mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,162
- 796
nashangaa sana, bagamoyo mgogoro kati ya Halmashauri, idara ya elimu sekondari na DEO hawa watu wamuwaoni? nani anahusika, kutoelewana na maneno maneno yanayoendelea KAWAMBWA huoni? au YALIYOMKUTA Nundu, Mponda na wengine ni aibu! HAPA BAGAMOYO hawa watu wanazorotesha ustawi wa mji kielimu..hawafai..tutoleeni MAJOHA NA EVODIUS wanapoteza muda hawa..