HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Tanzania au Ulaya?Boda boda na machinga ni jeshi litakaloweza kuipindua serikali siku zijazo. Viongozi wenyewe wako maofisini, wana-enjoy maisha hawajali chochote. Kuna siku isiyo na jina litatokea la kutokea.