Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiongoz vp kuhusu cc tuliokuwa na ajira mpya tukasimamishwa kuna tumaini lolote hadi kufika mwisho wa mwez huu wa sabaWazee wa kukodolea mishahara kwa simbanking mna wasiwasi sana
Yaani kuajiliwa wakati mwingine ni kama "kautumwa" fulani hivi.Usihofu ngalelefijo salary itawahi July
Inadaiwa ni wiki sasa tangu hizo kompyuta zifungwe na serikali automatically kwani hazifunguki hivyo kazi sasa wanafanya manual
Inawezekana wataalamu wa it kutoka Rwanda wametua na ndio kazi hiyo imeanza kuunganisha mfumo wa mapato ya serikali nchi nzima
Source rafiki
vizuri mnoMaelezo yametulia
Hata shuguri zako binafsi kuna utumwa, kuna shuguri illi upate pesa lazima ufungue muda flani, mfano kuna watu wamejiajili wenyewe ila inawabidi wakeshe ili kupata pesa. Labda inategemea hatua aliyofikia mtu, kuna watu wameajiliwa na wanakula nchi vizuri wala hamna shida, wapo waliojiajili wako vizuri wala hawahangaiki sana.Wazee wa kukodolea mishahara kwa simbanking mna wasiwasi sana
Yaani kuajiliwa wakati mwingine ni kama "kautumwa" fulani hivi.Usihofu ngalelefijo salary itawahi July
Kwahiyo computer za serikali zote kila wanacho kifanya huwa kinaonekana HQ ya magogoni?
Duuuuh. we mkali. source ni RAFIKI?Inadaiwa ni wiki sasa tangu hizo kompyuta zifungwe na serikali automatically kwani hazifunguki hivyo kazi sasa wanafanya manual
Inawezekana wataalamu wa it kutoka Rwanda wametua na ndio kazi hiyo imeanza kuunganisha mfumo wa mapato ya serikali nchi nzima
Source rafiki
Hizo stori mngepiga huku rosti ya nyama ilee ikiwa mezani na ulanzi kiasi ingenoga sana.Hahaaaa Nyongisa sana mvina barafu!
nano ndiona mvina (No.1) itegula sana va kukaye!
Eena...Mnyakaye aitegula sana vanyalukolo va kukaye...Yaani aipilimapilima ku vanyamumo!!Inoo twigita ndauli?pe imadaraka gakwe?Tusindilage palubali helaaa myaaaa
Bila shaka hawa watakuwa Wataalam uchwara.
Haka ka-mbwa katawatosheni kweli nyie wote?Eena...Mnyakaye aitegula sana vanyalukolo va kukaye...Yaani aipilimapilima ku vanyamumo!!Inoo twigita ndauli?pe imadaraka gakwe?Tusindilage palubali helaaa myaaaa
MKUU LINAWEZA ATHIRI SALARY YA JULY?
asante mwa ushauri ndugu yangu wa damu,barafuWazee wa kukodolea mishahara kwa simbanking mna wasiwasi sana
Yaani kuajiliwa wakati mwingine ni kama "kautumwa" fulani hivi.Usihofu ngalelefijo salary itawahi July
muda wote unawaza mshahara tu kweli kuajiriwa ni utumwa akili zako ni ndogo kupita za kukuMKUU LINAWEZA ATHIRI SALARY YA JULY?
Ungeuliza badala ya kutoa opinion zako.
Ni hivi mwaka wa fedha wa serikali unaanza tarehe 01/07 na kuisha 30/06 kila mwaka.
KINACHOTOKEA
kwa kuwa mwaka wa fedha unaanza tarehe 01/07 na kwa kuwa mfumo wa malipo wa serikali hasa LGA's yaani Epicor 9.05 upo centralized kinachofanyika kwa muda huo kuanzia tarehe 01/07 linafanyika zoezi la ku-upload budget za LGA's zote na kumbuka ni karibu 185. utaona mwenyewe ni namna gani zoezi hili lilivyokubwa na lenye kuhitaji umakini, kumbuka baudget inaingizwa kwa govenment financial statistics code (GFS code) yaani kila Tshs inaingizwa kwenye kifungu husika.
