Ndugu wadau sisi wanafunzi wa Chuo Cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere-Kigamboni tunaomba mtufikishie ombi letu kwa Serikali kupitia Wizara ya Elimu ili iinusuru Chuo hiki.
Tunakaribia kurudi chuoni mwezi augusti mwaka huu bila kujua hatma ya chuo itakuwaje kwani kuna walimu pale hawani sifa na ushahidi ulishatolewa kwenye tume. Tulichangishwa fedha za bima ya afya (NHIF) kinyume na utaratibu na hatujarudishiwa. Kuna wanafunzi walifeli wakapewa vyeti na ushahidi pia ulitolewa kwenye tume.
Kuna ufisadi wa kila aina pale Chuoni unaotishia hatma ya elimu yetu. Tunaomba mamlaka husika zichukue hatua mapema kuisafisha chuo hiki ili kirudi kwenye mstari wa kutoa elimu bora. Nawasilia kwenu great thinkers.
Tunakaribia kurudi chuoni mwezi augusti mwaka huu bila kujua hatma ya chuo itakuwaje kwani kuna walimu pale hawani sifa na ushahidi ulishatolewa kwenye tume. Tulichangishwa fedha za bima ya afya (NHIF) kinyume na utaratibu na hatujarudishiwa. Kuna wanafunzi walifeli wakapewa vyeti na ushahidi pia ulitolewa kwenye tume.
Kuna ufisadi wa kila aina pale Chuoni unaotishia hatma ya elimu yetu. Tunaomba mamlaka husika zichukue hatua mapema kuisafisha chuo hiki ili kirudi kwenye mstari wa kutoa elimu bora. Nawasilia kwenu great thinkers.