Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Ngoja mataga waje wakujibuKwani mbowe anasemaje? Na lissu je? na vp kuhusu kigogo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja mataga waje wakujibuKwani mbowe anasemaje? Na lissu je? na vp kuhusu kigogo?
Acha ubaguzi.Ni halali kuonea mtu kisa umri? Kama umesoma elimu haijakusaidia. Soma sheria za mahusiano kazini upate maarifa. Acha umagufoool!Wakati mwingine mpaka unahisi kuna laana juu ya nchi yetu. Vijana wasio na mbele wala nyuma but wakiwa na taaluma zao mmegoma kuwapa ajira lakini cha kushangaza mnawarudisha wazee 4000 walioshutumiwa na kuondolewa kazini kwa udanganyifu wa taaluma zao. Watu hao kama walionewa waseme walienda lini mahakamani kushitaki na mahakama iliamuru wapi kwamba warudishwe makazini. Inauma na kukatisha tamaa sana na ofcourse vijana wetu wapo disapointed sana na serikali yao. Kwanini watoto wa wafugaji, wakulima na masikini wa taifa hili mnawanyanyasa lakini?
Anyway, kijana pambana upate riziki yako na uwapambanie ndugu zako kwa namna yoyote iwe halali ama kwa shari. Go my son.
# You've carried a pen for long time, Now it's a time to carry a gun. Go
Vita Ya Uchumi Ni Mbayavita mbaya sana
Na ubinafsiukisikia roho mbaya ndiyo izi sasa
Kwa Tanzania ukiiba na kuanzisha kampuni unaitwa shujaa. Ajira kwa upendeleo imeanza zamani. Wanaorudishwa ni hao walio ajiriwa kwa upendeleo wakati sifa walikuwa hawana, zaidi ya kuwa ndugu wa fulani.ACHA WIVU DOGO. KUNA JAMAA ALIFUKUZWA KAZI WAKATI KILA MWAKA ALIKUWA ANAIBUKA MFANYAKAZI BORA.
KUNA DOGO MMOJA ALIKUWA DEREVA MAKINI SANA HAJAWAHI HATA KUPATA AJALI, MSAFI, MSTAARABU, ANAWAHI KAZINI, ANATUNZA SIRI ZA OFISI, ANATUNZA GARI LILILONUNULIWA NA KODI ZA WANANCHI ILA ALITUMBULIWA. LEO HII ANAENDESHA BASI KWA RAHA ZAKE. SASA JIULIZE KAMA CHETI FEKI MBONA HAANGUSHI ABIRIA?
Akiwemo Magofool mwenye PhD feki.Kwa Tanzania ukiiba na kuanzisha kampuni unaitwa shujaa. Ajira kwa upendeleo imeanza zamani. Wanaorudishwa ni hao walio ajiriwa kwa upendeleo wakati sifa walikuwa hawana, zaidi ya kuwa ndugu wa fulani.
Walionewa waache wamalizie mda waoWakati mwingine mpaka unahisi kuna laana juu ya nchi yetu. Vijana wasio na mbele wala nyuma but wakiwa na taaluma zao mmegoma kuwapa ajira lakini cha kushangaza mnawarudisha wazee 4000 walioshutumiwa na kuondolewa kazini kwa udanganyifu wa taaluma zao.
Watu hao kama walionewa waseme walienda lini mahakamani kushitaki na mahakama iliamuru wapi kwamba warudishwe makazini.
Inauma na kukatisha tamaa sana na ofcourse vijana wetu wapo disapointed sana na serikali yao. Kwanini watoto wa wafugaji, wakulima na masikini wa taifa hili mnawanyanyasa lakini?
Anyway, kijana pambana upate riziki yako na uwapambanie ndugu zako kwa namna yoyote iwe halali ama kwa shari. Go my son.
Vyeti feki lakini Wana experience na wanamichango yao nssf waacheni warudi nyie subirieni ajira mpyaRais ingilia kati, haiwezekani mtu alikuwa na vyeti feki unamrudisha kazini, hii si sahihi.
Kwa wale wa darasa la saba wenye vyeti ambavyo ni halali kurudishwa kazini ni sahihi, hao warudishwe ila wa vyeti feki hapana, siungi mkono.
Ben na jiwe wametenganishwa na ukuta wa moto kama lazaro na tajiriBring back Ben Sa8
Halafu mrudishe na hizo dhahabu.
Mwana nione pm, nina shida ya cheti cha driving.TANGAZO TANGAZO
TANGAZO
tunatengeneza vyeti kuanzia kidato cha nne,sita, diploma degree hd masters.
vpo mkuu ni ww tu unataka cha chuo kip NIT au VETA!?Mwana nione pm, nina shida ya cheti cha driving.
Takupa mshiko
Unafahamu deffensive mechanism wewe? Kama hujui kaa kimya.ACHA WIVU DOGO. KUNA JAMAA ALIFUKUZWA KAZI WAKATI KILA MWAKA ALIKUWA ANAIBUKA MFANYAKAZI BORA.
KUNA DOGO MMOJA ALIKUWA DEREVA MAKINI SANA HAJAWAHI HATA KUPATA AJALI, MSAFI, MSTAARABU, ANAWAHI KAZINI, ANATUNZA SIRI ZA OFISI, ANATUNZA GARI LILILONUNULIWA NA KODI ZA WANANCHI ILA ALITUMBULIWA. LEO HII ANAENDESHA BASI KWA RAHA ZAKE. SASA JIULIZE KAMA CHETI FEKI MBONA HAANGUSHI ABIRIA?