Serikali imendelea kuweka taa za barabarani katika maingilio ya majiji na miji nchini ili kuimarisha usalama. Serikali imeweka jumla ya taa 4,880 za b

Serikali imendelea kuweka taa za barabarani katika maingilio ya majiji na miji nchini ili kuimarisha usalama. Serikali imeweka jumla ya taa 4,880 za b

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Serikali imendelea kuweka taa za barabarani katika maingilio ya majiji na miji nchini ili kuimarisha usalama. Serikali imeweka jumla ya taa 4,880 za barabarani kwenye barabara zenye urefu wa kilometa 772.2 za majiji na miji kwenye mikoa 26 kwa bajeti ya shilingi bilioni 15,81 kwa kipindi cha mwaka 2021 hadi 2024

Pakua Samia App kupitia Play Store au App Store.

#samiaapp
#kaziiendelee
#tumejipatanamama
 

Attachments

  • IMG-20250209-WA0008.jpg
    IMG-20250209-WA0008.jpg
    267.1 KB · Views: 1
Serikali imendelea kuweka taa za barabarani katika maingilio ya majiji na miji nchini ili kuimarisha usalama. Serikali imeweka jumla ya taa 4,880 za barabarani kwenye barabara zenye urefu wa kilometa 772.2 za majiji na miji kwenye mikoa 26 kwa bajeti ya shilingi bilioni 15,81 kwa kipindi cha mwaka 2021 hadi 2024

Pakua Samia App kupitia Play Store au App Store.

#samiaapp
#kaziiendelee
#tumejipatanamama
Waweke na Camera 📷 kabisa.
 
Back
Top Bottom