Serikali imewaibia Wamachinga?

Kwa hyo unataka kusema kariakoo hakuna machinga
 
Kwa hyo unataka kusema kariakoo hakuna machinga
machinga wapo ila wa ukweli ni wachache wengi hawakosi milion mpaka 8. hawa watu wanatakiwa wajifunze kufanya biashara rasmi walazimishwe kulipa kodi. huwez kujiita machinga halafu una cm mpaka ya milion 2. hauko serious chief. wakat huo ukikosa huduma hospital unaanza lawama kwa serikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…