Serikali imeshindwa kuajiri vijana wenye vyeti halali, inarudisha kazini wenye vyeti feki

Serikali imeshindwa kuajiri vijana wenye vyeti halali, inarudisha kazini wenye vyeti feki

Wakati mwingine mpaka unahisi kuna laana juu ya nchi yetu. Vijana wasio na mbele wala nyuma but wakiwa na taaluma zao mmegoma kuwapa ajira lakini cha kushangaza mnawarudisha wazee 4000 walioshutumiwa na kuondolewa kazini kwa udanganyifu wa taaluma zao. Watu hao kama walionewa waseme walienda lini mahakamani kushitaki na mahakama iliamuru wapi kwamba warudishwe makazini. Inauma na kukatisha tamaa sana na ofcourse vijana wetu wapo disapointed sana na serikali yao. Kwanini watoto wa wafugaji, wakulima na masikini wa taifa hili mnawanyanyasa lakini?
Anyway, kijana pambana upate riziki yako na uwapambanie ndugu zako kwa namna yoyote iwe halali ama kwa shari. Go my son.
# You've carried a pen for long time, Now it's a time to carry a gun. Go
Acha ubaguzi.Ni halali kuonea mtu kisa umri? Kama umesoma elimu haijakusaidia. Soma sheria za mahusiano kazini upate maarifa. Acha umagufoool!
 
ACHA WIVU DOGO. KUNA JAMAA ALIFUKUZWA KAZI WAKATI KILA MWAKA ALIKUWA ANAIBUKA MFANYAKAZI BORA.

KUNA DOGO MMOJA ALIKUWA DEREVA MAKINI SANA HAJAWAHI HATA KUPATA AJALI, MSAFI, MSTAARABU, ANAWAHI KAZINI, ANATUNZA SIRI ZA OFISI, ANATUNZA GARI LILILONUNULIWA NA KODI ZA WANANCHI ILA ALITUMBULIWA. LEO HII ANAENDESHA BASI KWA RAHA ZAKE. SASA JIULIZE KAMA CHETI FEKI MBONA HAANGUSHI ABIRIA?
Kwa Tanzania ukiiba na kuanzisha kampuni unaitwa shujaa. Ajira kwa upendeleo imeanza zamani. Wanaorudishwa ni hao walio ajiriwa kwa upendeleo wakati sifa walikuwa hawana, zaidi ya kuwa ndugu wa fulani.
 
Rais ingilia kati, haiwezekani mtu alikuwa na vyeti feki unamrudisha kazini, hii si sahihi.

Kwa wale wa darasa la saba wenye vyeti ambavyo ni halali kurudishwa kazini ni sahihi, hao warudishwe ila wa vyeti feki hapana, siungi mkono.
 
Kwa Tanzania ukiiba na kuanzisha kampuni unaitwa shujaa. Ajira kwa upendeleo imeanza zamani. Wanaorudishwa ni hao walio ajiriwa kwa upendeleo wakati sifa walikuwa hawana, zaidi ya kuwa ndugu wa fulani.
Akiwemo Magofool mwenye PhD feki.
 
Wakati mwingine mpaka unahisi kuna laana juu ya nchi yetu. Vijana wasio na mbele wala nyuma but wakiwa na taaluma zao mmegoma kuwapa ajira lakini cha kushangaza mnawarudisha wazee 4000 walioshutumiwa na kuondolewa kazini kwa udanganyifu wa taaluma zao.

Watu hao kama walionewa waseme walienda lini mahakamani kushitaki na mahakama iliamuru wapi kwamba warudishwe makazini.

Inauma na kukatisha tamaa sana na ofcourse vijana wetu wapo disapointed sana na serikali yao. Kwanini watoto wa wafugaji, wakulima na masikini wa taifa hili mnawanyanyasa lakini?

Anyway, kijana pambana upate riziki yako na uwapambanie ndugu zako kwa namna yoyote iwe halali ama kwa shari. Go my son.
Walionewa waache wamalizie mda wao
 
Rais ingilia kati, haiwezekani mtu alikuwa na vyeti feki unamrudisha kazini, hii si sahihi.

Kwa wale wa darasa la saba wenye vyeti ambavyo ni halali kurudishwa kazini ni sahihi, hao warudishwe ila wa vyeti feki hapana, siungi mkono.
Vyeti feki lakini Wana experience na wanamichango yao nssf waacheni warudi nyie subirieni ajira mpya
 
ACHA WIVU DOGO. KUNA JAMAA ALIFUKUZWA KAZI WAKATI KILA MWAKA ALIKUWA ANAIBUKA MFANYAKAZI BORA.

KUNA DOGO MMOJA ALIKUWA DEREVA MAKINI SANA HAJAWAHI HATA KUPATA AJALI, MSAFI, MSTAARABU, ANAWAHI KAZINI, ANATUNZA SIRI ZA OFISI, ANATUNZA GARI LILILONUNULIWA NA KODI ZA WANANCHI ILA ALITUMBULIWA. LEO HII ANAENDESHA BASI KWA RAHA ZAKE. SASA JIULIZE KAMA CHETI FEKI MBONA HAANGUSHI ABIRIA?
Unafahamu deffensive mechanism wewe? Kama hujui kaa kimya.
 
Hii kitu tuiangalie kwa pande mbili.
1.Wale waliotolewa kazini kwa tuhuma za vyeti feki. Waliunganishwa na ndugu za ambao bado Wako kwenye mfumo/Serikalini, hivyo hawakupendezwa na suala hilo.
2. Ni rahisi kuwawalipa mshahara,ukilinganisha kuajiri watumishi wapya. Mfano degree holder mshahara wake ni mkubwa sana, ukilinganisha na mwl/mtumishi aliyena cheti feki.
NB. Kipaumbe Tz sahizi ni kukusanya Tsh nyingi iwezekavyo bila kuangalia side effect. Hivyo ni bora kurudisha mwl/watumishi wa zamani ili kupunguza gharama za kuwalipa misha..ra.
 
Back
Top Bottom