingilie kati Makanisa ya Miujiza? Watanzania masikini wa kutupwa wanakamuliwa mamilioni kwa utapeli huku wahubiri wakigeuka mamilionea

Serikali iingilie kati Makanisa ya Miujiza? Watanzania masikini wa kutupwa wanakamuliwa mamilioni kwa utapeli huku wahubiri wakigeuka mamilionea

Magaidi yametambuliwa huku:

Israel na Marekani wapewa za uso UNGA

Hata makenya hayayataki! 🤣🤣

Mnabanwa kote, poleni
 
Mnabanwa kote, poleni

Kunyongwa hata kina Ken Sorrowiwa, Dedan Kimathi na wengine wengi walinyongwa.

Hawa kuhukumiwa kunyongwa Kuna tatizo Gani? Usisahau kuwa Kuna rufaa achia mbali Tanzania si Kenya. Hanyongwi mtu huku.

Nikiwarejea hawa, kama cause yao ni kama ISIS au Al shabaab basi hao ni wafia dini kama wewe tu. Kwamba na wewe ni mwenzao, ila upande mwingine wa shilingi tu.

Tofautisha hao na Hamas wagawa dozi ya dawaquine!

Screenshot_20231213-090926.jpg
 
Kunyongwa hata kina Ken Sorrowiwa, Dedan Kimathi na wengine wengi walinyongwa.

Hawa kuhukumiwa kunyongwa Kuna tatizo Gani? Usisahau kuwa Kuna rufaa achia mbali Tanzania si Kenya. Hanyongwi mtu huku.

Nikiwarejea hawa, kama cause yao ni kama ISIS au Al shabaab basi hao ni wafia dini kama wewe tu. Kwamba na wewe ni mwenzao, ila upande mwingine wa shilingi tu.

Tofautisha hao na Hamas wagawa dozi ya dawaquine!

View attachment 2841393

Wamehukumiwa kulipua kanisa, dunia haitafumbia macho maupuzi yenu, mtauawa sana Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo
 
Wakristo ndio walitakiwa waanze kukemea hayo mambo kabla ya serikali ila wao wenyewe wamekaa kimya tu.
 
Wamehukumiwa kulipua kanisa, dunia haitafumbia macho maupuzi yenu, mtauawa sana Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo

Bado Kuna rufaa wewe ni nani kuthibitisha tuhuma zao? Nimesema pia kama cause yao ni ya dini kama wewe kama ISIS, hao ni wenzako.

Nimesisitiza Dedan Kimathi, alinyongwa kwenye cause kama ya Hamas, bila shaka ulipo unakenua kumbeza!

Bure kabisa!
 
Wanabodi

Kama kawa kila nipatapo fursa huja na makala zangu elimishi za kwa maslahi ya taifa. Topic ya leo, ni kutoa wito kwa Serikali yetu kuingilia kati kitu kinachoendelea kwenye baadhi ya makanisa ya wakovu yanayojinasibu kufanya miujiza, kutoa mapepo, kutoa uchawi na kufanya miujiza ya uponyaji?.

Baadhi ya wahubiri hawa wanatumia nguvu za giza za kiini macho kwa kitu kinachoitwa auto suggestion kwa Watanzania Masikini wa Kutupwa, kuaminishwa umasikini wao ni kwasababu wamelogwa, hivyo ili kuuondoa uchawi wa umasikini, unatakiwa kufanya appointment kumuona Mtumishi, ambapo utapangiwa kiwango cha fedha kumuona mtumishi.

Kwenye matangazo yao kupitia redio na TV, unaambiwa njoo na sadaka yako bila kuambiwa kiwango. Ukifika kanisani,
utaandikishwa na kuambiwa kiwango cha kumuona mtumishi akueleze jinsi ulivyologwa na ni nani amekuloga. Kiwango kilianzia 10,000, baadae ikawa 20,000, ikapanda kuwa 50,000, 100,000 sasa ni 200,000.

Unatakiwa kuitafuta hiyo pesa popote ulipe ndipo umuone mtumishi. Hivyo ni waumini wenye pesa tuu ndio watamuona mtumishi!.

Baada ya kuingia kumuona, mtumishi atakuambia prophesy yako na ku conclude matatizo yako yote, ya kiuchumi, umasikini, maradhi, au majanga yoyote, ni umelongwa na watu wa jijijini kwako!.

Baada ya hapo sasa ndio utapewa bili ya sadaka. Mtumishi atajifanya anamuuliza Mungu, then unaambiwa Mungu amesema njoo na sadaka ya milioni 2, 5, 10, 20, kutegemea na ukubwa wa tatizo lako, ya kuleta hiyo sadaka ndipo Mungu atalimaliza tatizo lako!.

Kutokana na wewe kuwa ni tayari umesha pigwa ganzi, utakwenda kuzitafuta hizo pesa na kuzileta cash!.

