Kama tulivyosema kuna watu wanajaribu kumwaribia Raisbkwa kuweka hizi kesi za kijinga. Ubalozi wa German ndiyo Lissu alikimbilia baada ya kutaka kutekwa baada ya uchaguzi na walimpeleka mpaka Airport. Kwasasa watu kwenye kesi ya Mbowe na wanapima kuona kama Tanzania inabadilika au iko vilevile kwenye haki za binadamu na demokrasia.
Lakini Rais hajui kwamba wabaya wake wanataka hizi Balozi ziondoke ili kumpunguzia nguvu lakini wanamdanganya kwamba kuwabana wapinzani ni kuwasaidia CCM na hii haina ushahidi wowote. Serikali isikoweka viongozi wazalendo ambao hanawa njama itaingizwa kwenye matatizo. Leo hii Rais badala ya kushangiliwa New York sifa zimeenda kwa Rais wa Zambia kwasababu tu ya hii kesi.
Serikali kuweni makini nawapa ukweli huu.
Lakini Rais hajui kwamba wabaya wake wanataka hizi Balozi ziondoke ili kumpunguzia nguvu lakini wanamdanganya kwamba kuwabana wapinzani ni kuwasaidia CCM na hii haina ushahidi wowote. Serikali isikoweka viongozi wazalendo ambao hanawa njama itaingizwa kwenye matatizo. Leo hii Rais badala ya kushangiliwa New York sifa zimeenda kwa Rais wa Zambia kwasababu tu ya hii kesi.
Serikali kuweni makini nawapa ukweli huu.