Story za kijiweniMarekani haiwezi kukubali China kupata bandari ya bahari ya hindi ili waweke manowari zao Bagamoyo. Itapiga vita mpaka basi.
Huku vijana waambiwe wasichague kazi, huku waziri awatake chombo cha habari kuomba msamaha, huku sakata la bandari ya bagamoyo.WATANZANIA tutafika mbinguni tumechoka Sana [emoji31]
Kule karume imeteketea af kimya kimyaHuku vijana waambiwe wasichague kazi, huku waziriawatake chombo cha habari kuomba msamaha, huku sakata la bandari ya bagamoyo.
Watu wanatafuna mema ya nchiWATANZANIA tutafika mbinguni tumechoka Sana [emoji31]
ABCD upewe kama nani? Hamna kitu utapewa hapo😅Jambo jema , cha msingi waweke ABCD tu za mchakato mzima wa Mradi. Kazi iendelee.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Waziri Mwambe asiishie kutumbuliwa uwaziri tu avuliwe mpaka ubunge. Nchi haiwezi kuongozwa na mtu muongo na tapeli
Tuwe na subra mbona tuliambiwa treni itaanza kazi toka Sept 2020 mpaka leo kimyaa. Muwe na subra mambo mazuri yanakuja.ABCD upewe kama nani? Hamna kitu utapewa hapo[emoji28]
Hata kama ni mapunda lakini hii mzigo inabebwa na semi jamaa!WATANZANIA tutafika mbinguni ama jehanamu tumechoka Sana [emoji31]