Serikali ilipobariki mchezo wa Kuteka na kupoteza wakosoaji, Wahuni nao wakaona hii ndiyo nafasi

Ndiko tunakoelekea maana Polisi wanaogopa kuchunguza bàadhi ya matukio walodhani ni wenzao.
 
Wahalifu wamepata mwanya kutokana na system kuanza kuwanyamazisha wakosoaji bila kufuata sheria. Dawa ni wananchi kujilinda dhidi ya hao maharamia.
Huu unabaki kuwa ukweli mpaka Polisi watakapoacha kushiriki utekaji.
 
Yaani kipindi hiki ndo cha kuwalia taiming adui zetu na kuwapoteza, na hamna wa kutufatilia
 
Inatisha, tusifike huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…