DOKEZO Serikali ilifikiria vizuri kuhusu msaada wa Vishikwambi?

DOKEZO Serikali ilifikiria vizuri kuhusu msaada wa Vishikwambi?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Hivi majuzi Serikali ilipatiwa msaada wa vishkwambi kwaajili ya zoezi la sensa kutoka korea ambapo balozi wa Korea nchini Tanzania alivikabizi Kwa waziri mkuu na tayari vimeanza kufanyia kazi iliyokusudiwa swali langu ni je

1. Idara za Usalama wa Taifa nchini ilijiridhisha vizuri kupokea msaada huo wa vishkwambi?

2. Je kama wakorea wametoa msaada huo kwa lengo lao binafsi likiwemo ujasusi wa kimtandao ambapo vifaa hivyo tajwa vinaandika taariffa kamili za wananchi pamoja na viongozi wa kiserikari na wa vyombo vya ulinzi na usalama zikiwemo namba za simu za mhusika na anuani kamili ?

Nashauri vyombo vya usalama ikiwemo TISS na TCRA mjiridhishe tena kuhusu vishkwambi hivyo kwa kuviwekea mifumo ya ulinzi wa taariffa ili kuzuia udukuzi wa Taarifa za wananchi
 
Hivi majuzi Serikali ilipatiwa msaada wa vishkwambi kwaajili ya zoezi la sensa kutoka korea ambapo balozi wa Korea nchini Tanzania alivikabizi Kwa waziri mkuu na tayari vimeanza kufanyia kazi iliyokusudiwa swali langu ni je

1. Idara za Usalama wa Taifa nchini ilijiridhisha vizuri kupokea msaada huo wa vishkwambi?

2. Je kama wakorea wametoa msaada huo kwa lengo lao binafsi likiwemo ujasusi wa kimtandao ambapo vifaa hivyo tajwa vinaandika taariffa kamili za wananchi pamoja na viongozi wa kiserikari na wa vyombo vya ulinzi na usalama zikiwemo namba za simu za mhusika na anuani kamili ?

Nashauri vyombo vya usalama ikiwemo TISS na TCRA mjiridhishe tena kuhusu vishkwambi hivyo kwa kuviwekea mifumo ya ulinzi wa taariffa ili kuzuia udukuzi wa Taarifa za wananchi
Serikali yetu haishauriki.

Ukiwa mwananchi wanakuona daima hauna akili wala msaada kwa serikali lakini ukiwa kiongozi hata uwe low thinking namna gani wanakuona ni jiniaz.

Waache watembee na chupi nje kupitia teknolojia. Aibu yao ni moja tu, kuruhusu nchi kudukuliwa taarifa zake nyeti
 
Back
Top Bottom