Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hela za kulipa mishahara zitatoka wapi!, Wakati zinaelekezwa Zanzibar kupitia kuilipia mikopo yake inayokopwa bila utaratibu.Mishahara imechelewa kutoka, June 2024,watumishi wa Umma wana maisha magumu sana
Kuna Kila dalili serikali kuwaonea huruma watumishi wa umma hadi Leo tar 23.6.2024 mishahara haijatoka.
Hili ni tatizo na ukiona serikali imeshindwa kulipa watumishi wake jua ipo mwishoni.
PIA SOMA
- Kuanzia mwezi huu, June 2024 mishahara ya watumishi wa umma itakuwa inalipwa Kati ya tarehe 28 - 30
- Enzi za Hayati Magufuli alikuwa analipa mshahara mpaka tarehe 19 awamu hii vipi?
Fedha zinaelekezwa Zanzibar, kufuru!.Haina pesa hata bodi ya mikopo kwa wanaomdai ni mpaka tarehe moja julai.
HAPO SASAMdau kwani mshahara huwa mnalipwa Tarehe ngapi?
Zanzibar ndiyo inayoikausha Tanganyika, hadi kulipa mishahara inaanza kuwa changamoto.Sikuhizi Tra wanafanya KAZI Hadi JUMAMOSI na Jumapili,
Ndio ujue pesa hamna.
Lakini hapo hapo utasikia, Awamu ya aitwaye mama, imevunja rekodi ya makusanyo.🤔
Jaribu kutumia app mkuu.Nimeshaangalia Salio kama mara 500, mpaka Salio lote kwishne
TUCTA wao ni akina nani hadi watubadilishie tarehe ya mishahara yetu?Mishahara imechelewa kutoka, June 2024,watumishi wa Umma wana maisha magumu sana
Kuna Kila dalili serikali kuwaonea huruma watumishi wa umma hadi Leo tar 23.6.2024 mishahara haijatoka.
Hili ni tatizo na ukiona serikali imeshindwa kulipa watumishi wake jua ipo mwishoni.
PIA SOMA
- Kuanzia mwezi huu, June 2024 mishahara ya watumishi wa umma itakuwa inalipwa Kati ya tarehe 28 - 30
- Enzi za Hayati Magufuli alikuwa analipa mshahara mpaka tarehe 19 awamu hii vipi?
UPDATE:
TAARIFA HII IMEHAKIKIWA NA JAMIICHECK NA KUBAINI KUWA HAINA UKWELI. SOMA:
- SI KWELI - Kuanzia mwezi huu, June 2024 mishahara ya watumishi wa umma itakuwa inalipwa Kati ya tarehe 28 - 30
We hujui watu walivyo pambano hadi kupata sifa za kuajiriwa! Siyo upendeleo. Wengine tumeajiri wa kipindi ikikataa kwenda kufanya kazi serikalini, unashitakiwa kwa kukiuka mkataba!Watumishi mmezidi sasa kulalamika. Subirini mtalipwa. Kwanza hata hivyo shukuruni serikali inawasaidi kupunguza matumizi kwa kuendelea kuwahifadhia hela zenu.
Mkuu, hii ni kweli au ni kuwapa tu watu matumaini?Wanafanya ku upload mishahara mipya ya watumishi waliopandishwa ngazi majuzi kati.
Hii ni verified report.
Niliacha kulala na mafaili Nina stressMishahara imechelewa kutoka, June 2024,watumishi wa Umma wana maisha magumu sana
Kuna Kila dalili serikali kuwaonea huruma watumishi wa umma hadi Leo tar 23.6.2024 mishahara haijatoka.
Hili ni tatizo na ukiona serikali imeshindwa kulipa watumishi wake jua ipo mwishoni.
PIA SOMA
- Kuanzia mwezi huu, June 2024 mishahara ya watumishi wa umma itakuwa inalipwa Kati ya tarehe 28 - 30
- Enzi za Hayati Magufuli alikuwa analipa mshahara mpaka tarehe 19 awamu hii vipi?
UPDATE:
TAARIFA HII IMEHAKIKIWA NA JAMIICHECK NA KUBAINI KUWA HAINA UKWELI. SOMA:
- SI KWELI - Kuanzia mwezi huu, June 2024 mishahara ya watumishi wa umma itakuwa inalipwa Kati ya tarehe 28 - 30
Wenye akili hata hawawazi kuhusu mshahara kwasababu wanajimudu hata bila mshaharaMishahara imechelewa kutoka, June 2024,watumishi wa Umma wana maisha magumu sana
Kuna Kila dalili serikali kuwaonea huruma watumishi wa umma hadi Leo tar 23.6.2024 mishahara haijatoka.
Hili ni tatizo na ukiona serikali imeshindwa kulipa watumishi wake jua ipo mwishoni.
PIA SOMA
- Kuanzia mwezi huu, June 2024 mishahara ya watumishi wa umma itakuwa inalipwa Kati ya tarehe 28 - 30
- Enzi za Hayati Magufuli alikuwa analipa mshahara mpaka tarehe 19 awamu hii vipi?
UPDATE:
TAARIFA HII IMEHAKIKIWA NA JAMIICHECK NA KUBAINI KUWA HAINA UKWELI. SOMA:
- SI KWELI - Kuanzia mwezi huu, June 2024 mishahara ya watumishi wa umma itakuwa inalipwa Kati ya tarehe 28 - 30
Mfanyakazi haki yake ni.mshahafa,mfanyakazi pekee ambaye .mshahara ulichelewa halalamiki ni Housegirl anayekaa Kwa bosi maana Kila kitu kipoWenye akili hata hawawazi kuhusu mshahara kwasababu wanajimudu hata bila mshahara
Wenye akili tulijua Serikali ya Awamu ya Sita itakwamia hapa!!Mishahara imechelewa kutoka, June 2024,watumishi wa Umma wana maisha magumu sana
Kuna Kila dalili serikali kuwaonea huruma watumishi wa umma hadi Leo tar 23.6.2024 mishahara haijatoka.
Hili ni tatizo na ukiona serikali imeshindwa kulipa watumishi wake jua ipo mwishoni.
PIA SOMA
- Kuanzia mwezi huu, June 2024 mishahara ya watumishi wa umma itakuwa inalipwa Kati ya tarehe 28 - 30
- Enzi za Hayati Magufuli alikuwa analipa mshahara mpaka tarehe 19 awamu hii vipi?
UPDATE:
TAARIFA HII IMEHAKIKIWA NA JAMIICHECK NA KUBAINI KUWA HAINA UKWELI. SOMA:
- SI KWELI - Kuanzia mwezi huu, June 2024 mishahara ya watumishi wa umma itakuwa inalipwa Kati ya tarehe 28 - 30