Serikali Iliyochanganyikiwa ni "Ile inayopigana na Imani za Watu"

Serikali Iliyochanganyikiwa ni "Ile inayopigana na Imani za Watu"

malisoka

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2012
Posts
1,860
Reaction score
2,636
Udini ni simu kwa taifa.

Udini huondoa umoja na uzalendo.

Udini huondoa mshikamano kati ya dini na dini.

Iwapo serikali kwa msisimko au kukurupuka kuingilia masuala ya imani za watu, itafanya kosa kubwa.

kitaka kuwabana wachungaji, mashehe na wale wa dini za jadi, Basi wote wawe kwenye level sawa.

kama wachungaji wanahitajika wawe na shahada hivyo kwa hivyo na kwa mashehe na walimu wa dini na hata wale wa dini za jadi.

Shime Tanzania . Msiige kutoka Rwanda.

Kuiga iga kwa nchi ya rwanda ndio hata sasa jamii ya kimataifa inatushangaa na kutuadhibu.

Rwanda nchi hii imejaa na inanuka damu, Je tanzania tutataka kuwaiga Rwanda? Rwanda wapo hapo kutokana na huko walipo toka.

Simachawene tulizana.
 
Shahada hazina faida yoyote kwenye dini maana huko waumini wote ni sawa tu kinachowaunganisha ni imani wala siyo elimu.

Cha muhimu serikali iweke sheria na mipaka ambayo mtu wa dini yoyote haruhusiwi kukiuka.
 
Mtumishi nenda shule ya Theolojia tu

Sent from my ONEPLUS A5010 using Tapatalk
 
LEO JAMAA UMEGUSWA MASLAHI YAKO......POLE SANA.
Unajua tusipo sema na kuandika. unafikiri kuna mtu anadhubutu kuita press. jukwaa ndio hili hili. ama wapo au hawapo lakini ujumbe watu wapate.

Hii tabia mbovu ya kusumbiri watu wafe ndio unakuja na sheria na taratibu , tunajiuliza walikuwa wapi?
 
Mtumishi nenda shule ya Theolojia tu

Kwa wakristo hakuna shida.

hivi ukiwaambia mashehe wote na maustadhi wawe na shahada si unakaribisha jihadi.

Hapa ni kutetea dini zote kwa ujumla.
 
Unajua tusipo sema na kuandika. unafikiri kuna mtu anadhubutu kuita press. jukwaa ndio hili hili. ama wapo au hawapo lakini ujumbe watu wapate.

Hii tabia mbovu ya kusumbiri watu wafe ndio unakuja na sheria na taratibu , tunajiuliza walikuwa wapi?
Hili la kusubiri majanga ndipo sheria ziwekwe ni shada............
 
Ni
Hili la kusubiri majanga ndipo sheria ziwekwe ni shada............
Ni kazi kweli kweli. Nikikumbuka lile tangazo la kufuta leseni za udeleva kama huna certificate lilivyotupotezea muda na pesa. huwa nichukia sana.
 
Back
Top Bottom