Serikali iivunje GPSA au iwaondoe viongozi wa ngazi za juu ili manunuzi ya Kiserikali yasisuesue

Serikali iivunje GPSA au iwaondoe viongozi wa ngazi za juu ili manunuzi ya Kiserikali yasisuesue

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
GPSA au Wakala Wa Manunuzi Serikalini ni miongoni mwa taasisi zinazoikwamisha serikali katika kupiga maendeleo ya haraka.

Siku nyingine nitakuja kwaajili ya taasisi nyingine lakini leo twende na GPSA.

Hii Wakala ni mhimili muhimu sana katika gurudumu la maendeleo hapa nchi ila Lina mauzauza mengi sana.

Mwaka jana mwezi July nilikwenda GPSA kununua bendera ya taifa kwa matumizi ya kiofisi. Nikaambiwa kuwa Bado hazijaja, nikaenda tena October Bado hazijaja, nikaenda Desemba mwanzoni kabisa ndipo nikapata.

Sasa nikaifungua ile bendera nikakuta maandishi kuwa ilizalishwa 2020.

Kama bendera ni ya Tanzania maana yake ni kwamba ilitenfenezwa kwaajili ya Tanzania tu. October 2021 unaenda GPSA unaambiwa kuwa bendera hakuna November mwishoni 2021 zinakuja zikionyesha kuwa zilizalishwa 2020.

Nini kilikwamisha mzigo huu kutoka huko India ambako ndiko mara nyingi zinatengenezwa kuja Tanzania?

Nitakuja kugusia pia uzito ulioko kwenye kuagiza gari za serikali ulioko huko GPSA.
 
GPSA au Wakala Wa Manunuzi Serikalini ni miongoni mwa taasisi zinazoikwamisha serikali katika kupiga maendeleo ya haraka.

Siku nyingine nitakuja kwaajili ya taasisi nyingine lakini leo twende na GPSA.

Hii Wakala ni mhimili muhimu sana katika gurudumu la maendeleo hapa nchi ila Lina mauzauza mengi sana.

Mwaka jana mwezi July nilikwenda GPSA kununua bendera ya taifa kwa matumizi ya kiofisi. Nikaambiwa kuwa Bado hazijaja, nikaenda tena October Bado hazijaja, nikaenda Desemba mwanzoni kabisa ndipo nikapata.

Sasa nikaifungua ile bendera nikakuta maandishi kuwa ilizalishwa 2020.

Kama bendera ni ya Tanzania maana yake ni kwamba ilitenfenezwa kwaajili ya Tanzania tu. October 2021 unaenda GPSA unaambiwa kuwa bendera hakuna November mwishoni 2021 zinakuja zikionyesha kuwa zilizalishwa 2020.

Nini kilikwamisha mzigo huu kutoka huko India ambako ndiko mara nyingi zinatengenezwa kuja Tanzania?

Nitakuja kugusia pia uzito ulioko kwenye kuagiza gari za serikali ulioko huko GPSA.

GPSA wana nafuu TEMESA ndo wahujumu magari na mitambo ya Serikali hakuna watu hovyo kama TEMESA, wanaweza kukufungia spea mbovu kwa bei ya mpya tena OG na makaratasi yao wakaweza fresh kabisa usielewe kitu
 
GPSA wana nafuu TEMESA ndo wahujumu magari na mitambo ya Serikali hakuna watu hovyo kama TEMESA, wanaweza kukufungia spea mbovu kwa bei ya mpya tena OG na makaratasi yao wakaweza fresh kabisa usielewe kitu
Sawa dereva , nimekupata
 
GPSA bora ikafa inatukwamisha sana sisi wafanyabiashara wa stationery, hatuwezi kuuza serikalini mpaka kitu kikosekane GPSA, ili kuongeza mzunguko wa hela mtaani namshauri mama aipotezee GPSA ili wafanyabiashara tunufaike na pesa ya serikali yetu naye mama atakusanya kodi ya kutosha kutoka kwetu.GPSA ikifa kesho kura yangu Mama anayo 2025.
 
GPSA bora ikafa inatukwamisha sana sisi wafanyabiashara wa stationery, hatuwezi kuuza serikalini mpaka kitu kikosekane GPSA, ili kuongeza mzunguko wa hela mtaani namshauri mama aipotezee GPSA ili wafanyabiashara tunufaike na pesa ya serikali yetu naye mama atakusanya kodi ya kutosha kutoka kwetu.GPSA ikifa kesho kura yangu Mama anayo 2025.
Kumbe
 
GPSA bora ikafa inatukwamisha sana sisi wafanyabiashara wa stationery, hatuwezi kuuza serikalini mpaka kitu kikosekane GPSA, ili kuongeza mzunguko wa hela mtaani namshauri mama aipotezee GPSA ili wafanyabiashara tunufaike na pesa ya serikali yetu naye mama atakusanya kodi ya kutosha kutoka kwetu.GPSA ikifa kesho kura yangu Mama anayo 2025.
Wewe ni jizi GPSA imesaidia sana kumpunguza wezi na wafanyabishara wa michongo wakuiibia serikali [emoji3][emoji3] kama unataka biashara ulipe Kodi kwani stationary lazima ufanye na serikali tu private huko hawataki vifaa? Jizi kubwa weee
 
Wewe ni jizi GPSA imesaidia sana kumpunguza wezi na wafanyabishara wa michongo wakuiibia serikali
emoji3.png
emoji3.png
kama unataka biashara ulipe Kodi kwani stationary lazima ufanye na serikali tu private huko hawataki vifaa? Jizi kubwa weee
Wewe ni jizi GPSA imesaidia sana kumpunguza wezi na wafanyabishara wa michongo wakuiibia serikali [emoji3][emoji3] kama unataka biashara ulipe Kodi kwani stationary lazima ufanye na serikali tu private huko hawataki vifaa? Jizi kubwa weee
Pole sana, kwani kuna mfanyabiashara ambaye halipi kodi? ,na GPSA inasidiaje kwenye kodi, naona stress zinakusumbua.Na utakuwa ulikaa benchi muda mrefu bila kuajiriwa sababu ya vyeti feki vyako.
 
Pole sana, kwani kuna mfanyabiashara ambaye halipi kodi? ,na GPSA inasidiaje kwenye kodi, naona stress zinakusumbua.Na utakuwa ulikaa benchi muda mrefu bila kuajiriwa sababu ya vyeti feki vyako.
GPSA inasaidia wapiga Dili kama nyie na taasisi za umma kuwabana mchujwe isiwepo ujanja ujanja kusainisha mikataba ya ununuzi uchochoroni na ndo kinachokuuma jizi kubwa wewe
 
Back
Top Bottom