Kwa muda mrefu hawa wapiga debe wamekuwa sio tu kero bali pia wanaongeza kupanda kwa nauli za mabasi.
Yaani hata wenye vyombo vya usafiri twawaogopa. Hata ukiwa na gari yako binafsi huwezi kuchukua abiria au hata kumpa lifti jamaa yako kwa kuwa tu wao huwa wanajimilikisha hao abiria na ukithubutu kuchukua abiria wako tayari kupasua vioo vya gari lako.
Pendekezo la suluhisho:
SUMATRA wapitie upya nauli za mabasi, wapunguze ili kupunguza nguvu ya wenye mabasi kuwapa cha juu wapiga debe,
Ni kwa wenye mabasi hutoza nauli halali kama ilivyopangwa na SUMATRA, lkn wao wanachukua kama 80% na inayobaki huwa
ya wapiga debe.
Nimekuwa ikisafiri na gari yangu nnapotaka kuchukua abiria ni lazima mpiga debe aingilie kati. Anakupangia nauli, yeye anakusanya
kutoka kwa abiria halafu anakata karibia Nusu! Inauma sana kwa kweli!!
Gari langu,
Mafuta yangu
Abiria nimewaona mwenyewe Barabarani,
Wamekuja kwa hiari yao,
Halafu wahuni fulani wananini nini sijui.. Ah!!
Yaani hata wenye vyombo vya usafiri twawaogopa. Hata ukiwa na gari yako binafsi huwezi kuchukua abiria au hata kumpa lifti jamaa yako kwa kuwa tu wao huwa wanajimilikisha hao abiria na ukithubutu kuchukua abiria wako tayari kupasua vioo vya gari lako.
Pendekezo la suluhisho:
SUMATRA wapitie upya nauli za mabasi, wapunguze ili kupunguza nguvu ya wenye mabasi kuwapa cha juu wapiga debe,
Ni kwa wenye mabasi hutoza nauli halali kama ilivyopangwa na SUMATRA, lkn wao wanachukua kama 80% na inayobaki huwa
ya wapiga debe.
Nimekuwa ikisafiri na gari yangu nnapotaka kuchukua abiria ni lazima mpiga debe aingilie kati. Anakupangia nauli, yeye anakusanya
kutoka kwa abiria halafu anakata karibia Nusu! Inauma sana kwa kweli!!
Gari langu,
Mafuta yangu
Abiria nimewaona mwenyewe Barabarani,
Wamekuja kwa hiari yao,
Halafu wahuni fulani wananini nini sijui.. Ah!!