Serikali iingilie kati suala hili . Athari zake ni kubwa kwa Taifa zima. Leo mimi ngefungwa tu kwa kweli

Serikali iingilie kati suala hili . Athari zake ni kubwa kwa Taifa zima. Leo mimi ngefungwa tu kwa kweli

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Nimekuja kunywa chai hapa kwenye Hotel. ni sehemu tuilivu na ya kuheshimika. nimemwagiza mhudumu kaniletea nilivyohitaji nami nikanywa nikajisikia sasa nipo vizuri kushika njia kwenda kuangalia namna ya kuweza lijenga taifa. nimemwita aniletee chenji yangu. Hapo ndo ameanza chenga ambazo hazina kichwa wala miguu. mimi chai yake na mihogo nimekunywa kwa haraka tu na kuwa tayari kumrudishia sahani na kikombe chake. yeye anaanza ujizungusha zungusha kunirudishia tsh 100 yangu.

Chai yenyewe wanauz bei kama nini. chai ya hudhurungi imajini wanauza tsh 500 kikombe kimoja. sukari washakuwekea huko huko kwa kipimo chao huwezi hata kuongeza wameweka sukari utadhani hii ni hotel ya kuhudumia walio na tatizo la Kisukari. ipo kwa mbaaaaaaaaaaaaaaaaaaali.

Haya mihogo tuvipande tudogo tu tsh 200. nimempa tsh 1,000 anipe chai moja na mihogo miwili ambayo inakuwa jumla tsh 400 na chai tsh 500. hapo inarudi tsh 100. sasa naona kama mhudumu anajizungusha zungusha anataka nisahau kila nikimkumbusha ananambia akirembua mijicho yake "uncle subiri kidogo" chenji kweli anatafuta saa zima? Watu tuna mambo ya msingi ya kujenga taifa yeye anataka kutupotezea muda. Nimekwazika sana. saa zima limepita nimefuata meneja nikiwa nimekasirika sana maana naona nachelewa kwenda katika mizunguko ya kitaifa. hii tabia serikali ikemee maana ni kusababisha hata wageni wasiweze kuja kwenye hotel zetu.

Tunapozungumzia utalii kuna haja ya kuwaelezea pia hawa wenye hotel kuajiri watu wenye kiwango kikubwa cha elimu na uelewa wa hizi biashara. haiwezekani mtu unashindwa kupata chenji ya tsh 100 tu kwa urahisi na unasema unafanya biashara. nilitaka niwavuruge kabisa yeye na meneja wake pale hotelini. Sema basi tu watu walinizuia.but sasa hivi mngesikia member mwenzenu mkongwe yupo polisi kw kosa kujeruhi watu na kuharibu mali. Kama hamwezi biashara acheni. Siyo mnakaa kusema mimi mfanyabiashara.biashara my foot.
 
Eti sehemu tulivu yenye heshima.
Dogo hujielewi kabisa. Kwa mama ntilie unaita hoteli.
Halafu mama ntilie anakuwaga na wahudumu?
Hiyo Mia waitakianini hata kondom hainunui?
 
nimekuja kunywa chai hapa kwenye Hotel. ni sehemu tuilivu na ya kuheshimika. nimemwagiza mhudumu kaniletea nilivyohitaji nami nikanywa nikajisikia sasa nipo vizuri kushika njia kwenda kuangalia namna ya kuweza lijenga taifa. nimemwita aniletee chenji yangu... hapo ndo ameanza chenga ambazo hazina kichwa wala miguu. mimi chai yake na mihogo nimekunywa kwa haraka tu na kuwa tayari kumrudishia sahani na kikombe chake. yeye anaanza ujizungusha zungusha kunirudishia tsh 100 yangu. chai yenyewe wanauz bei kama nini. chai ya hudhurungi imajini wanauza tsh 500 kikombe kimoja. sukari washakuwekea huko huko kwa kipimo chao huwezi hata kuongeza wameweka sukari utadhani hii ni hotel ya kuhudumia walio na tatizo la Kisukari. ipo kwa mbaaaaaaaaaaaaaaaaaaali.

haya mihogo tuvipande tudogo tu tsh 200. nimempa tsh 1,000 anipe chai moja na mihogo miwili ambayo inakuwa jumla tsh 400 na chai tsh 500. hapo inarudi tsh 100. sasa naona kama mhudumu anajizungusha zungusha anataka nisahau kila nikimkumbusha ananambia akirembua mijicho yake "uncle subiri kidogo" chenji kweli anatafuta saa zima? watu tuna mambo ya msingi ya kujenga taifa yeye anataka kutupotezea muda.. nimekwazika sana. saa zima limepita nimefuata meneja nikiwa nimekasirika sana maana naona nachelewa kwenda katika mizunguko ya kitaifa. hii tabia serikali ikemee maana ni kusababisha hata wageni wasiweze kuja kwenye hotel zetu.

tunapozungumzia utalii kuna haja ya kuwaelezea pia hawa wenye hotel kuajiri watu wenye kiwango kikubwa cha elimu na uelewa wa hizi biashara. haiwezekani mtu unashindwa kupata chenji ya tsh 100 tu kwa urahisi na unasema unafanya biashara. nilitaka niwavuruge kabisa yeye na meneja wake pale hotelini. sema basi tu watu walinizuia.but sasa hivi mngesikia member mwenzenu mkongwe yupo polisi kw kosa kujeruhi watu na kuharibu mali. kama hamwezi biashara acheni. siyo mnakaa kusema mimi mfanyabiashara.biashara my foot.
Hata sielewi kwanini nachekaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Eti sehemu tulivu yenye heshima.
Dogo hujielewi kabisa. Kwa mama ntilie unaita hoteli.
Halafu mama ntilie anakuwaga na wahudumu?
Hiyo Mia waitakianini hata kondom hainunui?
Nauli ni mia sita! Au unajisahaulisha? Kaka dai hiyo mia au uwe tayari kujisalimisha kwa konda kwa nauli pungufu[emoji106][emoji106]
 
