Tetesi: Serikali imefunga kompyuta za wahasibu na HR wote wa serikali nchi nzima

Tetesi: Serikali imefunga kompyuta za wahasibu na HR wote wa serikali nchi nzima

Twilumba mvaha....aleee twilumba sana mkibaba!!Nguluvi ikutange
Gendelege uludodifu ulukafu luladenyeka!!Wimbite sana imambo gakupyatila,ndiwona wishuka nondo wita gendalyena lilikukungwi liyena elaa
 
Wazee wa kukodolea mishahara kwa simbanking mna wasiwasi sana
Yaani kuajiliwa wakati mwingine ni kama "kautumwa" fulani hivi.Usihofu ngalelefijo salary itawahi July
Kiongoz vp kuhusu cc tuliokuwa na ajira mpya tukasimamishwa kuna tumaini lolote hadi kufika mwisho wa mwez huu wa saba
 
Twilumba mvaha....aleee twilumba sana mkibaba!!Nguluvi ikutange
Gendelege uludodifu ulukafu luladenyeka!!Wimbite sana imambo gakupyatila,ndiwona wishuka nondo wita gendalyena lilikukungwi liyena elaa


Hahaaaa Nyongisa sana mvina barafu!
nano ndiona mvina (No.1) itegula sana va kukaye!
 
Bila shaka hawa watakuwa Wataalam uchwara.

Inadaiwa ni wiki sasa tangu hizo kompyuta zifungwe na serikali automatically kwani hazifunguki hivyo kazi sasa wanafanya manual

Inawezekana wataalamu wa it kutoka Rwanda wametua na ndio kazi hiyo imeanza kuunganisha mfumo wa mapato ya serikali nchi nzima


Source rafiki
 
Wazee wa kukodolea mishahara kwa simbanking mna wasiwasi sana
Yaani kuajiliwa wakati mwingine ni kama "kautumwa" fulani hivi.Usihofu ngalelefijo salary itawahi July
Hata shuguri zako binafsi kuna utumwa, kuna shuguri illi upate pesa lazima ufungue muda flani, mfano kuna watu wamejiajili wenyewe ila inawabidi wakeshe ili kupata pesa. Labda inategemea hatua aliyofikia mtu, kuna watu wameajiliwa na wanakula nchi vizuri wala hamna shida, wapo waliojiajili wako vizuri wala hawahangaiki sana.
 
Kwahiyo computer za serikali zote kila wanacho kifanya huwa kinaonekana HQ ya magogoni?

Ndiyo ...... zamani zilikuwa chini ya ofisi ya waziri mkuu, mwaka huu ziko chini ya ofisi ya rais, kila voucher ya malipo inayofanyika ni lazima ionekane.
 
Inadaiwa ni wiki sasa tangu hizo kompyuta zifungwe na serikali automatically kwani hazifunguki hivyo kazi sasa wanafanya manual

Inawezekana wataalamu wa it kutoka Rwanda wametua na ndio kazi hiyo imeanza kuunganisha mfumo wa mapato ya serikali nchi nzima


Source rafiki
Duuuuh. we mkali. source ni RAFIKI?
 
Hahaaaa Nyongisa sana mvina barafu!
nano ndiona mvina (No.1) itegula sana va kukaye!
Eena...Mnyakaye aitegula sana vanyalukolo va kukaye...Yaani aipilimapilima ku vanyamumo!!Inoo twigita ndauli?pe imadaraka gakwe?Tusindilage palubali helaaa myaaaa
 
Hahaaaa Nyongisa sana mvina barafu!
nano ndiona mvina (No.1) itegula sana va kukaye!
Hizo stori mngepiga huku rosti ya nyama ilee ikiwa mezani na ulanzi kiasi ingenoga sana.
Eena...Mnyakaye aitegula sana vanyalukolo va kukaye...Yaani aipilimapilima ku vanyamumo!!Inoo twigita ndauli?pe imadaraka gakwe?Tusindilage palubali helaaa myaaaa
 
Bila shaka hawa watakuwa Wataalam uchwara.

Hahahahaha

Kwan kufeed information hizo hutumia siku ngapi?

Server hizo kwanini zisirushe taarifa hizo kama updating of application kama kwenye simu na laptop?

Kama ni matumiz kwanini wasiweze kuona kazi za kila siku wakati wanatumia server moja?
Au ndio uchwara

Twilumba njoo
 
Eena...Mnyakaye aitegula sana vanyalukolo va kukaye...Yaani aipilimapilima ku vanyamumo!!Inoo twigita ndauli?pe imadaraka gakwe?Tusindilage palubali helaaa myaaaa
Haka ka-mbwa katawatosheni kweli nyie wote?
 
MKUU LINAWEZA ATHIRI SALARY YA JULY?

