Serikali ilipobariki mchezo wa Kuteka na kupoteza wakosoaji, Wahuni nao wakaona hii ndiyo nafasi

Serikali ilipobariki mchezo wa Kuteka na kupoteza wakosoaji, Wahuni nao wakaona hii ndiyo nafasi

Bila bila

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
22,168
Reaction score
39,118
Baba mwenye nyumba ukianza kulala na wapangaji na Vijana wako wakajua, utapata wapi nguvu za kukemea watoto wako wa kiume wakilala na wafanyakazi wa ndani na wa kike watakapolala na wapangaji wa kiume.

Hiki ndicho kilichotokea kwenye sakata la Singida na mengine ambayo serikali inayavumbua na kutangaza matukio ambayo awali walisema watu wanaolalamika Wana lengo la kuzusha taharuki.

Maneno hayo yenye lengo la kuficha maovu ya vyombo vya Dola, yalisaidia waovu nje ya serikali kujiona wako salama na kuendelea mauaji huku vyombo vya Dola vikikaa kimya Kwa kudhani waliofanya ni wenzoo.

Dhambi husababisha aibu katika kuchukua hatua.
 
kama Kuna task force kwa ajili ya kuteka na kuua raia basi wakoloni warudi. Better were colonial days. In some cases, colonialists encouraged literacy, the adoption of Western human rights standards, and sowed the seeds for democratic institutions and systems of government
 
Maneno hayo yenye lengo la kuficha maovu ya vyombo vya Dola, yalisaidia waovu nje ya serikali kujiona wako salama na kuendelea mauaji huku vyombo vya Dola vikikaa kimya Kwa kudhani waliofanya ni wenzoo.
Duh,
Kama kukiwa na kundi lingine tofauti na vyombo vya dola itakuwa ni hatari zaidi.

Je, watakuwa wanateka kwa niaba ya nani na kwa malengo gani?
 
Ni kweli kabisa hili, na washenzi watauana sana ikiaminika ni serikali maana imeshaibariki hiyo kazi.
Hii kitu nilishaluona na nilishasemaga kitambo!
Mfano kuna watu siyo wana harakati lakini wanapotea!
Na wengi wao utakuwa ni kudhulhmiana au mambo ya kutembea na wake za watu
Kwa kifupi watu wamepita mule mule wanayofanya wasiyojulikana

Ova
 
Sijawahi kusikia Serikali ikitoa Baraka kwa Utekaji
Tatizo sio baraka, shida ilipo ni kwamba hata wewe unaweza kuteka mtu ukampoteza(sababu za kufanya hivyo ni zako binafsi)

mtu huyo uliye mteka na kumpoteza kama ana julikana alikuwa anatoa kauli za kupinga mienendo ovu ya serikali, basi polisi hawata jihusisha na hiyo kesi wakizani ni kikosi kazi chao ndio kimetekeleza hiyo mission.

Point ya msingi ni kwamba mtu mwenye nia ovu anaweza take advantage ya watu kupote halafu polisi wako kimya.

mfano kama mdude akiwa anakupigia mke wako, mkimpoteza wewe binafsi Polisi wala hawata jihangaisha na wewe watajua tu ni task force imefanya yao.

Ni jukumu la polisi kulinda usalama wa watu wote hata kama watu hao ni wahalifu.
 
Baba mwenye nyumba ukianza kulala na wapangaji na Vijana wako wakajua, utapata wapi nguvu za kukemea watoto wako wa kiume wakilala na wafanyakazi wa ndani na wa kike watakapolala na wapangaji wa kiume.

Hiki ndicho kilichotokea kwenye sakata la Singida na mengine ambayo serikali inayavumbua na kutangaza matukio ambayo awali walisema watu wanaolalamika Wana lengo la kuzusha taharuki.

Maneno hayo yenye lengo la kuficha maovu ya vyombo vya Dola, yalisaidia waovu nje ya serikali kujiona wako salama na kuendelea mauaji huku vyombo vya Dola vikikaa kimya Kwa kudhani waliofanya ni wenzoo.

Dhambi husababisha aibu katika kuchukua hatua.
Point kubwa sana hii ....watu wabaya nao wanapita humu humu....afu haya mambo yanfanywa na watu maskini we fatilia utaona
 
Tatizo sio baraka, shida ilipo ni kwamba hata wewe unaweza kuteka mtu ukampoteza(sababu za kufanya hivyo ni zako binafsi)

mtu huyo uliye mteka na kumpoteza kama ana julikana alikuwa anatoa kauli za kupinga mienendo ovu ya serikali, basi polisi hawata jihusisha na hiyo kesi wakizani ni kikosi kazi chao ndio kimetekeleza hiyo mission.

Point ya msingi ni kwamba mtu mwenye nia ovu anaweza take advantage ya watu kupote halafu polisi wako kimya.

mfano kama mdude akiwa anakupigia mke wako, mkimpoteza wewe binafsi Polisi wala hawata jihangaisha na wewe watajua tu ni task force imefanya yao.

Ni jukumu la polisi kulinda usalama wa watu wote hata kama watu hao ni wahalifu.
Ubabe ubabe tu sahivi

Urafikiri tuko Mexico au Brazil

Ova
 
Back
Top Bottom