Serikali ina wajibu wa kuzuia matangazo ya kibiashara ya kidini/imani kwenye vyombo vya habari kulinda raia wake

Serikali ina wajibu wa kuzuia matangazo ya kibiashara ya kidini/imani kwenye vyombo vya habari kulinda raia wake

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Niliwahi kuambiwa hospitali na zahanati huwa zinabanwa kufanya matangazo ya kibiashara kuvutia wateja kwenye vyombo vya habari kwa sababu za kimaadili ya afya, sina uhakika kama kuna sheria au kanuni rasmi katika kuratibu matangazo yao lakini huu ni utaratibu ambao ungefaa zaidi kwa "huduma za kidini"

Vyombo vingi vya habari(radio na TV) siku hizi vina matangazo ya kibiashara ya makanisa mbalimbali hasa haya ya manabii wa kisasa yakihamasisha watu kufika katika makanisani au katika mikutano yao kupata utatuzi wa shida zao na kubarakiwa. Pia kuna masheikh mbalimbali wamekuwa kwenye vyombo vya habari wakitangaza huduma zao.

Serikali izuie matangazo yote ya aina hiyo kwa sababu madai ya hayo makanisa na ma-sheikh ni mambo yasiyoweza kuthibitishwa kwa aina yoyote ile na serikali yenyewe. Yanaweza kuwa na mambo ya hadaa na utapeli tu au vinginevyo na serikali inao wajibu wa kuzuia raia wake kuingiziwa kwenye aina yoyote ile ya utapeli.
 
Niliwahi kuambiwa hospitali na zahanati huwa zinabanwa kufanya matangazo ya kibiashara kuvutia wateja kwenye vyombo vya habari kwa sababu za kimaadili ya afya, sina uhakika kama kuna sheria au kanuni rasmi katika kuratibu matangazo yao lakini huu ni utaratibu ambao ungefaa zaidi kwa "huduma za kidini"

Vyombo vingi vya habari(radio na TV) siku hizi vina matangazo ya kibiashara ya makanisa mbalimbali hasa haya ya manabii wa kisasa yakihamasisha watu kufika katika makanisani au katika mikutano yao kupata utatuzi wa shida zao na kubarakiwa. Pia kuna masheikh mbalimbali wamekuwa kwenye vyombo vya habari wakitangaza huduma zao.

Serikali izuie matangazo yote ya aina hiyo kwa sababu madai ya hayo makanisa na ma-sheikh ni mambo yasiyoweza kuthibitishwa kwa aina yoyote ile na serikali yenyewe. Yanaweza kuwa na mambo ya hadaa na utapeli tu au vinginevyo na serikali inao wajibu wa kuzuia raia wake kuingiziwa kwenye aina yoyote ile ya utapeli.
Kwani raia wao ni mbumbumbu hawezi kujua uongo na ukweli?
 
Niliwahi kuambiwa hospitali na zahanati huwa zinabanwa kufanya matangazo ya kibiashara kuvutia wateja kwenye vyombo vya habari kwa sababu za kimaadili ya afya, sina uhakika kama kuna sheria au kanuni rasmi katika kuratibu matangazo yao lakini huu ni utaratibu ambao ungefaa zaidi kwa "huduma za kidini"

Vyombo vingi vya habari(radio na TV) siku hizi vina matangazo ya kibiashara ya makanisa mbalimbali hasa haya ya manabii wa kisasa yakihamasisha watu kufika katika makanisani au katika mikutano yao kupata utatuzi wa shida zao na kubarakiwa. Pia kuna masheikh mbalimbali wamekuwa kwenye vyombo vya habari wakitangaza huduma zao.

Serikali izuie matangazo yote ya aina hiyo kwa sababu madai ya hayo makanisa na ma-sheikh ni mambo yasiyoweza kuthibitishwa kwa aina yoyote ile na serikali yenyewe. Yanaweza kuwa na mambo ya hadaa na utapeli tu au vinginevyo na serikali inao wajibu wa kuzuia raia wake kuingiziwa kwenye aina yoyote ile ya utapeli.
Betting kwenyewe?
 
Kwani raia wao ni mbumbumbu hawezi kujua uongo na ukweli?
Pipo zinapenda miujiza kinyama. Ukiziambia kuna upigaji kwenye kodi zetu tuukatae kuongezewa shilingi 10 kwenye zutu zitakushangaa kinyama ila nabii mkuda akiziambia zinunue fruto za mchongo kuwa ni damu ya Yesu kwa ten ten fresh zinakimbilia.

Sasa unajiuliza hata kama walimkill huyo yesu wakachukua damu yake ili iwe ukombozi kwa maraia mbona zinauzwa chupa za 0.5lts zaidi ta buku kila siku.

Ina maana huyo jamaa alikuwa na ukubwa gani mpaka mwili wake uwe na damu shazi kiasi iko?

Hivi uwaga ni watu au mazombie?
 
Kwani raia wao ni mbumbumbu hawezi kujua uongo na ukweli?
Wapo raia wengi sana mbumbumbu wasioweza kutofautisha ukweli na uongo, pia mambo ya imani, uganga na uchawi serikali haiwezi kuyathibitisha au kuyabainisha hivyo haipaswi kuachia media ku promote tu hovyo hovyo.
 
Betting kwenyewe?
Matangazo ya Betting yanakuwa regulated kama ya pombe na sigara.
Kwenye tangazo la betting wanatakiwa kusema beti kistaarabu, kwenye pombe wanatakiwa kusema kunywa kistaarabu na hairuhusiwi chini ya umri wa miaka 18, hivyo pia kwenye sigara wanapaswa kuweka onyo "uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako"
 
Kumbe ndiyo maana hata yenyewe iliwahi kupigia upatu nyungu hadharani na bila ya chembe ya aibu?
Ule ulikuwa ukiukwaji wa maadili ya afya na ki-dakatari.
 