Eti sehemu tulivu yenye heshima.
Dogo hujielewi kabisa. Kwa mama ntilie unaita hoteli.
Halafu mama ntilie anakuwaga na wahudumu?
Hiyo Mia waitakianini hata kondom hainunui?
[emoji3][emoji3][emoji38][emoji38]
 
Hata sielewi kwanini nachekaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
hawa watoto wa chuo bwana eti sehem tulivu hahaha
 
Eti sehemu tulivu yenye heshima.
Dogo hujielewi kabisa. Kwa mama ntilie unaita hoteli.
Halafu mama ntilie anakuwaga na wahudumu?
Hiyo Mia waitakianini hata kondom hainunui?
sasa condom ni ya nini? yaaani mahitaji yako wewe unataka yawe ya wote? we umesoma nimesema nataka kununua condom?
 
daa kweli Maisha yamekuwa magumu, yaani chenji ya 100 mtu anataka kuanzisha vita
 
Pole sana, ni uvivu wao tu kwenda Bank kuchuku chenji za masarafu...
 
nimekuja kunywa chai hapa kwenye Hotel. ni sehemu tuilivu na ya kuheshimika. nimemwagiza mhudumu kaniletea nilivyohitaji nami nikanywa nikajisikia sasa nipo vizuri kushika njia kwenda kuangalia namna ya kuweza lijenga taifa. nimemwita aniletee chenji yangu... hapo ndo ameanza chenga ambazo hazina kichwa wala miguu. mimi chai yake na mihogo nimekunywa kwa haraka tu na kuwa tayari kumrudishia sahani na kikombe chake. yeye anaanza ujizungusha zungusha kunirudishia tsh 100 yangu. chai yenyewe wanauz bei kama nini. chai ya hudhurungi imajini wanauza tsh 500 kikombe kimoja. sukari washakuwekea huko huko kwa kipimo chao huwezi hata kuongeza wameweka sukari utadhani hii ni hotel ya kuhudumia walio na tatizo la Kisukari. ipo kwa mbaaaaaaaaaaaaaaaaaaali.

haya mihogo tuvipande tudogo tu tsh 200. nimempa tsh 1,000 anipe chai moja na mihogo miwili ambayo inakuwa jumla tsh 400 na chai tsh 500. hapo inarudi tsh 100. sasa naona kama mhudumu anajizungusha zungusha anataka nisahau kila nikimkumbusha ananambia akirembua mijicho yake "uncle subiri kidogo" chenji kweli anatafuta saa zima? watu tuna mambo ya msingi ya kujenga taifa yeye anataka kutupotezea muda.. nimekwazika sana. saa zima limepita nimefuata meneja nikiwa nimekasirika sana maana naona nachelewa kwenda katika mizunguko ya kitaifa. hii tabia serikali ikemee maana ni kusababisha hata wageni wasiweze kuja kwenye hotel zetu.

tunapozungumzia utalii kuna haja ya kuwaelezea pia hawa wenye hotel kuajiri watu wenye kiwango kikubwa cha elimu na uelewa wa hizi biashara. haiwezekani mtu unashindwa kupata chenji ya tsh 100 tu kwa urahisi na unasema unafanya biashara. nilitaka niwavuruge kabisa yeye na meneja wake pale hotelini. sema basi tu watu walinizuia.but sasa hivi mngesikia member mwenzenu mkongwe yupo polisi kw kosa kujeruhi watu na kuharibu mali. kama hamwezi biashara acheni. siyo mnakaa kusema mimi mfanyabiashara.biashara my foot.
 
Jamani hizi mada za 1000, 2000 mbona Leo zimekuwa nyingi? Ina maana uchumi wetu ndo umerudia hapa?

Hebu mnaokula Chicken, Prawns, Whole Fish nk served with side dish of your choice (Ugali, Rice, Chips or Plantains) kwa Tsh 22,000; Tsh 28,000; Tsh 45,000; Tsh 68,000 nk mposti basi tuequalize posts
 
Eti sehemu tulivu yenye heshima.
Dogo hujielewi kabisa. Kwa mama ntilie unaita hoteli.
Halafu mama ntilie anakuwaga na wahudumu?
Hiyo Mia waitakianini hata kondom hainunui?
Mkuu nilisikiliza kauli ya GeorDevie aliulizwa na Ayo..kuwa "nasikia unaishi maisha yakifahari sana"
Alijibu "mimi naishi maisha ya kawaida lkn natamani nami niyaishi maisha ya kifahari siku moja niyajue yalivyo"

Lakini huyu GeorDavie anamiliki magari mengi kali.
Ana hekalu anamoishi kali mno.

Nataka kusema nini..
Katika maisha kila mtu na level zake.

Komeo la chuma huenda ameenda kwa mama ntile msafi zaidi hivyo leo kwake yuko hotel nyota 4 akilinganisha na wengine[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Eti sehemu tulivu yenye heshima.
Dogo hujielewi kabisa. Kwa mama ntilie unaita hoteli.
Halafu mama ntilie anakuwaga na wahudumu?
Hiyo Mia waitakianini hata kondom hainunui?
Akili za watanzania walio wengi ni kuzidharau miamia wakidhani utajiri ni kufukuzia milioni pekee
 
Back
Top Bottom