Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiko tunakoelekea maana Polisi wanaogopa kuchunguza bàadhi ya matukio walodhani ni wenzao.ULizq leo South africa ni watu wangapi wanatekwa kila siku, huko imefikia mahali kumteka mtu ni kama tu kukwapua simu, ni jambo la kawaida sana, sasa tusiombe hawa wahuni wa kwetu nao waka advance na kuwa proffesional kidnapers, tutakwisha, hata hivyo, kuna watu ambao labda wapo kwenye moja ya vyombo vya dola wanaotumia gap hiyo kufanya mishe zao binafsi za utekaji,na hao ni hatari zaidi, maana wakiona kuna hatari ya kuwa exposed wanaweza kumuua victim kabisa ili kupoteza ushahidi, its so bad though!
Ukimya pia ni ConsentSijawahi kusikia Serikali ikitoa Baraka kwa Utekaji
ACP Faustin Mafwere na genge lake nani anawalipa mshahara?Unao ushahidi wa Serikali kubariki Utekaji? 🐼
Inatisha, tusifike huko.ULizq leo South africa ni watu wangapi wanatekwa kila siku, huko imefikia mahali kumteka mtu ni kama tu kukwapua simu, ni jambo la kawaida sana, sasa tusiombe hawa wahuni wa kwetu nao waka advance na kuwa proffesional kidnapers, tutakwisha, hata hivyo, kuna watu ambao labda wapo kwenye moja ya vyombo vya dola wanaotumia gap hiyo kufanya mishe zao binafsi za utekaji,na hao ni hatari zaidi, maana wakiona kuna hatari ya kuwa exposed wanaweza kumuua victim kabisa ili kupoteza ushahidi, its so bad though!