Serikali ina sukari ya kutosha, watakaouza sukari bei juu watafutiwa leseni zao

Serikali ina sukari ya kutosha, watakaouza sukari bei juu watafutiwa leseni zao

Mkurugenzi wa bodi ya sukari Prof. Kenneth Bengesi amesema serikali ina sukari ya kutosha, na serikali imeshagiza tani 40,000 imeshaingia nchini na imeanza kupakuliwa tangu Aprili 15 bandarini

Pia amewataka wafanya biashara kufuata bei elekezi, na wale watakaokiuka wakigundulika watafutiwa leseni za kuendesha biashara

Amesema serikali haiko tayari kuona watu wake wanapata shida kwa tatizo ambal limetengenezwa na wafanyabiashara. Zaidi ya tani 10000 zitaingia mtaani kuanzia Aprili 17


Anaitwa Eng. Stella Manyanya ni Naibu Waziri wa kilimo, biashara na uwekezaji, anasema kama HUMUDU bei ya sukari tumia ASALI kwanza sukari sio nzuri kwa AFYA.

Haa ukiamua kunywa chai kwa muwa au pipi fresh tu yaaani.

My life is mine to remember
 
Mimi nawashauri kama unapesa nunua sukar yako ya kutosha hata miez 6 tunza ndani. Nimenunua kagunia 50 kg nmetunza mapema.

Hili swala la sukari hii serikali haijawai kulishinda na usawa huu wa korona ndyo itaangukia za pua. Tumeshakiri kuwa uzalishaji wa ndani hauwezi kidhi mahitaji ya sukar hapa nchini. Hivyo bac importatiin ni lazima. Kwa usawa huu ambao nchi zmegmfunga mipaka tunatoa wapi iyo sukari. Tena kumbuka ni bidhaa ya category ya chakula ambayo mara nyingi kwenye majanga nchi nying huzuia kuexport vyakula vyao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Le Professeur,
Bei elekezi ya sukari kwa mujibu wa BODI ya Sukari ni shilingi ngapi?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom