Serikali imjibu Lowassa, jinsi Richmond & Dowans zimezuia maelfu ya ajira serikalini

Serikali imjibu Lowassa, jinsi Richmond & Dowans zimezuia maelfu ya ajira serikalini

mh rais utakumbuka nilikupgia simu ukiwa nje ya nchi kuhusu kuvunja mkataba wa richmond ukanambia niache umepata ushauri wa makatibu wakuu wa wizara,kila hatua niliyochukua kuhusu richmond nilikujulisha,leo hii watu wanakwenda mikoani na kusema majukwaani kuwa mimi ni fisadi,kosa langu ni nini?tena mwaka 1997 ililetwa ripoti ikiwa na mtazamo hasi isingekuwa hekima za mzee mkapa leo usingekuwa hapo ulipo mh rais,WANAJF KOSA LA LOWASA LIKO WAPI KWENYE RICHMOND?Kumbukeni jk na el hawajakutana barabarani,kuna mchezo hapa kati ya jk na lowasa
 
mtoto wa mbale tatizo la lowasa ni nini jamani hasa katka mkataba wa richmond?naona kama unagombana,jaman kwnye richmond tumweke pembeni na kama tunamweka tuwaweke pamoja na jk,may be kama ufisadi mwingne sawa weken hapa jamvini
 
Ndugu wanajamvi Baada ya kudadisi kwa baadhi ya matukio yaliyo wahi kuitikisa Nchi ni Mengi sana pamoja na hayo katika machache ni:

1.CITY WATER

2.DOWANS

3.RICHMOND

4.KATIBA MPYA

5.IPTL/ESCROW A/c. Etc,etc

Kiukweli Kama mtu unayejinasibu kuongoza CCM na Nchi kwa UJUMLA huwezi aka kimya hasa kwa mambo makubwa Kama hayo hapo juu.......cha ajabu Mh EDO haonekani Kabisa unamtetea Nani.......
ImageUploadedByJamiiForums1417521947.208984.jpg
NB😛AMOJA YA KUWA MIMI NI RAIA WA KAWAIDA NISIYE NA CHAMA,,,,,,CCM WAMSHUKURU SANA MH.STEVEN MASATO WASIRA hasa kwa michango yake ya hivi karibuni,,,,juu ya Katiba MPYA,Escrow jambo ambalo hadi upinzani wameliona.

HONGERA S.M WASIRA.
 
Lowasa hana uwezo wa kuliongea la Escrow wakati yake yamemjaa na anajaribu kujisafisha.
Lowasa alikuwa anaombea Escrow lihalibike japo wawe wengi wachafu ma yeye atumie nafasi hiyo kujiwekea mazingira ya kuonekana msafi...
 
Kwa mfano umepita njiani halafu unamuona Tembo anamkanyaga sisimizi na unaskia kabisa sisimizi analalamika halafu ww unapita km hujaona kitu basi ujue ww uko upande mmoja na Temboz
 
Back
Top Bottom