The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Mzee Wangu unajua wafanyakazi wa serikali hawajalipwa leo mwezi wa pili, sasa hiyo nyongeza inaongezewa wapi?
Kuna angalizo muhimu hapa, nadhani kuna tatizo kubwa zaidi ya hili, ambalo ni kuangalia ni kipindi gani UJAMBAZI umeibuka upya... Kama mutaona ni baada ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi, Hawa Ghasia, kutangaza mabadiliko ya mishahara...
Nini maana yake? Je, kuna kukata tamaa.... Je, nani wanahusika????
TUTAFAKARI MAPEMA NA KUCHUKUA HATUA HARAKA PIA
Source link: Daily News.Private sector basic pay up
DAILY NEWS Reporter
Daily News; Tuesday,October 09, 2007 @00:02
THE government yesterday announced new minimum wages for the private sector with miners getting 350,000/- basic salary a month effective November 1, this year.
The Minister for Labour, Employment and Development, Mr John Chiligati told reporters in Dar es Salaam yesterday that minimum wages would vary according to sectors.
The minimum wage in the mining sector is now 350,000/- with the exception of those extracting salt and chalk which are considered to be small scale operations, he said.
Other high paying sectors include communication, transportation and air services transport where the minimum wage will also be 350,000/-. Workers in telecommunication, ship building and stevedores will be paid basic salary of 300,000/- a month, he said.
The minimum wage in commercial media houses will be 250,000/- a month and 150,000/- for charitable services such as religious newspapers, television and radio stations, he said.
Juicy also are wages in clearing and forwarding companies with basic 230,000/- a month followed closely by salaries for passenger and cargo ships at 225,000/- a month. Workers in fishing vessels will be paid 196,000/- a month, the minister said.
Basic salaries in big factories, major businesses and banks will be 150,000/- a month and 80,000/- a month in small and medium enterprise.
Security guards in foreign owned companies will get minimum 105,000/- and their fellows in local firms 80,000/- a month.
Perhaps more raised in real terms were salaries for domestic workers. Those working for diplomatic staff will now be entitled to 90,000/- minimum pay a month. Domestic workers for other entitled officers will be paid 80,000/- and 65,000/- a month in ordinary households, the minister said.
Kuna habari za kutia moyo, ila sijui ni kwa kiwango kipi.. tafadhali soma hapa chini:
Source link: Daily News.
Je, habari hizi zimetolewa hivi sasa kwa ajili ya kutuliza vuguvugu lililopo nchini, haswa kuhusiana na Buzwagi?!
SteveD.
Hilo mojawapo na jingine ni kwamba wafanyakazi walikuwa wameshatoa tishio la mgomo wa nchi nzima. Kwa maoni yangu kima cha chini inabidi kiwe uniform nchi nzima kama ni shilingi 350,000 basi ni nzima ili kuwawezesha kumudu gharama za maisha. Sijui reaction ya chama cha wafanyakazi itakuwaje kufutia tangazo hili la sirikali.
kwanini karamagi bado anaendele akuwa WAziri?
kwanini Msolla Bado hajang'oka?
kwanini batlida Burtiani hajafukuzwa ofisini,
Kwanini EL anendelea kutuibia?
Kwanini Balali anaendelea kukaa Madarakani?
kwanini bei za matuta ziko juu?
Kwanini mafisadi hawajachukuliwa hatua?
kwanini Takukuru wanag'ang'ania kuchunguza tuhuma za buzwagi?
kwanini maisha ni magumu?
kwanini nchi inaongozwa na Wasanii??
why?
why?
tafakari ,chukua hatua
Mimi nadhani kuna haja ya wachumi kufanya utafiti kuhusu athari za kiuchumi. Kupandisha mishahara kwa kuwalazimisha sekta binafsi without creating the right business environment ni bure. Owner wa daladala atawalipa kweli kila dereva na konda 200,000 tshs each?! Kwa hela na faida gani anayopata? Result itakuwa nini? Kupandisha nauli! So we can expect massive inflation. Mimi siyo mchumi lakini naomba msaada wa mchumi ambaye pia anaweza kueleza zaidi kuhusu free market economy and how market forces work. Let us be realistic badala ya kushabikia! The business community in Tanzania is primarily made up of middle and small scale businesses who have to make a profit! By saying that they should dole out more money in salary it will result in people being fired and the remaining working 2 or 3 times more! Mi naona serikali hii imepanic kwa sababu ya kutishiwa mgomo, but they just looking at a very short term solution. Kama ni hivyo wapunguze corporate tax from 30% to 20% kama Uganda na Kenya! Also provide more conducive environment for businesses siyo TRA wanakuja wanataka hongo, customs wanataka kitu kidogo! Come on! Pushing responsibility to the private sector is not the solution!
Na nnji hii inakuwa nyuma kwa sababu kila kitu ni wao wao wao wao, serikali, serikali serikali, siasa, siasa, siasa! hakuna siku unasema mimi,mimi, mimi, au sisi, sisi, sisi, sisi!!!
Nalinganisha na vita zidi ya Ukimwi, kila mtu anamunyooshea kidole mwenzake, yeye hapana,,, hili ni tatizo letu sote, maisha magumu ni matokea ya mambo mengi kwa miaka 40-50 iliyopita sio JK na EL, sitakiamini hivyo hata siku moja hadi nitakapozikwa kaburini!
Having said so!
Sitetei Uharamia!
Kili, kwanza kabisa heshima yako mkuu.
Kwenye hilo la uharamia, kwa hiyo unakubali upo au?! Kama upo ni nani wa kulaumiwa ambaye yupo kwa niaba ya wananchi? Nafsi ngapi zipo ambazo zinaweza kusema 'ni sisi' msimsumbue mwingine yeyote maana maharamia ni sisi.
Kama haupo, kwanini uchunguzi unaendelea kufanywa BoT hivi sasa? Wahusika walifanya nini kabla ya uchunguzi?
SteveD.
Finally! I am seeing news that is looking at the other side of the coin! I had a bad feeling that this will lead to massive job losses and also wakishindwa wenye viwanda wataenda Sri Lanka na India! I mean we need industries, siyo kuwapa masharti magumu! This will lead to recession (double it with inflation, fuel prices etc).... Again I am not an economist but it's obvious that more than 300% increase of salary is not a good strategy! Battle the inflation instead!Alisema kuwa viwango vipya vimepanda sana ukilinganisha na nchi za China, Nepal, Bangladesh, ambako wafanyakazi wa viwandani wanalipwa mishahara chini ya hii iliyoamriwa na serikali.
Alitoa mfano kuwa China mtu hulipwa dola za Marekani 43, Sirilanka dola za Kimarekani 38, Pakistan dola za Kimarekani 50 na Nepal dola za Kimarekani 27.