Serikali imeanza kuhakiki mkataba wa bandari ya Bagamoyo

Serikali imeanza kuhakiki mkataba wa bandari ya Bagamoyo

Ukiangalia jinsi ambavyo umeme umekua unapatikana kwa shida, maji shida kulinganisha na enzi Magufuli akiwa HAI then uje na hi ya Bagamoyo, chochote itakacho kuja nacho serikali, kupitia hivo vitu kadhaa ikiwepo na upandaji wa bei ya vitu hasa vya UJENZI, Magufuli ataendelea kuvuna point 3; in fact hata sisi ambao tulikua tunamkosoa sana, tumeanza kujiona kama tulikua tunamkosea; sijui wanakwama wapi sasa hivi
 
Story za kijiweni
Unajua lakini umuhimu wa bandari kwa mataifa makubwa? Unajua kwa nini Putin aliingilia kati vita ya wenyewe kwa wenyewe Syria? Alitaka kupewa bandari ya Latakia Syria. Unajua kwa nini Marekani ilikuwa inawapa Pakistan mabilioni ya dola? Kwa sababu Pakistan walihurusu Marekani kutumia bandari yao kupeleka vifaa vya majeshi yao Afghanistan. Bandari ni kitu muhimu sana kivita.
 
Mkwere amebonyeza button ya REWIND huko magogoni mkanda unarudi nyuma kwa speed!
viatu.jpg
 
Gazeti la Mwananchi toleo la leo limekuja na habari kuwa serikali ya Rais Samia imeanza kupitia upya na kuhakiki mkataba wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo uliotiliwa shaka na hayati Magufuli kuwa una mashariti magumu yanayolenga kuuwa taifa kiuchumi na ni kichaa tu anayeweza kusaini na kukubaliana na mashariti hayo.

Ikumbukwe waziri aliyetumbuliwa bwana Geofrey Mwambe alikanusha kuwa hakuna mkataba wowote wa bandari ya Bagamoyo na kwamba Magufuli alipotoshwa.

My take
Serikali inahakiki mkataba upi tena wakati haujawahi kuwepo?

View attachment 2084598
Ukijibiwa hilo swali la mwisho naomba unijulishe
 
Ukiangalia jinsi ambavyo umeme umekua unapatikana kwa shida, maji shida kulinganisha na enzi Magufuli akiwa HAI then uje na hi ya Bagamoyo, chochote itakacho kuja nacho serikali, kupitia hivo vitu kadhaa ikiwepo na upandaji wa bei ya vitu hasa vya UJENZI, Magufuli ataendelea kuvuna point 3; in fact hata sisi ambao tulikua tunamkosoa sana, tumeanza kujiona kama tulikua tunamkosea; sijui wanakwama wapi sasa hivi
Mtajuta sana
 
Tena wanatufanya sisi mazuzu,mwezi iliyopita tuliambiwa hakuna Mkataba wowote ulisainiwa Bali yalikuwa mazungumzo ya awali,
Sasa Mkataba gani wanaouhakiki Tena.
Mwambe kwenye ubora wake
20220117_110647.jpg
 
Marekani haiwezi kukubali China kupata bandari ya bahari ya hindi ili waweke manowari zao Bagamoyo. Itapiga vita mpaka basi.

China katengeneza kisiwa kikubwa na Mmarekani hakufanya kitu
China anamdai US madeni kibao hebu usimchonganishe akaanza kumkwepa [emoji23][emoji23]
 
Wanahakiki wenyewe au na sisi wananchi tunapata nakala : Kama waliweza kudanganya then kwanini wasidanganye tena now ?

Na hao wahikikishaji wamebadilika ? Watu si ni walewale
 
Sasa Baba wa Mikataba amemchomoa na Baba wa Miaktaba katika mikataba yote iliyohusu ujenzi bingea wa Negotiate alikuwa Engineer Chamuriho ambae nae alishamvua uwaziri sasa sijui anawategemea wakina nan!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom