ndio maana nakuambia asilimia 78 ya hao wanaoitwa machinga sio machinga kama watu wanavyowaona. kwa taarifa yako zile meza unazoziona wamepanga vitu kila meza moja wananunua milion nne. na kwa wale wanaokodisha hzo meza wanalipa elfu 3 kwa cku. so ukiwa hujui unaweza kuongea lolote. lakn wale ni wakwepa kodi tu wa kawaida.