Serikali imeungana na Dunia ya Kwanza kuwakandamiza Masikini. Acha wakandamizwe tu

Autocratic leadership has positive impact or negative this will depend on how brave the leader is
That is problem. All, rapid progress they have been achieved under such leadership.

Queen Victoria was there for almost lifetime. It is in her period Great Britain became foremost, superpower in the world.
 
Kuna jambo inabidi ujielimishe kidogo Ili upanue uwezo wako hasa wa kuchambua hicho unachoita "history of development". Jambo lenyewe ni ZAMA. Maendeleo katika jamii hutokana na uwezo wa nchi husika kutumia rasilimali zake kulingana na fikra, teknolojia na muundo wa kidunia wa wakati huo (ZAMA). Kuamini kwamba kwa kuwa ulaya na Marekani iliendelea bila kutumia demokrasia hii ya leo, kwanza sio kweli lakini pili ni ujuha. Yes, jukumu la kujiletea maendeleo ni letu wenyewe wala si la mshirika wa maendeleo au wafadhili lakini ni lazima tulitimize kwa kutumia Zama za leo si vinginevyo. Kuna mambo yalifanywa kwa UJUHA kutokana na ufinyu wa Elimu na taarifa kwa nyakati hizo. Kuna ZAMA zilipita mwanamke hakuwa na nafasi ya kurithi au kumiliki mali, kuna ZAMA zilipita wafanyakazi wa viwanda vya nguo kule Marekani walikuwa mabinti wadogo wa miaka 15-20. Lakini huwezi kuchukua historia hiyo ukaitekeleza leo kwasababu ufahamu na Elimu imepanuka na jamii kuweka demarcation na kubainisha haki za mtoto. ZAMA. ZAMA hizi si zama za kuficha watoto wa kike ndani, si zama za kuweka wari ndani Ili wasubiri kuolewa, si zama za kutumikisha wanawake shambani na mume kunywa mbege au ulanzi.

Infact, tuna mambo mengi tu ya kujifunza (kama sio kuiga) kutoka kwa hao tunaowaona hawana msaada kwenye maendeleo yetu. Kwa mfano, umewahi kujiuliza how comes shule zilizojengwa na mkoloni miaka ya 1920-1960 zilikuwa bora (comprehensively) kuliko shule zinazojengwa miaka 60 baadaye? Hapa anazungumzia shule kama Mzumbe, Tabora, Tanga Tech, Ifunda, Iyunga, Tambaza (HH Aga Khan Boys) nk nk. Hizi shule ni mfano mzuri wa kuacha kuiga wazungu. Je zimetusaidia? Unadhani Elimu yetu ingekuwa vipi leo kama shule zote hizi zilizojengwa miaka ya hivi karibuni zingejengwa kwa mfano wa shule za wakoloni?

Mfano mwingine ni katika viwanda. Hatuhitaji kupita hatua walizopita wazungu katika kujiletea maendeleo maana wao walifanya invention na innovation kwa pamoja. Lakini sisi hatuhitaji kupita huko, tunahitaji innovation tu. Same in democratic process, we may no longer need to go through democratic process kama walivyopita wao wakati wa maendeleo kwasababu ZAMA haziruhusu kwa kuwa innovation process has taken place.

Hivyo kuamini kuwa Dictatorship au Autocratic wana nafasi kubwa ya kufanya kama miaka 200-500 iliyopita ni kujidanganya na huenda isiwe msaada kwetu.
 
Ukitaka mikopo na misaada ya Wazungu lazima ufuate masharti yao. Na kati ya masharti yao ni kufuata mfumo wa demokrasia, kulinda haki za binadamu. Kama wewe hutaki hayo masharti achana na hela zao. Wewe unategemea kodi ya shoga aliyeko Marekani au Ulaya ije hapa itumike kuwakandamiza mashoga wa hapa Tanzania?
 
Lengo lako la kupalilia udikteta ili unufaike nao halitafanikiwa zaidi tutakung'oa meno,,,kupiga kelele na kupinga ndio dawa sahihi ya viongozi walafi wa Afrika
 
Acha uongo kuamua kuelimika na mpango wa Mtu mwenyewe. Hiyo njia ya kukariri ndio wachina wanaitumia kuchukua teknolojia za wengine vipi wanavyo piga hatua kimaendeleo. Ukitaka kuelimika unaanza mwenyewe hata ulaya pia kuna wajinga.
 

Waarabu wanafata masharti hayo. They do participate in world economic system.
 

Mpuuzi wewe, huna hoja. Mtukanaji.
 
Masharti yao wanaweka kwenye mikopo na misaada. Waarabu wengi hawamo kwenye hilo kundi.

Unafikiri wanasayansi, technology ya kupata gas, oil, usafirishaji, uwekezaji, uendeshaji hio sekta imetoka wapi?
 
Unafikiri wanasayansi, technology ya kupata gas, oil, usafirishaji, uwekezaji, uendeshaji hio sekta imetoka wapi?
Watu binafsi na makampuni binafsi wana uhuru wa kufanya wanachotaka ili mradi hawavunji sheria za nchi zao. Naongelea misaada na mikopo inayotokea kwa serikali za Marekani na Ulaya. Zina masharti kwa kuwa ni kodi za watu.
 
Naunga mkono hoja...bora kuwa na dikteta mwenye akili kuliko demokrasia ......hebu imagine miaka 42 ya uongozi wa Gadafi libya imezaa matunda gani halafu linganisha na miaka 60 ya demokrasia imetufikisha wapi..
 
Madikiteta nafasi yenu Duniani ni finyu sana. Inazidi kuwa finyu zaidi.
Nakuonea huruma kwa kuwaona watu wanaotumia nguvu kulinda wananchi na mali zao kuwa madikteta
Je USA na NATO yao China Urusi ujerumani nazitumii nguvu kwa demokrasia na ukomunisti kutuhadaa
Waafrika na kujaribu kutawala ulimwengu

Basi nakwambia subiri ndo kwanza tunaanza uzi makini sana umesisimua hamu yangu ya black panther
 
Kapewa pesa za kuja kuwachumbia akina mama eti wampende kwa kuwaambia ni mikopo iso na riba. Swali ni, kwanini mkopo utakaokuja kulipwa na raia wote wa nchi pasipo kujali jinsia eti leo wanaoruhusiwa kuifurahia pesa hiyo wawe wa jinsia moja tu,; tuelewe hata hilo deni ktk mikopo ya nchi italipwa na kodi zinazotokana na wanawake tu?

Huyu mkuu wa waganga ni mbaguzi sana na kuhani wa mtandao wa Extremist hapa duniani. Tz haijawahi kuwa dola la kidini wala la kiitikadi, haya mambo yanapendwa sana huko kwao na wako hivyo na ndio maana waliingiza nchi yao OIC. Hawa watu ni extrimists wa kutupwa na sasa anapromote radical feminism
 
asa unaruhusu wanawake wafanye kazi Kama wanaume alafu muda huo huo sheria hubadili unaacha Kama zilivyokuwa; mwanaume ndiye anawajibu WA kumtunza mwanamke! Hivi hiyo ni Akili kweli ndugu zangu.

sio Akili
 

Ukiwaambia waswahili haya wataona kama unataka kuwapeleka Utumwani,, wamesahau already wapo kwenye Utumwa.

Kuendana na kasi ya Dunia hatuna huo uwezo., tunazidi kupoteza vizazi creative na tuna depend kwa wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…