Serikali ilikosea kujenga uwanja wa Mkapa Temeke. Hongera KMC kwa uwanja mpya, mpira umesogezwa kwa wastaarabu

Serikali ilikosea kujenga uwanja wa Mkapa Temeke. Hongera KMC kwa uwanja mpya, mpira umesogezwa kwa wastaarabu

Mpaka leo sijui nani alisema uwanja wa Mkapa ujengwe Temeke jirani na uwanja wa Uhuru zamani Taifa.

Haikuwa sahihi kurundika viwanja viwili vikubwa sehemu moja, hatuna uhaba wa ardhi nchini,

Uwanja wa Mkapa ungejengwa Tanganyika Packers kwa Mwamposa.

Mimi binafsi huwa naenda uwanja wa Mkapa kwa matukio muhimu ya kiserikali, mechi ya mwisho na mwanzo kwenda ilikuwa Simba na Yanga ile sare ya 3-3 miaka takribani kumi.


Temeke kuna wahuni wengi sana na hawana uwezo kiuchumi, siwezi kutoka Ununio eti niende Taifa kuabgalia mechi ya Simba na Namungo.

KMC wametufungua macho, mpira sasa unapendwa na kada zote,wastaarabu na wasomi.

Uwanja wa KMC hata mechi ndogo ukiweka kiingilio cha 10000 unajaa.

Pia soma: Mapato ya uwanja wa Benjamini Mkapa ndiyo kikwazo kikubwa kwa mapacha wa Kariakoo kujenga uwanja wao

Jimbo la Kawe na Kinondoni ndio majimbo ya watu wenye uwezo hapa Daslam na Tanzania kwa ujumla. 10,000 kwa wakazi wa Temeke ni hela nyingi mno.

Hongera KMC, nawasihi Simba msirudi kwa Mkapa labda kwenye derby tu.huo ndio uwe uwanja wenu, kwanza Mwenge na Bunju sio mbali.

Haters mpooo


Mtazamo wako ni wa kibaguzi. Tanzania haina sera ya kupendelea maeneo yoyote.

ndio maana hata mwendokasi ilianza kujengwa mbagala, gongo la mboto, njia ya manzese kote uswahilini


na makao makuu ya nchi yakapelekwa Dodoma sehemu ambayo kiasili ni masikini na kame,

hiyo ndio Tanzania tunayojua sisi, haipendelei, hainyimi, kulikobarikiwa kunabaki na baraka zake (mfano kaskazini, zanzibar, dar, mwanza, mbeya)
kwenye ufinyu kunanyanyuliwa (mfano dodoma, mtwara etc)

na hapo tanganyika packers panajengwa arena, unataka nini tena
 
kwa taarifa yako wilaya ya tmk kihistoria waliishi middle class mfano Chang’ombe au Kurasini na masikini au watu wa chini waliishi kariakoo, hivyo siyo kweli kwamba wilaya ya tmk ni masikini eneo la kurasini kote ni tmk ambapo hata Kardinali Pengo aliishi, tmk kuna viwanda vingi sana tu infrastructure ya kufa mtu, tmk usichukulie poa labda kama hauilewi Dar na historia yake …
hawakujui hawa temeke, wala hawajui jinsi chang'ombe kunavyofanana na upanga, wala hawajawahi paona kijichi kulivyo ushuani. hata uswahilini za temeke zinatengeneza pesa, mfano mbagala na tandika ni masoko makubwa ukitoa kariakoo, pesa inatengemezwa uswahilini temeke
 
Mtazamo wako ni wa kibaguzi. Tanzania haina sera ya kupendelea maeneo yoyote.

ndio maana hata mwendokasi ilianza kujengwa mbagala, gongo la mboto, njia ya manzese kote uswahilini


na makao makuu ya nchi yakapelekwa Dodoma sehemu ambayo kiasili ni masikini na kame,

hiyo ndio Tanzania tunayojua sisi, haipendelei, hainyimi, kulikobarikiwa kunabaki na baraka zake (mfano kaskazini, zanzibar, dar, mwanza, mbeya)
kwenye ufinyu kunanyanyuliwa (mfano dodoma, mtwara etc)

na hapo tanganyika packers panajengwa arena, unataka nini tena
Weka kumbukumbu sawa,mwendokasi ilianza morogoro Road 2012
 
Mpaka leo sijui nani alisema uwanja wa Mkapa ujengwe Temeke jirani na uwanja wa Uhuru zamani Taifa.

