Serikali imechelewesha mishahara au haina pesa?

Serikali imechelewesha mishahara au haina pesa?

Mishahara imechelewa kutoka, June 2024,watumishi wa Umma wana maisha magumu sana

Kuna Kila dalili serikali kuwaonea huruma watumishi wa umma hadi Leo tar 23.6.2024 mishahara haijatoka.

Hili ni tatizo na ukiona serikali imeshindwa kulipa watumishi wake jua ipo mwishoni.

PIA SOMA
- Kuanzia mwezi huu, June 2024 mishahara ya watumishi wa umma itakuwa inalipwa Kati ya tarehe 28 - 30

- Enzi za Hayati Magufuli alikuwa analipa mshahara mpaka tarehe 19 awamu hii vipi?
Hela za kulipa mishahara zitatoka wapi!, Wakati zinaelekezwa Zanzibar kupitia kuilipia mikopo yake inayokopwa bila utaratibu.
 
Mishahara imechelewa kutoka, June 2024,watumishi wa Umma wana maisha magumu sana

Kuna Kila dalili serikali kuwaonea huruma watumishi wa umma hadi Leo tar 23.6.2024 mishahara haijatoka.

Hili ni tatizo na ukiona serikali imeshindwa kulipa watumishi wake jua ipo mwishoni.

PIA SOMA
- Kuanzia mwezi huu, June 2024 mishahara ya watumishi wa umma itakuwa inalipwa Kati ya tarehe 28 - 30

- Enzi za Hayati Magufuli alikuwa analipa mshahara mpaka tarehe 19 awamu hii vipi?

UPDATE:
TAARIFA HII IMEHAKIKIWA NA JAMIICHECK NA KUBAINI KUWA HAINA UKWELI. SOMA:


- SI KWELI - Kuanzia mwezi huu, June 2024 mishahara ya watumishi wa umma itakuwa inalipwa Kati ya tarehe 28 - 30
TUCTA wao ni akina nani hadi watubadilishie tarehe ya mishahara yetu?
Hawa si ndo walituletea kikokotoo? Toka tarehe 23/05 hadi tarehe 309/06 ni siku 38 badala ya siku 30 za mwezi
 
Watumishi mmezidi sasa kulalamika. Subirini mtalipwa. Kwanza hata hivyo shukuruni serikali inawasaidi kupunguza matumizi kwa kuendelea kuwahifadhia hela zenu.
We hujui watu walivyo pambano hadi kupata sifa za kuajiriwa! Siyo upendeleo. Wengine tumeajiri wa kipindi ikikataa kwenda kufanya kazi serikalini, unashitakiwa kwa kukiuka mkataba!
Leo akina Madelu wanatuwekea tu vikokotoo na kutufanya wapendavyo!
Hadi tunajuta kuajiliwa na serikali kipindi hicho!
 
Hapo usikute wewe ni mwandishi wa gazeti la The Guardian ambao hamjalipwa kwa miezi 3 mfululizo, lkn hamuuandiki habari aenu
 
Mwezi huu tutawakopa..tutawalipa mwezi ujao..
 
Mishahara imechelewa kutoka, June 2024,watumishi wa Umma wana maisha magumu sana

Kuna Kila dalili serikali kuwaonea huruma watumishi wa umma hadi Leo tar 23.6.2024 mishahara haijatoka.

Hili ni tatizo na ukiona serikali imeshindwa kulipa watumishi wake jua ipo mwishoni.

PIA SOMA
- Kuanzia mwezi huu, June 2024 mishahara ya watumishi wa umma itakuwa inalipwa Kati ya tarehe 28 - 30

- Enzi za Hayati Magufuli alikuwa analipa mshahara mpaka tarehe 19 awamu hii vipi?

UPDATE:
TAARIFA HII IMEHAKIKIWA NA JAMIICHECK NA KUBAINI KUWA HAINA UKWELI. SOMA:


- SI KWELI - Kuanzia mwezi huu, June 2024 mishahara ya watumishi wa umma itakuwa inalipwa Kati ya tarehe 28 - 30
Niliacha kulala na mafaili Nina stress
 
Mishahara imechelewa kutoka, June 2024,watumishi wa Umma wana maisha magumu sana

Kuna Kila dalili serikali kuwaonea huruma watumishi wa umma hadi Leo tar 23.6.2024 mishahara haijatoka.

Hili ni tatizo na ukiona serikali imeshindwa kulipa watumishi wake jua ipo mwishoni.

PIA SOMA
- Kuanzia mwezi huu, June 2024 mishahara ya watumishi wa umma itakuwa inalipwa Kati ya tarehe 28 - 30

- Enzi za Hayati Magufuli alikuwa analipa mshahara mpaka tarehe 19 awamu hii vipi?

UPDATE:
TAARIFA HII IMEHAKIKIWA NA JAMIICHECK NA KUBAINI KUWA HAINA UKWELI. SOMA:


- SI KWELI - Kuanzia mwezi huu, June 2024 mishahara ya watumishi wa umma itakuwa inalipwa Kati ya tarehe 28 - 30
Wenye akili hata hawawazi kuhusu mshahara kwasababu wanajimudu hata bila mshahara
 
Dah mshahara kuchelewa imekuwa nongwa, na kazi mngekuwa mnapiga kwa bidii hivi hivi tungekuwa mbali sana
 
Mishahara imechelewa kutoka, June 2024,watumishi wa Umma wana maisha magumu sana

Kuna Kila dalili serikali kuwaonea huruma watumishi wa umma hadi Leo tar 23.6.2024 mishahara haijatoka.

Hili ni tatizo na ukiona serikali imeshindwa kulipa watumishi wake jua ipo mwishoni.

PIA SOMA
- Kuanzia mwezi huu, June 2024 mishahara ya watumishi wa umma itakuwa inalipwa Kati ya tarehe 28 - 30

- Enzi za Hayati Magufuli alikuwa analipa mshahara mpaka tarehe 19 awamu hii vipi?

UPDATE:
TAARIFA HII IMEHAKIKIWA NA JAMIICHECK NA KUBAINI KUWA HAINA UKWELI. SOMA:


- SI KWELI - Kuanzia mwezi huu, June 2024 mishahara ya watumishi wa umma itakuwa inalipwa Kati ya tarehe 28 - 30
Wenye akili tulijua Serikali ya Awamu ya Sita itakwamia hapa!!

Nchi imekabidhiwa Kwa wezi ambao Kila jambo wanapiga!!

Sakata la Sukari limewavua nguo. Hela hakuna tena
 
Back
Top Bottom