Watanzania masikini wa kutupwa, wanakamuliwa mamilioni kwa utapeli, na baadhi ya hawa ma Pastor, huku hao ma Pastor na wahubiri wakineemeka na kuageuka mamilionea na mabilionea huku wakivuta mi ndinga ya nguvu!.

Kuna Mama mmoja alifiwa na mtoto wake, the only son, amedanganywa mtoto wake hajafa, amechukuliwa tuu kichawi, mama kaambiwa akatafute sadaka kiasi fulani, arejeshewe mwanae!, huyo mama ana haha kusaka hiyo pesa ili kumrejesha mwanae!.

Japo haya ni mambo ya imani, na waumini wanakwenda wenyewe kwa hiyari yao na wana toa fedha kwa ridhaa zao, na serikali yetu imetoa uhuru wa kuabudu, lakini ikifikia kiwango Watanzania wanatapeliwa, serikali ina wajibu wa kuingilia kati wananchi wake wasiendelee kutapeliwa!.

Namalizia kwa ile hoja ya msingi jee kuna haja ya serikali iingilie kati shughuli za haya makanisa ya wakovu ya miujiza ili Watanzania masikini wa kutupwa, wasiendelee kukamuliwa mamilioni kwa utapeli, huku wahubiri wakizidi kunona kwa kuwa mamilionea!.

Naomba kuwasilisha.

Paskali
Update

Mkuu Mywangu, usimwingize Mtumishi kweli wa Mungu, Kuhani Mussa, kumuona Kuhani Musa ni bure ila unaweza kuleta sadaka yako yoyote.

Kazi ya ujenzi wa Ngome ya Yesu pale Kimara Temboni, inafanyika kupitia kadi zinaitwa Partnership, hupangiwi kiwango, unajifanyia personal assessment ndipo unajaza!.

Watumishi matapeli kumuona ni lazima utoe 200,000, kuna watu walikuwa na 100,000 walitoa na zikapokelewa, watu wa 200,000 walipoongezeka, wale wa 100,000 walirudishiwa fedha zao, wakaambiwa wakadundulize mpaka zitimie 200,000 ndipo warudi.

Ukimuona Kuhani Mussa anakuombea na kukupatia vifaa vya kiroho bure extra utalipia lakini kuwaona matapeli hawa, unatakiwa kwenda kuleta kwanza sadaka, with the amount, from 6 figures ndipo uombewe!.

P
Kwanza Makanisa hayafanyi miujiza. Pili! Unajuaje kuwa wanatumia uchawi, unaweza kithibitisha? Tatu! "masikini wa kutupwa" anatoa wapi mamilioni ya kukamuliwa?
 
Wenzetu waliona mbali ndomaana leo hii China imekuwa nchi ya pili kwa uchumi duniani.

Sisi bado tunaambiwa taifa teule ni Israel tu, hivyo hata kama sisi ni masikini tunapaswa kuwachangia katika vita vinavyohusu masilahi yao binafsi ili tubarikiwe.

Wengine wanasema siku ya kiama Mungu ataongea kiarab tu, hivyo tupambane kukijua.
Kwahyo Kuna bakuli ulipitishiwa uwachangie Israel?
 
Wanabodi

Kama kawa kila nipatapo fursa huja na makala zangu elimishi za kwa maslahi ya taifa. Topic ya leo, ni kutoa wito kwa Serikali yetu kuingilia kati kitu kinachoendelea kwenye baadhi ya makanisa ya wakovu yanayojinasibu kufanya miujiza, kutoa mapepo, kutoa uchawi na kufanya miujiza ya uponyaji?.

Baadhi ya wahubiri hawa wanatumia nguvu za giza za kiini macho kwa kitu kinachoitwa auto suggestion kwa Watanzania Masikini wa Kutupwa, kuaminishwa umasikini wao ni kwasababu wamelogwa, hivyo ili kuuondoa uchawi wa umasikini, unatakiwa kufanya appointment kumuona Mtumishi, ambapo utapangiwa kiwango cha fedha kumuona mtumishi.

Kwenye matangazo yao kupitia redio na TV, unaambiwa njoo na sadaka yako bila kuambiwa kiwango. Ukifika kanisani,
utaandikishwa na kuambiwa kiwango cha kumuona mtumishi akueleze jinsi ulivyologwa na ni nani amekuloga. Kiwango kilianzia 10,000, baadae ikawa 20,000, ikapanda kuwa 50,000, 100,000 sasa ni 200,000.

Unatakiwa kuitafuta hiyo pesa popote ulipe ndipo umuone mtumishi. Hivyo ni waumini wenye pesa tuu ndio watamuona mtumishi!.

Baada ya kuingia kumuona, mtumishi atakuambia prophesy yako na ku conclude matatizo yako yote, ya kiuchumi, umasikini, maradhi, au majanga yoyote, ni umelongwa na watu wa jijijini kwako!.