Kwa sababu hiyo ndio maana malipo kwa sasa kwa LGA's yamesimama lakini pia kumbuka yamesimama kwa zile hatua zinazohitaji kufanya kwa mfumo na kwa sababu malipo ni process, bado kuna hatua nyingine za malipo kama vile kuinitiate madokezo kunafanyika wakati wakisubiri budgeti iwe uploaded kwenye mfumo wao wa epicor 9.05.
Kuhusu Lawson na mifumo mingine inayotumia infrastructures za Epicor 9.05 inaweza kuathirika kwa namna moja au nyingine kwa kuwa wakati huu pia TAMISEMI inaweza ikawa inafanya maboresho au marekebisho kwenye miundo mbinu ya mifumo mfano Servers updating, upgrading....etc
Zoezi hili huwa ni la kila mwaka hivyo halina uhusiano na utawala uliopo.
TATIZO LINAWEZAJE KUEPUKIKA
Tatizo kama hili linaweza kuepukika ikiwa kunaweza kukawa na mifumo miwili inayofanana but tofauti in physical device katika hatua za mwanzo kama stand alone system them zinaweza pandishwa kwenye server usiku wa tarehe 30/06 Kila mwaka ili tarehe 01/07 asubuhi kusitokee namna yoyote masuala ya malipo yakasimama.
Nadhani Mtoa thread utakuwa umepata japo kwa kiasi.
Nimekuelewa sanaUngeuliza badala ya kutoa opinion zako.
Ni hivi mwaka wa fedha wa serikali unaanza tarehe 01/07 na kuisha 30/06 kila mwaka.
KINACHOTOKEA
kwa kuwa mwaka wa fedha unaanza tarehe 01/07 na kwa kuwa mfumo wa malipo wa serikali hasa LGA's yaani Epicor 9.05 upo centralized kinachofanyika kwa muda huo kuanzia tarehe 01/07 linafanyika zoezi la ku-upload budget za LGA's zote na kumbuka ni karibu 185. utaona mwenyewe ni namna gani zoezi hili lilivyokubwa na lenye kuhitaji umakini, kumbuka baudget inaingizwa kwa govenment financial statistics code (GFS code) yaani kila Tshs inaingizwa kwenye kifungu husika.
Kwa sababu hiyo ndio maana malipo kwa sasa kwa LGA's yamesimama lakini pia kumbuka yamesimama kwa zile hatua zinazohitaji kufanya kwa mfumo na kwa sababu malipo ni process, bado kuna hatua nyingine za malipo kama vile kuinitiate madokezo kunafanyika wakati wakisubiri budgeti iwe uploaded kwenye mfumo wao wa epicor 9.05.
Kuhusu Lawson na mifumo mingine inayotumia infrastructures za Epicor 9.05 inaweza kuathirika kwa namna moja au nyingine kwa kuwa wakati huu pia TAMISEMI inaweza ikawa inafanya maboresho au marekebisho kwenye miundo mbinu ya mifumo mfano Servers updating, upgrading....etc
Zoezi hili huwa ni la kila mwaka hivyo halina uhusiano na utawala uliopo.
TATIZO LINAWEZAJE KUEPUKIKA
Tatizo kama hili linaweza kuepukika ikiwa kunaweza kukawa na mifumo miwili inayofanana but tofauti in physical device katika hatua za mwanzo kama stand alone system them zinaweza pandishwa kwenye server usiku wa tarehe 30/06 Kila mwaka ili tarehe 01/07 asubuhi kusitokee namna yoyote masuala ya malipo yakasimama.
Nadhani Mtoa thread utakuwa umepata japo kwa kiasi.
tatizo umetumia ma.ta.ko kufikiri.kwani nimekuuliza wewe?muda wote unawaza mshahara tu kweli kuajiriwa ni utumwa akili zako ni ndogo kupita za kuku