Ogopa sana mtu ambaye ametumia majina tofauti tofauti katika maisha yake kitaaluma!Mwigulu hapaswi kuwepo kwrnye ofisi yoyote ya Umma. au katumwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ogopa sana mtu ambaye ametumia majina tofauti tofauti katika maisha yake kitaaluma!Mwigulu hapaswi kuwepo kwrnye ofisi yoyote ya Umma. au katumwa?
Mama kamsikiliza Lameck.. Itakula kwake.. Angejua ana magoli ya mbali kamwe asingekubali huu ujingaKutuma Tshs 300000
Ada ya mtandao Tshs 1500
Tozo za serikali Tshs 3500
JUMLA TSHS 5000
Kutuma Tshs 300000 mtandao tofauti
Ada ya mtandao Tshs 2300
Tozo za serikali Tshs 3500
JUMLA TSHS 5800
Kutoa Tshs 300000
Ada ya mtandaoTshs 6500
Tozo za serikali Tshs 3500
JUMLA TSHS 10000
Ukweli ni Kwamba hapa serikali imeamua kuua miamala ya kuweka na kutoa kupitia makampuni ya simu Kwa sababu inakuwa haina faida Kwa mlaji ila ni hasara
Na pia inasikitisha Kama viongozi wanao ongoza serikali yetu pendwa ya CCM wanaamua kutuletea wananchi wao kitu Kama hichi Kwa kweli inasikitisha sana
Au Kwa sababu wanatumia kodi zetu kununulia magari mazuri ya kutembelea na kulipana mishahara na malupulupu ya kiwango kikubwa ndio Wanahisi Kwamba Watanzania wanaishi maisha mazuri
Sitaki kuamini Kama viongozi wetu ndio wameishiwa mbinu za kuongoza nchi kiasi hiki
Tufanyaje mkuu kuepuka hilo?Sio rahisi kukubalina na garama zilizopanda maradufu ni afadhal ongezeko lingekuwa ni kati ya 1% - 10% ya garama za awali
New world orderNimetoa milion moja leo wamenikata elfu16 stupidity
Ni kuongea na wakala akutumie pesa yako moja kwa moja kwa wakala mwenzie wa mahali unapotaka pesa yako ifike mkatie wakala anaetuma 500 na yule wakala anaetoa cash mwambie akate 700 mchezo unaisha kwa makato ya 1200Tufanyaje mkuu kuepuka hilo?
Takukuru wawachunguzi wamiliki wa mabenk na MwiguluMkuu..wenye mabank walienda ililia serikal kwamba makampun ya simu yamechkua kaz yao ya kuhifadh pesa...maana weng skuhiz kuanzia 5m kushuka chini wanahifadh kwenye simu....na ndo asilimia karib 90 ya wa Tz wanacheza humo...
Bank zilikua zinakufa...na bank zikifa manake bank kuu kwisha...
So watu wa mabank walilia vyakutosha kuwa kama maamuz magum hayatofanywa basi bank zinakufa zote....
Ndo ikabid ichezwe karata hyo
Hahahaha
Mimi sio kumlaumu tu.. nimeishamlani tayariLawama zote kwa mbunge Zungu alietoa hii idea[emoji3525]
Ntamlaumu mpk naenda kaburini
Alaaniwe mpk kizazi chake Cha 26Mimi sio kumlaumu tu.. nimeishamlani tayari
Ni umbwaaa kabisa huyu jamaaSikuwahi kutegemea kama jamaa ni kilaza kiasi hichi
Eti na yeye ndio alikuwa anataka uraisi
Hivi kama ni kweli alisoma uchumi na akaelewa ina maana yeye anaamini kweli kwa makato haya miamala itakuwa mingi ili na serikali ipate hayo mapato mengi
Maana Leo tu mamilioni ya wananchi wameshaacha kutumia mobile money
Inawezekana amepokea fungu kutoka kwa mapepari wa mabenk na huo ni ufisadi
Sent using Jamii Forums mobile app