- Thread starter
- #21
wewe ni mwalimu.....!!!?????
Childish and much know nimeona mkuu unataka social identity hongera sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe ni mwalimu.....!!!?????
Hivi nyie walimu kwa nini mnapenda sana serikalini badala ya private schools? ningesomaga ualimu ningeendaga Laureate International School kufundisha sio mnaendekeza ulele mama
Hivi nyie walimu kwa nini mnapenda sana serikalini badala ya private schools? ningesomaga ualimu ningeendaga Laureate International School kufundisha sio mnaendekeza ulele mama
Hivi nyie walimu kwa nini mnapenda sana serikalini badala ya private schools? ningesomaga ualimu ningeendaga Laureate International School kufundisha sio mnaendekeza ulele mama
Hao walimu wa Arts hawaitajiki kwa Mwaka upi na nchi ipi? Na kama ni Tanzania sio kweli...Maana tayari walishajaza form za ajira Mwezi wa 6 na Wale waliohitimu vyuo vikuu tayari walishapewa form zinazoonesha kiasi gani cha mkopo wanadaiwa na Muda ambao mkopo huo wanapaswa kuanza kuurejesha umewekwa kwenye zile form,na waliopewa hizo form ni watu wa faculty ya education tu,faculty nyingine hawajapewa,sasa jiulize kwa nini wamepewa walimu tu wakati kuna watu pia wa faculty zingne hawajapewa wakati walikuwa na mikopo? Isitoshe Naibu waziri TAMISEMI Aggrey Mwanry Alishasema kuna upungufu wa walimu 43,000.
Tumebakiwa na upungufu wa walimu 45,223 yaani 26,946 wa shule za msingi na 18,277 wa shule za sekondari hususan wa masomo ya sayansi. Hivi sasa hatuna tatizo la walimu wa masomo ya sanaa katika shule za sekondari.Hivi mwanzisha thread aliisoma hii statement na kuielewa kweli au vip maana hapa rais alimaanisha kwamba bado pengo la waalimu lipo ila hususani kwa waalimu wa sayansi maana waalimu wa arts wapo tayari sokoni ila waalimu wa sayansi wenyewe hawapo kabisa so ndo maana akaelezea hatua zilizochukuliwa na serekali juu ya upatikanaji wa waalimu wa sayansi na sio kwamba serekali hawahitaji tena walimu wa arts nb tusipende kuongezea chumvi kwenye thread tunazozianzisha maana zinapotosha taarifa !!!!!
Mambo ya nchi hii...yanaweza yakakufanya ucheke mpaka ufe....