#COVID19 Serikali imeanza kulazimisha watu kuchanja chanjo za COVID-19?

#COVID19 Serikali imeanza kulazimisha watu kuchanja chanjo za COVID-19?

Shida ya vitu vya bure ndio hiyo, hapo unaweza kukuta aliambiwa lazima ziishe ndio apewe msaada mwingine
 
Inavyoonekana serikali ya Tanzania imeanza kulazimisha wananchi kuchanja chanjo za Covid bila ridhaa zao.

Tumeona mkuu wa mkoa wa Mbeya akitoa kauli za kulazimisha watu huko Mbeya kuchanja ikiwemo wafungwa

Sasa kuna kauli tena ya serikali ikiagiza wakurugenzi watendji wa Taasisi za serikali "kuhamasisha" watumishi wote wa serikali kuchanja. Hii kauli ni kama vile muendelezo wa kuamplify kidogokidogo hatua za kuwalazimisha watu kuchanja.

Binafsi ninasema, Suala la chanjo ni la Afya ya mtu binafsi, serikali haina haki ya kumlazimisha mtu kinachoingia katika mwili wake hasa kama ana wasiwasi na Matokeo ya kitu hicho

Pia rais alishasema kuwa chanjo ni hiyari, sasa sitegemei kuona tunalazimishana. Kama serikali itaanz kulazimisha watu kuchanja hii maana yake ni kuwa itakuwa imemfanya rais aonekane Muongo!

Najua serikali inataka hela kutoka kwa Mabeberu, lakini hela isiwe sababu ya kulazimishana.

WENYE KUTAKA CHANJO WACHANJE, NA WASIOTAKA TUSILAZIMISHANE!

Huyu amechemsha kabla ya kuanza!! Ila anasema watahamasisha, hajasema watalazimisha!! Akitaka aiombe serikali itoe waraka rasmi wa kulazimisha!! Kitu ambacho hakiwezekani!! Huo mtiti hauwezekani kabisa!! Mkuu wa mkoa si mtunga sera, bali ni msimamizi mkuu wa sera zinavyotekelszwa katika mkoa wake na anapimwa kwa hilo!!
Kwa hiyo anapaswa ahakikishe uchanjaji wa hiari unafanyika mkoani mwake!! Watu wasipochanjwa kwa hiari aachie ngazi au Raix amtumbue!! Akijaribu kulazimisha pia atumbuliwe!!
 
Bi mkubwa.kule UN alihimiza chanjo asije kuwa katoa magizo watumishi wachanjwe??

Mi nshatangaza na narudia tena SICHANJWI!!!!
 
Ila hali ngumu, maana juzi Msigwa kasema laki 4 tu ndiyo wamechanja, lakini dsm tu kuna watu karibia laki 5.....bado mwamko ni mdogo sana
Johnson Unachoma Mara Moja Inakaribia Kuchacha Kutokana Muda. Sasa Mzigo Mpya Kutoka China Million 2
Naona Viongozi Wanatweta Wamekosa Ubunifu


Baadaye Tutaambiwa Kuchanja Kwa Virungu
Jiwe Alisema Bwana Bure Hayupo
Sasa Mabeberu Wametoa Cash Wanataka Mrejesho
 
Msihofu Mungu yupo imewashinda kulazimisha barakoa,watu kujazana ije kulazimisha kuchanjwa?
Nani huyo Yuko wapi? Kwa Sheria ipi? Maana mgonjwa mwenyewe Ana haki zake,sembuse mzima?
 
Inavyoonekana serikali ya Tanzania imeanza kulazimisha wananchi kuchanja chanjo za Covid bila ridhaa zao.

Tumeona mkuu wa mkoa wa Mbeya akitoa kauli za kulazimisha watu huko Mbeya kuchanja ikiwemo wafungwa

Sasa kuna kauli tena ya serikali ikiagiza wakurugenzi watendji wa Taasisi za serikali "kuhamasisha" watumishi wote wa serikali kuchanja. Hii kauli ni kama vile muendelezo wa kuamplify kidogokidogo hatua za kuwalazimisha watu kuchanja.

Binafsi ninasema, Suala la chanjo ni la Afya ya mtu binafsi, serikali haina haki ya kumlazimisha mtu kinachoingia katika mwili wake hasa kama ana wasiwasi na Matokeo ya kitu hicho

Pia rais alishasema kuwa chanjo ni hiyari, sasa sitegemei kuona tunalazimishana. Kama serikali itaanz kulazimisha watu kuchanja hii maana yake ni kuwa itakuwa imemfanya rais aonekane Muongo!

Najua serikali inataka hela kutoka kwa Mabeberu, lakini hela isiwe sababu ya kulazimishana.

WENYE KUTAKA CHANJO WACHANJE, NA WASIOTAKA TUSILAZIMISHANE!

MKUU wa MKOA wa MBEYA ametangaza Chanjo ni Nyumba kwa Nyumba
 
Inavyoonekana serikali ya Tanzania imeanza kulazimisha wananchi kuchanja chanjo za Covid bila ridhaa zao.

Tumeona mkuu wa mkoa wa Mbeya akitoa kauli za kulazimisha watu huko Mbeya kuchanja ikiwemo wafungwa

Sasa kuna kauli tena ya serikali ikiagiza wakurugenzi watendji wa Taasisi za serikali "kuhamasisha" watumishi wote wa serikali kuchanja. Hii kauli ni kama vile muendelezo wa kuamplify kidogokidogo hatua za kuwalazimisha watu kuchanja.

Binafsi ninasema, Suala la chanjo ni la Afya ya mtu binafsi, serikali haina haki ya kumlazimisha mtu kinachoingia katika mwili wake hasa kama ana wasiwasi na Matokeo ya kitu hicho

Pia rais alishasema kuwa chanjo ni hiyari, sasa sitegemei kuona tunalazimishana. Kama serikali itaanz kulazimisha watu kuchanja hii maana yake ni kuwa itakuwa imemfanya rais aonekane Muongo!

Najua serikali inataka hela kutoka kwa Mabeberu, lakini hela isiwe sababu ya kulazimishana.

WENYE KUTAKA CHANJO WACHANJE, NA WASIOTAKA TUSILAZIMISHANE!

Ikibidi iwe lazima kuchanja Ili tusiambukizane na tusiendelee kuwa kwenye red line afu uchumi wa nchi unaanguka.
 
Huyu pumbavu anaropoka nini? Matibabu Ni hiyari ya mgonjwa siyo lazima,mbona viongozi wetu mnatutia Shaka juu ya uadilifu wenu.tukisema Kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia tutakosea.
 
Back
Top Bottom