Haikuwa sahihi kurundika viwanja viwili vikubwa sehemu moja, hatuna uhaba wa ardhi nchini,

Uwanja wa Mkapa ungejengwa Tanganyika Packers kwa Mwamposa.

Mimi binafsi huwa naenda uwanja wa Mkapa kwa matukio muhimu ya kiserikali, mechi ya mwisho na mwanzo kwenda ilikuwa Simba na Yanga ile sare ya 3-3 miaka takribani kumi.


Temeke kuna wahuni wengi sana na hawana uwezo kiuchumi, siwezi kutoka Ununio eti niende Taifa kuabgalia mechi ya Simba na Namungo.

KMC wametufungua macho, mpira sasa unapendwa na kada zote,wastaarabu na wasomi.

Uwanja wa KMC hata mechi ndogo ukiweka kiingilio cha 10000 unajaa.

Pia soma: Mapato ya uwanja wa Benjamini Mkapa ndiyo kikwazo kikubwa kwa mapacha wa Kariakoo kujenga uwanja wao

Jimbo la Kawe na Kinondoni ndio majimbo ya watu wenye uwezo hapa Daslam na Tanzania kwa ujumla. 10,000 kwa wakazi wa Temeke ni hela nyingi mno.

Hongera KMC, nawasihi Simba msirudi kwa Mkapa labda kwenye derby tu.huo ndio uwe uwanja wenu, kwanza Mwenge na Bunju sio mbali.

Haters mpooo
Kiwanja kizuri ila kipo uswahilini sana hapo ukikaza tako ukatandika mkwaju wa nguvu mpira lazima uende chumbani/ chooni kwa mtu kazi inaanza kuutafuta.
 
Mpaka leo sijui nani alisema uwanja wa Mkapa ujengwe Temeke jirani na uwanja wa Uhuru zamani Taifa.

Haikuwa sahihi kurundika viwanja viwili vikubwa sehemu moja, hatuna uhaba wa ardhi nchini,

Uwanja wa Mkapa ungejengwa Tanganyika Packers kwa Mwamposa.

Mimi binafsi huwa naenda uwanja wa Mkapa kwa matukio muhimu ya kiserikali, mechi ya mwisho na mwanzo kwenda ilikuwa Simba na Yanga ile sare ya 3-3 miaka takribani kumi.


Temeke kuna wahuni wengi sana na hawana uwezo kiuchumi, siwezi kutoka Ununio eti niende Taifa kuabgalia mechi ya Simba na Namungo.

KMC wametufungua macho, mpira sasa unapendwa na kada zote,wastaarabu na wasomi.

Uwanja wa KMC hata mechi ndogo ukiweka kiingilio cha 10000 unajaa.

Pia soma: Mapato ya uwanja wa Benjamini Mkapa ndiyo kikwazo kikubwa kwa mapacha wa Kariakoo kujenga uwanja wao

Jimbo la Kawe na Kinondoni ndio majimbo ya watu wenye uwezo hapa Daslam na Tanzania kwa ujumla. 10,000 kwa wakazi wa Temeke ni hela nyingi mno.

Hongera KMC, nawasihi Simba msirudi kwa Mkapa labda kwenye derby tu.huo ndio uwe uwanja wenu, kwanza Mwenge na Bunju sio mbali.

