Kuondokana na adha ya ushindani wa kisiasa kupitia wamachinga Serikali ije na muswada rasmi bungeni utakaokataza biashara kupangwa barabarani.
Sheria hiyo iweke fine /adhabu kwa muuzaji na mnunuzi wa barabarani.
SAD AND PAIN BUT TRUTH!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Sometimes we need binary decision its either 1 or 0 nothing in betweext!This issue is likely to cause more strong argumentations on either sides within my imagination zaidi ya hapo nitakua nacomplicate na uelewa wangu, Naona niwe neutral tu.
Hii ni point kubwa sana waifanyie kaziKuondokana na adha ya ushindani wa kisiasa kupitia wamachinga Serikali ije na muswada rasmi bungeni utakaokataza biashara kupangwa barabarani.
Sheria hiyo iweke fine /adhabu kwa muuzaji na mnunuzi wa barabarani.
SAD AND PAIN BUT TRUTH!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
wanasiasa wote wanawatumia wamachinga ili kuondokana na hilo tuje na muswada wa sheria utakaoweka wazi msimamo kuhusu umachinga.Wanawatumia wamachinga kama mtaji wao kisiasa wakati mwisho wa siku wanaiba kura, ni bangi tu.
Leo umeamua kuja na ID yako ya siku zote🤣🤣Kuondokana na adha ya ushindani wa kisiasa kupitia wamachinga Serikali ije na muswada rasmi bungeni utakaokataza biashara kupangwa barabarani.
Sheria hiyo iweke fine /adhabu kwa muuzaji na mnunuzi wa barabarani.
SAD AND PAIN BUT TRUTH!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
ccm mmefeli wapi na wamachinga?? wapiga kura wenuwanasiasa wote wanawatumia wamachinga ili kuondokana na hilo tuje na muswada wa sheria utakaoweka wazi msimamo kuhusu umachinga.
Maamuzi hayo yana athari kisiasa lakini yapaswa kufikiwa sasa
Biashara za barabarani Hadi ULAYA zipo tatizo ni utaratibuKuondokana na adha ya ushindani wa kisiasa kupitia wamachinga Serikali ije na muswada rasmi bungeni utakaokataza biashara kupangwa barabarani.
Sheria hiyo iweke fine /adhabu kwa muuzaji na mnunuzi wa barabarani.
SAD AND PAIN BUT TRUTH!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
wanasiasa wote wanawatumia wamachinga ili kuondokana na hilo tuje na muswada wa sheria utakaoweka wazi msimamo kuhusu umachinga.
Maamuzi hayo yana athari kisiasa lakini yapaswa kufikiwa sasa
Leo umetema madini hadi nimekupa like!Kuondokana na adha ya ushindani wa kisiasa kupitia wamachinga Serikali ije na muswada rasmi Bungeni utakaokataza biashara kupangwa barabarani.
Sheria hiyo iweke fine /adhabu kwa muuzaji na mnunuzi wa barabarani.
SAD AND PAIN BUT TRUTH!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Hakuna sheria iliyowafanikiwa tza 100% sheria zote ni fursa kwa walinda sheriaKuondokana na adha ya ushindani wa kisiasa kupitia wamachinga Serikali ije na muswada rasmi Bungeni utakaokataza biashara kupangwa barabarani.
Sheria hiyo iweke fine /adhabu kwa muuzaji na mnunuzi wa barabarani.
SAD AND PAIN BUT TRUTH!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Hongera, leo nimekusoma na mada inayoeleweka.Kuondokana na adha ya ushindani wa kisiasa kupitia wamachinga Serikali ije na muswada rasmi Bungeni utakaokataza biashara kupangwa barabarani.
Sheria hiyo iweke fine /adhabu kwa muuzaji na mnunuzi wa barabarani.
SAD AND PAIN BUT TRUTH!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Haa umenikumbusha nitakapokuwa kibogoyo.Swali fikirishi, je ,wabunge wetu wanao uwezo kutambua matokeo hasi ama chana ya hizi sheria wanazozisemea ndiyoooo!Kuondokana na adha ya ushindani wa kisiasa kupitia wamachinga Serikali ije na muswada rasmi Bungeni utakaokataza biashara kupangwa barabarani.
Sheria hiyo iweke fine /adhabu kwa muuzaji na mnunuzi wa barabarani.
SAD AND PAIN BUT TRUTH!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Wewe uliunga mkono upuuzi wote wa awamu ya 5 , hakuna atakayekuamini , nini kimekupata sasa ?Kuondokana na adha ya ushindani wa kisiasa kupitia wamachinga Serikali ije na muswada rasmi Bungeni utakaokataza biashara kupangwa barabarani.
Sheria hiyo iweke fine /adhabu kwa muuzaji na mnunuzi wa barabarani.
SAD AND PAIN BUT TRUTH!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!