Serikali imetosheka na walimu wa arts hawaitajiki tena

Serikali imetosheka na walimu wa arts hawaitajiki tena

MZIBHAZI

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
520
Reaction score
139
Katika hotuba ya kufunga mwaka Mh.Jk amesema kabisa kwa sada Serikal haiitaji walimu wa arts wametosha mwaka jana wanaitajika walimu wa sanayansi tuuu kwaiyo kwa wale waluosoma UALIMU na wanaosoma Mpka sasa ualimu wa masomo ya Arts wajue kabisaa Ajira hakuna tena nadhan sasa hari utazidi kua ngumu sana mtu atajuta kwann hakusoma hata shortcourse akawa kwenye system kwanza ndio akajiendeleza,pia wale ambao waliacha kusoma course walizopenda tangu utotoni kwakujua kua ukisoma Education ajira ni direct imekura kwao na ualimu wenyewe kauna direct employment sasa bora hata ungesoma ile ile LAW uliyopenda tu na Nadhani sasa vyuo vya ualimu visivyotoa masomo ya sanyansi hasa vya privet vitakufa maana vitakosa wateja hasa vya diproma.
Kazi kweli kweli
 
Hapo naungana naye 100% walimu wa arts wamejaa kila kona

Uharifu utaongezeka sana miaka hiii ya karibuni na rushwa itakithiri katika nafadi za kazi maana walimu waomaliza vyuo kwa mwaka wa arts ni balaa
 
bora nimeajiriwa, ila kama amesema kweli a see amekosea sana walimu hawapo kabisa na wametosha huko mjini labda lakini vijijini walimu hawapo kabisa na ni majanga makubwa.
 
bora nimeajiriwa, ila kama amesema kweli a see amekosea sana walimu hawapo kabisa na wametosha huko mjini labda lakini vijijini walimu hawapo kabisa na ni majanga makubwa.

Nadhan labda hata kijijin walimu wa arts wapo ila wa sayansi ndio hawapo tuu
 
Lini jk akatoa kauli ikafanyiwa kazi huyu raisi anaropokaga tu hiyo kitu haiwezekani hata cku moja watu wamejaza form za ajira siku nyingi huo ulikuwa mpango wa milenia kati ya 2005-2015 hivo huu ni mwaka wa mwisho kwanzia hapo hawata ajili tena
 
Anaota ndoto za mchana. kilio cha walimu wa sayansi analinganisha kabisa na uwepo wa malimu wa Art. angesem mahitaji makubwa ni walimu wa sayansi angeeleweka.
 
Huyu raisi cjui ana matatizo gan ya uelewa wa mambo HV anaesema Tanzania inawaalimu wa kutosha kwa utafiti upi aliofanya au anajitamkia tu kwasababu katamka Tanzania kubwa sana hii na kuna shule zinamwalimu mmoja tu au hajui dooooo hawa viongoz wetu majanga
 
Huyu raisi cjui ana matatizo gan ya uelewa wa mambo HV anaesema Tanzania inawaalimu wa kutosha kwa utafiti upi aliofanya au anajitamkia tu kwasababu katamka Tanzania kubwa sana hii na kuna shule zinamwalimu mmoja tu au hajui dooooo hawa viongoz wetu majanga

Kumbuka rais hakurupuki kusema kitu huwa ameletewa report ya kutosha na watu wake wa muhimu mkuu so yawezekana anaukweli
 
Kumbuka rais hakurupuki kusema kitu huwa ameletewa report ya kutosha na watu wake wa muhimu mkuu so yawezekana anaukweli

Tatizo report zenyewe hazina usahihi wa kutosha, walimu wengi wanaopangiwa vijijini wanakacha vituo hivyo lakini takwimu zinaonesha wapo. Nenda shule za vijijini kanda ya ziwa ndo utajua kama walimu wametosha au la.
 
Tamisemi wamesha ajiri tayari waalimu inchi nzima bado kutangaza tu infact waalimu lazima waludishe pesa za serikali walizo kopeshwa na serikali inajua waalimu ndio waludisha pesa zao pasipo matatizo hivo lazima waajili tu
 
Tamisemi wamesha ajiri tayari waalimu inchi nzima bado kutangaza tu infact waalimu lazima waludishe pesa za serikali walizo kopeshwa na serikali inajua waalimu ndio waludisha pesa zao pasipo matatizo hivo lazima waajili tu

Hata kama watakua wameajiri wameajiri wachache saaaan yani wachache sana wa arts kaka
 
Katika hotuba ya kufunga mwaka Mh.Jk amesema kabisa kwa sada Serikal haiitaji walimu wa arts wametosha mwaka jana wanaitajika walimu wa sanayansi tuuu kwaiyo kwa wale waluosoma UALIMU na wanaosoma Mpka sasa ualimu wa masomo ya Arts wajue kabisaa Ajira hakuna tena nadhan sasa hari utazidi kua ngumu sana mtu atajuta kwann hakusoma hata shortcourse akawa kwenye system kwanza ndio akajiendeleza,pia wale ambao waliacha kusoma course walizopenda tangu utotoni kwakujua kua ukisoma Education ajira ni direct imekura kwao na ualimu wenyewe kauna direct employment sasa bora hata ungesoma ile ile LAW uliyopenda tu na Nadhani sasa vyuo vya ualimu visivyotoa masomo ya sanyansi hasa vya privet vitakufa maana vitakosa wateja hasa vya diproma.
Kazi kweli kweli

wewe ni mwalimu.....!!!?????
 
Izotakwimu nazan nizamkoa wa dar inabid wafanye kwanza utafiti mm nipo kiteto shule ya mjini kabisa inawalimu wawili tu wa English sasa cjui ao.nao wanatosha kufaulisha watoto
 
Mbulula fulano hivi, na hao wamejazana mashuleni. Nadhani utolewe mitihani wa mchujo
 
Back
Top Bottom