Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Tulia bwana pgo jiji lisafishwe.Utawala wa kishamba ulitufikisha tulipo
Aaah mkuu wangu Kwani WALITOLEWA WAPI?!!Tunawapeleka wapi ?.
Warudi walikotokaTunawapeleka wapi ?.
Una usingizi wewe, kwanini unatetea hata ujinga? Kwanini kila kitu unakiweka siasa?? No, hii sio sahihiSerikali huwa haiibi mkuu....
Serikali hiyohiyo ndiyo inayotoa vyeti vya kuzaliwa ,kitambulisho cha NIDA bila ya kutoa fedha nyingi.....
Hivi unajua kuwa ARDHI NI MALI YA SERIKALI?!!
Hata hapa nilipo ninaweza kuhamishwa siku wakigundua kuna Jambo kubwa la kufanyia jamii.....
Kwa hiyo hiyo mitaa inayofanyiwa biashara iko juu ya hiyohiyo ARDHI.....
Lengo la serikali sikivu ni zuri tu....na maeneo wametengewa ila ni hulka zetu tu kuwa MAZOEA YANA TABU ZAKE.....
#Siempre Serikali Sikivu Ya Awamu Ya 6
Serikali huwa haiibi mkuu....
Serikali hiyohiyo ndiyo inayotoa vyeti vya kuzaliwa ,kitambulisho cha NIDA bila ya kutoa fedha nyingi.....
Hivi unajua kuwa ARDHI NI MALI YA SERIKALI?!!
Hata hapa nilipo ninaweza kuhamishwa siku wakigundua kuna Jambo kubwa la kufanyia jamii.....
Kwa hiyo hiyo mitaa inayofanyiwa biashara iko juu ya hiyohiyo ARDHI.....
Lengo la serikali sikivu ni zuri tu....na maeneo wametengewa ila ni hulka zetu tu kuwa MAZOEA YANA TABU ZAKE.....
#Siempre Serikali Sikivu Ya Awamu Ya 6
Warudi walikotoka
Warudi walikotoka
Kama hivyo wakubali bila masharti kupangiwa maeneo wanayostahili sio Kila kona ya mijiTegemezi
Walitokea wapi kwani?Tunawapeleka wapi ?.
Ndio maisha ya wananchi wako hayo.wangekuwa na hela wangeenda kula Hyatt regency hotel.Wasafishe miji bana unauza ubwabwa nje ya ikulu nje hospital unakuta msongamano wa wapuga ubwabwa hata gate hulioni...mipango miji lazima iheshimiwe jamani daaa
Mara ya mwisho wamelioia luni hivyo vitambulisho?Unamlipisha 20,000 ya kitambulisho cha Mmachinga kuonyesha kuwa yuko eneo hilo kihalali then Leo mnakuja kuwabomolea?
Si muwarudishie basi Hizo 20,000 zao kabla ya kuwanyanyasa? Mliwakubalia tena kwa mbwembwe then sasa hivi watu wamejiwekeza mnaanza figisu!
Warudishieni fedha zao acheni wizi
Wanalipa kwa nyakati tofautiMara ya mwisho wamelioia luni hivyo vitambulisho?
Si kweli. Baada ya uchaguzi mkuu waliambiwa wasilipie Tena hadi vifanyiwe marekebisho.Wanalipa kwa nyakati tofauti
.. ni CCM Mkuu sio serikali. Ni hadaa za CCM kama kawaida yao. Kumbuka ilani inayotekekezwa ni Ilani ya CCM; serikali ni mtekelezaji tu.Unamlipisha 20,000 ya kitambulisho cha Mmachinga kuonyesha kuwa yuko eneo hilo kihalali then Leo mnakuja kuwabomolea?
Si muwarudishie basi Hizo 20,000 zao kabla ya kuwanyanyasa? Mliwakubalia tena kwa mbwembwe then sasa hivi watu wamejiwekeza mnaanza figisu!
Warudishieni fedha zao acheni wizi
Fact! Serikali inatekeleza ilani ya CCM.Serikali huwa haiibi mkuu....
Serikali hiyohiyo ndiyo inayotoa vyeti vya kuzaliwa ,kitambulisho cha NIDA bila ya kutoa fedha nyingi.....
Hivi unajua kuwa ARDHI NI MALI YA SERIKALI?!!
Hata hapa nilipo ninaweza kuhamishwa siku wakigundua kuna Jambo kubwa la kufanyia jamii.....
Kwa hiyo hiyo mitaa inayofanyiwa biashara iko juu ya hiyohiyo ARDHI.....
Lengo la serikali sikivu ni zuri tu....na maeneo wametengewa ila ni hulka zetu tu kuwa MAZOEA YANA TABU ZAKE.....
#Siempre Serikali Sikivu Ya Awamu Ya 6
Basi watu wanalipishwa bado nina ushahidiSi kweli. Baada ya uchaguzi mkuu waliambiwa wasilipie Tena hadi vifanyiwe marekebisho.