Jielimishe kwanza maana ya QT
Mtu aliyefika form 4 atasomaje QT?
QT ni Qualifying Test, ni mtihani maalum ambao anaufanya mtahiniwa aliye nje ya mfumo rasmi wa elimu ya sekondari ili kutoa tathmini kama anaweza kufanya mtihani wa kidato cha nne ama la.
Anayefaulu mtihani huo huruhusiwa kufanya mtihani wa kawaida wa kidato cha nne kama mtahiniwa binafsi.
Kwa hiyo QT ni mtihani maalum na sio mfumo.
Kuhusu C mbili kuruhusiwa kufanya mtihani wa kidato cha sita ni uongo.
Sifa za school candidate ndio hizo za private candidate
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.