Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Wenzetu Nigeria wasiocheka na nyani!
Bodaboda ni kero, side mirrors kuvunjwa, kukwaruzwa barabarani, hata wizi wa kushtukiza.
Serikali iamke toka usingizi wa pono!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila majamaa yana inglishi nzuri saanaView attachment 2475010
Wenzetu Nigeria wasiocheka na nyani!
Bodaboda ni kero, side mirrors kuvunjwa, kukwaruzwa barabarani, hata wizi wa kushtukiza.
Serikali iamke toka usingizi wa pono!
Hwa wasio na ajira hawataki kufuata sheria, siyo kwamba wanaonewa.Si wazuie importation ya pikipiki tu kuliko kuwapa hasara, wasio na ajira
Wawatengenezee ajira Ili wafate sheria na sio kusubiria wakati wa uchaguzi wawatumieHwa wasio na ajira hawataki kufuata sheria, siyo kwamba wanaonewa.
Kutokuwa na ajira siyo leseni ya kutofuata sheria hasa za barabarani.
Boda boda ni ajira tosha-ukifuata sheria!Wawatengenezee ajira Ili wafate sheria na sio kusubiria wakati wa uchaguzi wawatumie
Sheria ya kutoingia mjiniBoda boda ni ajira tosha-ukifuata sheria!
Bodaboda inatakiwa kuwa mbadala wa usafiri huko vijini kusiko na usafiri wa uhakika.Sheria ya kutoingia mjini
Burudani ya masikio yako tu hiyo, ni kama mimi navyopenda kusikiliza mvumo wa maneno ya watu wanaoongea kifaransa ama kichina lugha nisizozijua na kuhisi burudani flani masikioni mwangu.Ila majamaa yana inglishi nzuri saana
Sio ajira ni ushezi kwanchi zenye viongozi mbumbumbu Kama wewe nikweli ajiraBoda boda ni ajira tosha-ukifuata sheria!
Na ninyi mna kiswahili kizuri mno🤣🤣🤣🤣Ila majamaa yana inglishi nzuri saana
Du. Nigeria wana english nzuri? Wanaongea kama wana chakula mdomoni! English yao ni pigeon english. Bora hata South Afrika english yao ni bora kuliko hawa.Ila majamaa yana inglishi nzuri saana
Boda boda na machinga ni jeshi litakaloweza kuipindua serikali siku zijazo. Viongozi wenyewe wako maofisini, wana-enjoy maisha hawajali chochote. Kuna siku isiyo na jina litatokea la kutokea.Hili swala liko kisiasa zaidi
Serikali ikiwazuia, Upinzani unapata platform ya kuwatetea, hivyo serikali imeona tuharibikiwe wote.
Ila ni bomu kubwa sana twatengeneza.
Wakisema wazuie zisiingie mauaji na uporaji wa pikipiki utashamiri
Ni nimesikia ma misamiati tu nikawakubali, sijachambua saana.Du. Nigeria wana english nzuri? Wanaongea kama wana chakula mdomoni! English yao ni pigeon english. Bora hata South Afrika english yao ni bora kuliko hawa.