Serikali imeamua kuua huduma za miamala ya simu

Serikali imeamua kuua huduma za miamala ya simu

live on

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2018
Posts
855
Reaction score
1,365
Kutuma Tshs 300000
Ada ya mtandao Tshs 1500
Tozo za serikali Tshs 3500
JUMLA TSHS 5000

Kutuma Tshs 300000 mtandao tofauti
Ada ya mtandao Tshs 2300
Tozo za serikali Tshs 3500
JUMLA TSHS 5800

Kutoa Tshs 300000
Ada ya mtandaoTshs 6500
Tozo za serikali Tshs 3500
JUMLA TSHS 10000

Ukweli ni Kwamba hapa serikali imeamua kuua miamala ya kuweka na kutoa kupitia makampuni ya simu Kwa sababu inakuwa haina faida Kwa mlaji ila ni hasara

Na pia inasikitisha Kama viongozi wanao ongoza serikali yetu pendwa ya CCM wanaamua kutuletea wananchi wao kitu Kama hichi Kwa kweli inasikitisha sana

Au Kwa sababu wanatumia kodi zetu kununulia magari mazuri ya kutembelea na kulipana mishahara na malupulupu ya kiwango kikubwa ndio Wanahisi Kwamba Watanzania wanaishi maisha mazuri

Sitaki kuamini Kama viongozi wetu ndio wameishiwa mbinu za kuongoza nchi kiasi hiki
 
Wakati nipo mtoto nakua nilifikiri kusoma hadi ngazi ya kuitwa dokta, profesa, mwanazuoni na kadhalika ni ngazi ya mtu kuwa na upeo wa juu sana katika kutafakari na kuchanganua mambo hasa ya kimaendeleo kwa faida ya jamii.

Baada ya kukua na kuona namna wasomi hao wanavyoparuana majukwaani kugombania nafasi za kuchaguliwa / kuteuliwa katika siasa nikagundua Kuna tatizo kubwa sana vichwani mwa hao wasomi.

Imagine waziri kbs kakaa kafikiri hadi upeo wake wa mwisho wa kiakili kaja na wazo la aina hii [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Lawama zote kwa mbunge Zungu alietoa hii idea[emoji3525]

Ntamlaumu mpk naenda kaburini
Wakishakula mishahara na marupurupu ya bunge wanavimbiwa kiasi cha kukosa kufikiri kwa makini.

Wanajifanya hawajui ni kwa kiasi gani hii miamala ya kifedha kwa njia ya simu inavyotusaidia huku kijijini Nyakaiga wanakuja na kodi na makato ya hovyo hovyo tu hopeless kbs hawa watu
 
Sikuwahi kutegemea kama jamaa ni kilaza kiasi hichi

Eti na yeye ndio alikuwa anataka uraisi

Hivi kama ni kweli alisoma uchumi na akaelewa ina maana yeye anaamini kweli kwa makato haya miamala itakuwa mingi ili na serikali ipate hayo mapato mengi

Maana Leo tu mamilioni ya wananchi wameshaacha kutumia mobile money

Inawezekana amepokea fungu kutoka kwa mapepari wa mabenk na huo ni ufisadi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutuma tshs 300000
Ada ya mtandao tshs 1500
Tozo za serikali tshs 3500
JUMLA TSHS 5000

Kutuma tshs 300000 mtandao tofauti
Ada ya mtandao tshs 2300
Tozo za serikali tshs 3500
JUMLA TSHS 5800

Kutoa tshs 300000
Ada ya mtandao tshs 6500
Tozo za serikali tshs 3500
JUMLA TSHS 10000

Ukweli ni Kwamba hapa serikali imeamua kuua miamala ya kuweka na kutoa kupitia makampuni ya simu Kwa sababu inakuwa haina faida Kwa mlaji ila ni hasara

Na pia inasikitisha Kama viongozi wanao ongoza serikali yetu pendwa ya CCM wanaamua kutuletea wananchi wao kitu Kama hichi Kwa kweli inasikitisha sana

Au Kwa sababu wanatumia kodi zetu kununulia magari mazuri ya kutembelea na kulipana mishahara na malupulupu ya kiwango kikubwa ndio Wanahisi Kwamba Watanzania wanaishi maisha mazuri

Sitaki kuamini Kama viongozi wetu ndio wameishiwa mbinu za kuongoza nchi kiasi hiki
safi sana watanzania sasa wameamua kujitegemea ktk kujenga nchi yao, misaada sasa basi tumekuwa watu.wazima sasa sio watoto, tusizoee vya kusaidiwa kila siku, tuone aibu hata mataifa ya wenzetu wanalipa kodi tusipende kunyonya kodi za mataifa mengine na sisi tujenge utamaduni wa kujitegemea.
 
Mwigulu ni hopeless kabisa! Amekosa kabisa akili ya kugundua vyanzo vipya na rafiki vya mapato, akaona akimbilie kwenye miamala na mafuta!
Mwigulu hapaswi kuwepo kwrnye ofisi yoyote ya Umma. au katumwa?
 