Haters mpooo
Mkuu umeongea ukweli yani tuna viongozi wajinga kweli. Mfano Azam sijui nani aliwashauri wakajenga uwanja uswahilini uko, wangeongea na Serikali naamini wangepewa eneo mjiji maana serikal ina maeneo mengi ya wazi mfano uwanja wa kinesi. Viwanja Ukwamani, Biafra Kinondoni
 
Mkuu umeongea ukweli yani tuna viongozi wajinga kweli. Mfano Azam sijui nani aliwashauri wakajenga uwanja uswahilini uko, wangeongea na Serikali naamini wangepewa eneo mjiji maana serikal ina maeneo mengi ya wazi mfano uwanja wa kinesi. Viwanja Ukwamani, Biafra Kinondoni
Maeneo yapo tu kwa kweli inafikirisha sana,tena hapi biafra pako centre kabisa,panafikika kirahisi toka pande zote za mji,mtu hawezi toka kibaba kwenda chamazi kuangalia mechi
 
hizo unazoziita wilaya nyingine zina maeneo mapya mengi ambayo kihistoria hayakuwa sehemu ya Dar, hivyo ukiangalia kihistoria kwangu mimi uwanja umejengwa strategic sana tu kuna barabara kama port access ambayo ambayo ilipaswa kuwa na iljengwa kama exxpress highway kutoka nje ya mji, siyo mbali na city center, labda nikuulize eneo gani la dar ambalo unafikiri uwanja ulipaswa kujengwa ambalo linaweza kuwa bora zaidi ya hapo pa sasa hivi labda tungejadili hapo halafu ndiyo tutaona pro an cons za hilo eneo la sasa hivi ukilinganisha na hilo (eneo) ambalo ungelipendekeza …
Hili ndio swali la msingi analotakiwa kusema

Utakwambia masaki.
 
Hivi siku hizi wahindi wanajenga bongo?
Maana nasikiaga wao wanapangaga Nyumba za NHC au Apartment kujenga no!!!
Si nyumba peke yake. Hata viwanda hawajengi. Viwanda wanajenga wabongo. Wabongo ndiyo wawekezaji wakubwa wa viwanda. Just confirm na TIC!
 
Ona hili nalo hivi kwanini wanajamii forum mnapenda sana kufake life hili linasema halipo Tanzania kwamba lipo Washington DC lakini linavyochati tu linaonesha lipo tandale
Ha ha ha ha. Tandale ni mji gani tena? Kuna sehemu inaitwa Tandale karibu na Sinza. Watu wa Tandale hawatakiwi kwenda Washington DC. Wakienda huko wanatakiwa wasahau mambo ya kule Tandale walikozaliwa kwa sababu ya Uzungu wao siyo! Hata wale waliozaliwa pale kama Diamond.
 
Kuna tofauti ya bei wakati mwenye eneo akitangaza analiuza na wakati mteja anataka eneo ambalo mmiliki haliuzi na wala hajatangaza kuuza. Ila mteja analitaka. Ndiyo maana mchangiaji mmoja amesema kuna waliokuja mjini hivi karibuni haya mambo hawayajui kabisa kama wewe usivyojua hili. Halafu usisahau mmiliki wa eneo hilo makazi yangu yako mjini Dar Temeke halafu ni mhuni kwa sasa niko Washington DC.
Nakubali Wakorowaitu Rutashobya.
 
Mechi ya mwisho kutazama live kwa mkapa ni ile Simba alimfunga Yanga 5-0.
 
kwa taarifa yako wilaya ya tmk kihistoria waliishi middle class mfano Chang’ombe au Kurasini na masikini au watu wa chini waliishi kariakoo, hivyo siyo kweli kwamba wilaya ya tmk ni masikini eneo la kurasini kote ni tmk ambapo hata Kardinali Pengo aliishi, tmk kuna viwanda vingi sana tu infrastructure ya kufa mtu, tmk usichukulie poa labda kama hauilewi Dar na historia yake …
Ni kweli mkuu.

Changombe ili kuwa planned kuishi watu wa middle class.

Mpaka leo panaonekana palivyopangika.
 
Back
Top Bottom