Hakuna athari kwa mishahara ya July kwani hadi kufikia katikati ya mwezi huu Mfumo utakuwa umeshaanza kufanya kazi kwenye Council nyingi hasa zile ambazo zilikamilisha marekebisho ya Bajeti na kuwasilisha TAMISEMI mapema. Pia kwa sasa Mishahara inalipwa moja kwa moja toka hazina
 
Ungeuliza badala ya kutoa opinion zako.

Ni hivi mwaka wa fedha wa serikali unaanza tarehe 01/07 na kuisha 30/06 kila mwaka.

KINACHOTOKEA

kwa kuwa mwaka wa fedha unaanza tarehe 01/07 na kwa kuwa mfumo wa malipo wa serikali hasa LGA's yaani Epicor 9.05 upo centralized kinachofanyika kwa muda huo kuanzia tarehe 01/07 linafanyika zoezi la ku-upload budget za LGA's zote na kumbuka ni karibu 185. utaona mwenyewe ni namna gani zoezi hili lilivyokubwa na lenye kuhitaji umakini, kumbuka baudget inaingizwa kwa govenment financial statistics code (GFS code) yaani kila Tshs inaingizwa kwenye kifungu husika.

Kwa sababu hiyo ndio maana malipo kwa sasa kwa LGA's yamesimama lakini pia kumbuka yamesimama kwa zile hatua zinazohitaji kufanya kwa mfumo na kwa sababu malipo ni process, bado kuna hatua nyingine za malipo kama vile kuinitiate madokezo kunafanyika wakati wakisubiri budgeti iwe uploaded kwenye mfumo wao wa epicor 9.05.

Kuhusu Lawson na mifumo mingine inayotumia infrastructures za Epicor 9.05 inaweza kuathirika kwa namna moja au nyingine kwa kuwa wakati huu pia TAMISEMI inaweza ikawa inafanya maboresho au marekebisho kwenye miundo mbinu ya mifumo mfano Servers updating, upgrading....etc

Zoezi hili huwa ni la kila mwaka hivyo halina uhusiano na utawala uliopo.

TATIZO LINAWEZAJE KUEPUKIKA

Tatizo kama hili linaweza kuepukika ikiwa kunaweza kukawa na mifumo miwili inayofanana but tofauti in physical device katika hatua za mwanzo kama stand alone system them zinaweza pandishwa kwenye server usiku wa tarehe 30/06 Kila mwaka ili tarehe 01/07 asubuhi kusitokee namna yoyote masuala ya malipo yakasimama.

Nadhani Mtoa thread utakuwa umepata japo kwa kiasi.


Nadhani mdau katoa majibu sahihi kabisa.Mods kwa heshma na taadhima mgepandisha majibu ya mdau ili kukidhi kiu ya wasomaji wa bandiko hili.
 
Ungeuliza badala ya kutoa opinion zako.

Ni hivi mwaka wa fedha wa serikali unaanza tarehe 01/07 na kuisha 30/06 kila mwaka.

KINACHOTOKEA

kwa kuwa mwaka wa fedha unaanza tarehe 01/07 na kwa kuwa mfumo wa malipo wa serikali hasa LGA's yaani Epicor 9.05 upo centralized kinachofanyika kwa muda huo kuanzia tarehe 01/07 linafanyika zoezi la ku-upload budget za LGA's zote na kumbuka ni karibu 185. utaona mwenyewe ni namna gani zoezi hili lilivyokubwa na lenye kuhitaji umakini, kumbuka baudget inaingizwa kwa govenment financial statistics code (GFS code) yaani kila Tshs inaingizwa kwenye kifungu husika.

Kwa sababu hiyo ndio maana malipo kwa sasa kwa LGA's yamesimama lakini pia kumbuka yamesimama kwa zile hatua zinazohitaji kufanya kwa mfumo na kwa sababu malipo ni process, bado kuna hatua nyingine za malipo kama vile kuinitiate madokezo kunafanyika wakati wakisubiri budgeti iwe uploaded kwenye mfumo wao wa epicor 9.05.

Kuhusu Lawson na mifumo mingine inayotumia infrastructures za Epicor 9.05 inaweza kuathirika kwa namna moja au nyingine kwa kuwa wakati huu pia TAMISEMI inaweza ikawa inafanya maboresho au marekebisho kwenye miundo mbinu ya mifumo mfano Servers updating, upgrading....etc

Zoezi hili huwa ni la kila mwaka hivyo halina uhusiano na utawala uliopo.

TATIZO LINAWEZAJE KUEPUKIKA

Tatizo kama hili linaweza kuepukika ikiwa kunaweza kukawa na mifumo miwili inayofanana but tofauti in physical device katika hatua za mwanzo kama stand alone system them zinaweza pandishwa kwenye server usiku wa tarehe 30/06 Kila mwaka ili tarehe 01/07 asubuhi kusitokee namna yoyote masuala ya malipo yakasimama.

Nadhani Mtoa thread utakuwa umepata japo kwa kiasi.
Nimekuelewa sana
 
Back
Top Bottom