Biashara ya miamala kwa njia ya mitandao itashuka sana, bora wangeweka viwango rafiki kiasi.ni bora mtu ufuate hela yako ndogo kwa kupanda daladala au bodaboda
 
Kutuma Tshs 300000
Ada ya mtandao Tshs 1500
Tozo za serikali Tshs 3500
JUMLA TSHS 5000

Kutuma Tshs 300000 mtandao tofauti
Ada ya mtandao Tshs 2300
Tozo za serikali Tshs 3500
JUMLA TSHS 5800

Kutoa Tshs 300000
Ada ya mtandaoTshs 6500
Tozo za serikali Tshs 3500
JUMLA TSHS 10000

Ukweli ni Kwamba hapa serikali imeamua kuua miamala ya kuweka na kutoa kupitia makampuni ya simu Kwa sababu inakuwa haina faida Kwa mlaji ila ni hasara

Na pia inasikitisha Kama viongozi wanao ongoza serikali yetu pendwa ya CCM wanaamua kutuletea wananchi wao kitu Kama hichi Kwa kweli inasikitisha sana

Au Kwa sababu wanatumia kodi zetu kununulia magari mazuri ya kutembelea na kulipana mishahara na malupulupu ya kiwango kikubwa ndio Wanahisi Kwamba Watanzania wanaishi maisha mazuri

Sitaki kuamini Kama viongozi wetu ndio wameishiwa mbinu za kuongoza nchi kiasi hiki
Tujenge nchi kwa pamoja...kwa kulipa kodi/Tozo....ilizoeleka walipa Kodi ni Wafanyakazi na baadhi ya wafanyabiashara....now wote tunalipa kwa ARI MPYA,NGUVU MPYA na KASI MPYA.
 
Kutuma Tshs 300000
Ada ya mtandao Tshs 1500
Tozo za serikali Tshs 3500
JUMLA TSHS 5000

Kutuma Tshs 300000 mtandao tofauti
Ada ya mtandao Tshs 2300
Tozo za serikali Tshs 3500
JUMLA TSHS 5800

Kutoa Tshs 300000
Ada ya mtandaoTshs 6500
Tozo za serikali Tshs 3500
JUMLA TSHS 10000

Ukweli ni Kwamba hapa serikali imeamua kuua miamala ya kuweka na kutoa kupitia makampuni ya simu Kwa sababu inakuwa haina faida Kwa mlaji ila ni hasara

Na pia inasikitisha Kama viongozi wanao ongoza serikali yetu pendwa ya CCM wanaamua kutuletea wananchi wao kitu Kama hichi Kwa kweli inasikitisha sana

Au Kwa sababu wanatumia kodi zetu kununulia magari mazuri ya kutembelea na kulipana mishahara na malupulupu ya kiwango kikubwa ndio Wanahisi Kwamba Watanzania wanaishi maisha mazuri

Sitaki kuamini Kama viongozi wetu ndio wameishiwa mbinu za kuongoza nchi kiasi hiki
Mkuu..wenye mabank walienda ililia serikal kwamba makampun ya simu yamechkua kaz yao ya kuhifadh pesa...maana weng skuhiz kuanzia 5m kushuka chini wanahifadh kwenye simu....na ndo asilimia karib 90 ya wa Tz wanacheza humo...

Bank zilikua zinakufa...na bank zikifa manake bank kuu kwisha...

So watu wa mabank walilia vyakutosha kuwa kama maamuz magum hayatofanywa basi bank zinakufa zote....

Ndo ikabid ichezwe karata hyo

Hahahaha
 
Kutuma Tshs 300000
Ada ya mtandao Tshs 1500
Tozo za serikali Tshs 3500
JUMLA TSHS 5000

Kutuma Tshs 300000 mtandao tofauti
Ada ya mtandao Tshs 2300
Tozo za serikali Tshs 3500
JUMLA TSHS 5800

Kutoa Tshs 300000
Ada ya mtandaoTshs 6500
Tozo za serikali Tshs 3500
JUMLA TSHS 10000

Ukweli ni Kwamba hapa serikali imeamua kuua miamala ya kuweka na kutoa kupitia makampuni ya simu Kwa sababu inakuwa haina faida Kwa mlaji ila ni hasara

Na pia inasikitisha Kama viongozi wanao ongoza serikali yetu pendwa ya CCM wanaamua kutuletea wananchi wao kitu Kama hichi Kwa kweli inasikitisha sana

Au Kwa sababu wanatumia kodi zetu kununulia magari mazuri ya kutembelea na kulipana mishahara na malupulupu ya kiwango kikubwa ndio Wanahisi Kwamba Watanzania wanaishi maisha mazuri

Sitaki kuamini Kama viongozi wetu ndio wameishiwa mbinu za kuongoza nchi kiasi hiki
[emoji106][emoji106] Kwa mujibu wa Ripoti za IMF NA WORLD BANK mobile money ndiyo sekta iliyokuwa inafanya vizuri katika nchi zinazoendelea kuliko hata nchi zilizoendelea. Simu kwa mtu wa kipato cha chini na cha kati ndiyo benki yake ndiyo kila kitu. Kwa hatua hii mchumi daraja la kwanza anaenda kuua sekta hii.
Hii inatisha na inaonyesha jinsi gani kiwango cha elimu katika chuo chetu kikuu UDSM Kilivyo. Yaani huyu ni PhD holder. Ajifunze Kenya. Mlipaji mkuu wa kodi nchini Kenya ni Safaricom na viwango ni vya kawaida kabisa.
 
Back
Top Bottom