kalacha mateo
Senior Member
- Sep 27, 2021
- 119
- 240
Baada ya kuchaguliwa vijana 812 wa awamu ya kwanza kwenda kwenye mafunzo ya kilimo, Leo kazi imeanza kwa mafunzo ya uandaaji na uzalishaji wa miche katika kituo atamizi cha Bihawana jijini Dodoma. Serikali inakusuidia kutengeneza ajira milioni tatu za vijana na wanawake kupitia kilimo ifikapo mwaka 2030.
Aidha serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu inaboresha sekta ya kilimo na kutatua changamoto za kilimo ili kuwavutia zaidi vijana kwenye kilimo. Serikali inatoa umiliki wa ardhi kwa kipindi cha miaka 66 ikiwa ni sehemu ya mtaji baada ya kumaliza mafunzo hayo.
Imani ya serikali nguvu kubwa ya vijana na wananwake ikienda shambani basi Taifa litazalisha chakula cha kutosha kwa ajili ya taifa, Afrika na Dunia.
Aidha serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu inaboresha sekta ya kilimo na kutatua changamoto za kilimo ili kuwavutia zaidi vijana kwenye kilimo. Serikali inatoa umiliki wa ardhi kwa kipindi cha miaka 66 ikiwa ni sehemu ya mtaji baada ya kumaliza mafunzo hayo.
Imani ya serikali nguvu kubwa ya vijana na wananwake ikienda shambani basi Taifa litazalisha chakula cha kutosha kwa ajili ya taifa, Afrika na Dunia.