luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Ulevi upo Kila mahali hata kagera kwenu ulevi ni mkubwa hasa wa pombe za kienyeji(rubisi,kanijo,mgoligoli n.k)Sasa Kagera hapa inahusikaje na uzi wenu na huo ulevi wenu. Wewe ndugu ukabila umekutawala. Yaani bila kuisema au kujilinganisha na Kagera hamujisikiagi vizuri et.