live on
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 855
- 1,365
Kutuma Tshs 300000
Ada ya mtandao Tshs 1500
Tozo za serikali Tshs 3500
JUMLA TSHS 5000
Kutuma Tshs 300000 mtandao tofauti
Ada ya mtandao Tshs 2300
Tozo za serikali Tshs 3500
JUMLA TSHS 5800
Kutoa Tshs 300000
Ada ya mtandaoTshs 6500
Tozo za serikali Tshs 3500
JUMLA TSHS 10000
Ukweli ni Kwamba hapa serikali imeamua kuua miamala ya kuweka na kutoa kupitia makampuni ya simu Kwa sababu inakuwa haina faida Kwa mlaji ila ni hasara
Na pia inasikitisha Kama viongozi wanao ongoza serikali yetu pendwa ya CCM wanaamua kutuletea wananchi wao kitu Kama hichi Kwa kweli inasikitisha sana
Au Kwa sababu wanatumia kodi zetu kununulia magari mazuri ya kutembelea na kulipana mishahara na malupulupu ya kiwango kikubwa ndio Wanahisi Kwamba Watanzania wanaishi maisha mazuri
Sitaki kuamini Kama viongozi wetu ndio wameishiwa mbinu za kuongoza nchi kiasi hiki
Ada ya mtandao Tshs 1500
Tozo za serikali Tshs 3500
JUMLA TSHS 5000
Kutuma Tshs 300000 mtandao tofauti
Ada ya mtandao Tshs 2300
Tozo za serikali Tshs 3500
JUMLA TSHS 5800
Kutoa Tshs 300000
Ada ya mtandaoTshs 6500
Tozo za serikali Tshs 3500
JUMLA TSHS 10000
Ukweli ni Kwamba hapa serikali imeamua kuua miamala ya kuweka na kutoa kupitia makampuni ya simu Kwa sababu inakuwa haina faida Kwa mlaji ila ni hasara
Na pia inasikitisha Kama viongozi wanao ongoza serikali yetu pendwa ya CCM wanaamua kutuletea wananchi wao kitu Kama hichi Kwa kweli inasikitisha sana
Au Kwa sababu wanatumia kodi zetu kununulia magari mazuri ya kutembelea na kulipana mishahara na malupulupu ya kiwango kikubwa ndio Wanahisi Kwamba Watanzania wanaishi maisha mazuri
Sitaki kuamini Kama viongozi wetu ndio wameishiwa mbinu za kuongoza nchi kiasi hiki