Baada ya hapo sasa ndio utapewa bili ya sadaka. Mtumishi atajifanya anamuuliza Mungu, then unaambiwa Mungu amesema njoo na sadaka ya milioni 2, 5, 10, 20, kutegemea na ukubwa wa tatizo lako, ya kuleta hiyo sadaka ndipo Mungu atalimaliza tatizo lako!.

Kutokana na wewe kuwa ni tayari umesha pigwa ganzi, utakwenda kuzitafuta hizo pesa na kuzileta cash!.

Watanzania masikini wa kutupwa, wanakamuliwa mamilioni kwa utapeli, na baadhi ya hawa ma Pastor, huku hao ma Pastor na wahubiri wakineemeka na kuageuka mamilionea na mabilionea huku wakivuta mi ndinga ya nguvu!.

Kuna Mama mmoja alifiwa na mtoto wake, the only son, amedanganywa mtoto wake hajafa, amechukuliwa tuu kichawi, mama kaambiwa akatafute sadaka kiasi fulani, arejeshewe mwanae!, huyo mama ana haha kusaka hiyo pesa ili kumrejesha mwanae!.

Japo haya ni mambo ya imani, na waumini wanakwenda wenyewe kwa hiyari yao na wana toa fedha kwa ridhaa zao, na serikali yetu imetoa uhuru wa kuabudu, lakini ikifikia kiwango Watanzania wanatapeliwa, serikali ina wajibu wa kuingilia kati wananchi wake wasiendelee kutapeliwa!.

Namalizia kwa ile hoja ya msingi jee kuna haja ya serikali iingilie kati shughuli za haya makanisa ya wakovu ya miujiza ili Watanzania masikini wa kutupwa, wasiendelee kukamuliwa mamilioni kwa utapeli, huku wahubiri wakizidi kunona kwa kuwa mamilionea!.

Naomba kuwasilisha.

Paskali
Update

Mkuu Mywangu, usimwingize Mtumishi kweli wa Mungu, Kuhani Mussa, kumuona Kuhani Musa ni bure ila unaweza kuleta sadaka yako yoyote.

Kazi ya ujenzi wa Ngome ya Yesu pale Kimara Temboni, inafanyika kupitia kadi zinaitwa Partnership, hupangiwi kiwango, unajifanyia personal assessment ndipo unajaza!.

Watumishi matapeli kumuona ni lazima utoe 200,000, kuna watu walikuwa na 100,000 walitoa na zikapokelewa, watu wa 200,000 walipoongezeka, wale wa 100,000 walirudishiwa fedha zao, wakaambiwa wakadundulize mpaka zitimie 200,000 ndipo warudi.

Ukimuona Kuhani Mussa anakuombea na kukupatia vifaa vya kiroho bure extra utalipia lakini kuwaona matapeli hawa, unatakiwa kwenda kuleta kwanza sadaka, with the amount, from 6 figures ndipo uombewe!.

P

😀😀

Kuona nabii au kuhani mchaga inanifanya nitabasamu sana.
Watani zangu mpo vizuri. 😊😊
 
Naunga mkono hoja.
Kuna kanisa la kkkt hapa Dar Mchungaji alikuwa akijinasbu kuwa anaombea wagonjwa wanapona, akiombea wamama wanaokoda kupata watoto sasa wanapata.

Ghafla akaanza kujenga hospitali eti watu watibiwe nikajiuliza zile shuhuda za kuombewa mpaka kupona kuna kitu gani kimetokea, kumbe issue ni maokoto. Huku waumini wanachangishwa hela ili wajenge hospital. Ndo maana sekta ya dini ndo pekee inaonekana kiuchumi na afya ya viongozi wake iko vzr.
 
Pia serikali itupie jicho wananchi waliopumbazwa kiimani hadi kufunga safari ndefu za hizi hija za kwenda Roma, Jerusalem, Mecca na Karbala.

Huku ni kupoteza mamilioni ya fedha za kigeni badala ya kutukuza miungu yetu ya asili iliyo jirani nasi.

Tazama kupitia video hii watu wanavyoishi Jericho, Ramallah, Jerusalem wa imani tofauti bila uhasama

View: https://m.youtube.com/watch?v=qPB0yohLIsU
 
Dugu fia dini brain washee kindaki ndaki kuliko ISIS.

Kazi kweli kweli.

Nimependa sana kuona Tanzania imeamua kutocheka na upuzi wenu
 
Nimependa sana kuona Tanzania imeamua kutocheka na upuzi wenu

Unatapa tapa hujui unaandika kwa mada ipi. Kuwahusu masheikh washtakiwa Arusha tusome huku kujiridhisha:

Napinga masheikh sita wa Kiislamu kupewa adhabu ya kunyongwa hadi kufa
 
Back
Top Bottom