Je, unafahamu kwamba serikali ni mnufaika mkubwa wa uwepo wa hizo dini na madhehebu yake kuliko wananchi wenyewe?

Uwepo wa hayo madhehebu na dini unasaidia kuwapumbaza na kufubaza fikra pevu za wananchi, na kupelekea wananchi kuamini katika uchawi, ushirikina au miujiza inayopatikana kwenye dini au kwenye Imani.

Ukitaka kuamini angalia jinsi hao viongozi wa dini wanavyopewa promo na kusapotiwa na serikali.
 
Matangazo ya Betting yanakuwa regulated kama ya pombe na sigara.
Kwenye tangazo la betting wanatakiwa kusema beti kistaarabu, kwenye pombe wanatakiwa kusema kunywa kistaarabu na hairuhusiwi chini ya umri wa miaka 18, hivyo pia kwenye sigara wanapaswa kuweka onyo "uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako"
Kwenye dini wawe wanasemaje sasa?
 
Je, unafahamu kwamba serikali ni mnufaika mkubwa wa uwepo wa hizo dini na madhehebu yake kuliko wananchi wenyewe?

Uwepo wa hayo madhehebu na dini unasaidia kuwapumbaza na kufubaza fikra pevu za wananchi, na kupelekea wananchi kuamini katika uchawi, ushirikina au miujiza inayopatikana kwenye dini au kwenye Imani.

Ukitaka kuamini angalia jinsi hao viongozi wa dini wanavyopewa promo na kusapotiwa na serikali.
Good Idea💡💡💡 lights in the 🌑 dark 👏
 
Wapo raia wengi sana mbumbumbu wasioweza kutofautisha ukweli na uongo, pia mambo ya imani, uganga na uchawi serikali haiwezi kuyathibitisha au kuyabainisha hivyo haipaswi kuachia media ku promote tu hovyo hovyo.
Itazuiaje na huku serikali na yenyewe ni miongoni ya wachangia sadaka na wanashiriki kwenye hayo makanisa ? 🤔
 
Mkuu hili suala lako linahitaji mwanadamu mwenye upeo mkubwa wa akili ataelewa bila hivyo hakuna utakacho elewa.
 
Ule ulikuwa ukiukwaji wa maadili ya afya na ki-dakatari.

Hawana ethics hao vinginevyo hata haya matangazo ya tiba za kienyeji kuvutia wateja yasingekuwapo.

Fika ocean road kuona wagonjwa walivyo cheleweshwa kwa waganga wa kienyeji au kujua kiasi cha pesa walichoporwa.

Vivyo hivyo wagonjwa waliocheleweshwa kwenye maombezi.

Kwani nani asiyejua kuwa maombezi na tiba za magonjwa ya kisukari, HIV, Kansa na mengi lukuki mi upigaji wa mchana kweupe?

Kwamba ni serikali, Umur H. au Chura kiziwi hawajui?

Zingatia huko kuna wapiga kura wao.

They don't care about us!
 
Hawana ethics hao vinginevyo hata haya matangazo ya tiba za kienyeji kuvutia wateja yasingekuwapo.

Fika ocean road kuona wagonjwa walivyo cheleweshwa kwa waganga wa kienyeji au kujua kiasi cha pesa walichoporwa.

Vivyo hivyo wagonjwa waliocheleweshwa kwenye maombezi.

Kwani nani asiyejua kuwa maombezi na tiba za magonjwa ya kisukari, HIV, Kansa na mengi lukuki mi upigaji wa mchana kweupe?

Kwamba ni serikali, Umur H. au Chura kiziwi hawajui?

Zingatia huko kuna wapiga kura wao.

They don't care about us!
Wanahitaji kusisitiziwa tena na tena kujali zaidi maslahi mapana ya taifa kuliko maslahi ya mtu mmoja mmoja.
 
Wazuie kabisa, kama haiwezekani wavitake vyombo vya habari kuweka disclaimer "shuhuda hizi ni kwa mujibu wa nabii na wale waliowahi kuhudhuria lakini hazijathibitishwa"
Ujue itasababisha mtafaruki kati ya serikali na manabii hao ila yazuiwe tu maana naona niupotevu wa muda bora hiyo nafasi ya hayo matangazo waitumie kutangaza katiba mpya ila najua haitowezekana
 
Ujue itasababisha mtafaruki kati ya serikali na manabii hao ila yazuiwe tu maana naona niupotevu wa muda bora hiyo nafasi ya hayo matangazo waitumie kutangaza katiba mpya ila najua haitowezekana
Katika ku-regulate dini tunahitaji kuchukua njia ya China, wamefanikiwa sana katika hilo.
 
Katika ku-regulate dini tunahitaji kuchukua njia ya China, wamefanikiwa sana katika hilo.
Yaani mwisho wa siku natamani lingekuwepo gonjwa la ufahamu linalo ambukizwa ili watu watoke kwenye ujinga
 
Wapo raia wengi sana mbumbumbu wasioweza kutofautisha ukweli na uongo, pia mambo ya imani, uganga na uchawi serikali haiwezi kuyathibitisha au kuyabainisha hivyo haipaswi kuachia media ku promote tu hovyo hovyo.
Wale Wana nguvu za hayo maji Yao na vitu vyao vina nguvu za Giza za kukufanya uwe robot Kila kitu ukiambiwa wewe ni yes tu.


Omba sana mzazi wako asitekwe na hao manabii wa mchongo
 
Back
Top Bottom