Inavyoonekana serikali ya Tanzania imeanza kulazimisha wananchi kuchanja chanjo za Covid bila ridhaa zao.
Tumeona mkuu wa mkoa wa Mbeya akitoa kauli za kulazimisha watu huko Mbeya kuchanja ikiwemo wafungwa
Sasa kuna kauli tena ya serikali ikiagiza wakurugenzi watendji wa Taasisi za serikali "kuhamasisha" watumishi wote wa serikali kuchanja. Hii kauli ni kama vile muendelezo wa kuamplify kidogokidogo hatua za kuwalazimisha watu kuchanja.
Binafsi ninasema, Suala la chanjo ni la Afya ya mtu binafsi, serikali haina haki ya kumlazimisha mtu kinachoingia katika mwili wake hasa kama ana wasiwasi na Matokeo ya kitu hicho
Pia rais alishasema kuwa chanjo ni hiyari, sasa sitegemei kuona tunalazimishana. Kama serikali itaanz kulazimisha watu kuchanja hii maana yake ni kuwa itakuwa imemfanya rais aonekane Muongo!
Najua serikali inataka hela kutoka kwa Mabeberu, lakini hela isiwe sababu ya kulazimishana.
WENYE KUTAKA CHANJO WACHANJE, NA WASIOTAKA TUSILAZIMISHANE!
Wanachotaka kufanya ni uhuni, mambo ya tiba hayalazimishwi ni uvunjivu mkubwa wa haki za watu. kabla ya kuwalazimisha watumishi wa serikali kuchanja waanze kutoa option ya wale wasiotaka kuchanja walipwe mafao yao wasepe ili waingize kigezo cha kuchanja kama sifa ya kuwa mtumishi wa umma.
Kwenye mikataba ya ajira hakukuwa na kipengele cha kulazimishana kuchanja. Itakuwa ni kinyume cha mikataba ya kazi na sheria za utumishi muajiri kulazimisha hatua za kitabibu ambazo muajiriwa hataki
Kwenye mikataba ya ajira hakukuwa na kipengele cha kulazimishana kuchanja. Itakuwa ni kinyume cha mikataba ya kazi na sheria za utumishi muajiri kulazimisha hatua za kitabibu ambazo muajiriwa hataki
Na Mh Rais wa JMT kuwa kimya kuhusu matamko ya wasaidizi wake hawa sijui anatupa ujumbe gani? Kwamba ndio tuelewa anatutangazia chanjo ni hiari wakati huohuo akienda kwa wasaidizi wake kuwapa maelekezo anawaamrisha wakalazimishe wananchi kuchanjwa.
Na Mh Rais wa JMT kuwa kimya kuhusu matamko ya wasaidizi wake hawa sijui anatupa ujumbe gani? Kwamba ndio tuelewa anatutangazia chanjo ni hiari wakati huohuo akienda kwa wasaidizi wake kuwapa maelekezo anawaamrisha wakalazimishe wananchi kuchanjwa.
Nahisi hilo, maana hata hotuba yake iliegemea zaidi kujitetea kuhusu hatua tulizochukua kama nchi kuhusu covid, kuliko kueleza sera za mahusiano ya nchi yetu na mataifa mengine.......
Inavyoonekana serikali ya Tanzania imeanza kulazimisha wananchi kuchanja chanjo za Covid bila ridhaa zao.
Tumeona mkuu wa mkoa wa Mbeya akitoa kauli za kulazimisha watu huko Mbeya kuchanja ikiwemo wafungwa
Sasa kuna kauli tena ya serikali ikiagiza wakurugenzi watendji wa Taasisi za serikali "kuhamasisha" watumishi wote wa serikali kuchanja. Hii kauli ni kama vile muendelezo wa kuamplify kidogokidogo hatua za kuwalazimisha watu kuchanja.
Binafsi ninasema, Suala la chanjo ni la Afya ya mtu binafsi, serikali haina haki ya kumlazimisha mtu kinachoingia katika mwili wake hasa kama ana wasiwasi na Matokeo ya kitu hicho
Pia rais alishasema kuwa chanjo ni hiyari, sasa sitegemei kuona tunalazimishana. Kama serikali itaanz kulazimisha watu kuchanja hii maana yake ni kuwa itakuwa imemfanya rais aonekane Muongo!
Najua serikali inataka hela kutoka kwa Mabeberu, lakini hela isiwe sababu ya kulazimishana.
WENYE KUTAKA CHANJO WACHANJE, NA WASIOTAKA TUSILAZIMISHANE!
Kama mnasema magufuli alikuwa anapika data ,wapike data na hizo chanjo kuonesha watazania wamechanjwa milioni kasoro moja ila watanzania wenyewe tunajua moyoni.[emoji1787]
Kama mnasema magufuli alikuwa anapika data ,wapike data na hizo chanjo kuonesha watazania wamechanjwa milioni kasoro moja ila watanzania wenyewe tunajua moyoni.[emoji1787]
Kwenye mikataba ya ajira hakukuwa na kipengele cha kulazimishana kuchanja. Itakuwa ni kinyume cha mikataba ya kazi na sheria za utumishi muajiri kulazimisha hatua za kitabibu ambazo muajiriwa hataki