Serikali inaagiza sukari nje karibu kila mwaka wakati Tanzania inaweza kuwa inaongoza kwa uzalishaji wa muwa unaoachwa ufie shambani

Serikali inaagiza sukari nje karibu kila mwaka wakati Tanzania inaweza kuwa inaongoza kwa uzalishaji wa muwa unaoachwa ufie shambani

Ndata

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2017
Posts
226
Reaction score
329
Serikali inaagiza sukari nje karibu kila mwaka wakati Tanzania inaweza kuwa inaongoza kwa uzalishaji wa muwa unaoachwa ufie shambani kwa maslahi ya wachache.

Mwaka 2022 nimechoma zaidi ya tani elfu moja kwa kigezo cha muwa umepitiliza muda wa kutengeneza sukari. Tani elfu moja ni tunaongelea million 40 baada ya makato yote.

Huu ni mchezo unaofanywa na Kagera Sugar wakishirikiana na vyama vya ushirika kumuumiza mkulima aachane na muwa ili Kagera Sugar aendelee kwa kutumia muwa anaolima mwenyewe.

Mwaka huu ratiba inaonyesha nilitakiwa kuvuniwa tar 30 june ila mpaka sasa July inaenda mwishoni sijaona navuniwa wala kupewa habari yoyote.

Bashe na wizara yake wapo kimya, serikali ya Ccm ipo kimya mkulima akiendelea kunyanyaswa.

Ni kwanini wakulima wa muwa wasipewe vibali kuuza muwa nje ya nchi kama mazao mengine?

Wakati wakulima wa Morogoro wakilipwa 108000 kwa Tani Kagera bado tani inalipwa elfu 70 na bado mkulima havuniwi mpaka muwa unachomwa moto kuteketezwa.

Wana jamii forum nawaomba tuutembeze huu uzi mpaka uwafikie wahusika.


 
Serikali inaagiza sukari nje karibu kila mwaka wakati Tanzania inaweza kuwa inaongoza kwa uzalishaji wa muwa unaoachwa ufie shambani kwa maslahi ya wachache.

Mwaka 2022 nimechoma zaidi ya tani elfu moja kwa kigezo cha muwa umepitiliza muda wa kutengeneza sukari. Tani elfu moja ni tunaongelea million 40 baada ya makato yote.

Huu ni mchezo unaofanywa na Kagera Sugar wakishirikiana na vyama vya ushirika kumuumiza mkulima aachane na muwa ili Kagera Sugar aendelee kwa kutumia muwa anaolima mwenyewe.

Mwaka huu ratiba inaonyesha nilitakiwa kuvuniwa tar 30 june ila mpaka sasa July inaenda mwishoni sijaona navuniwa wala kupewa habari yoyote.

Bashe na wizara yake wapo kimya, serikali ya Ccm ipo kimya mkulima akiendelea kunyanyaswa.

Ni kwanini wakulima wa muwa wasipewe vibali kuuza muwa nje ya nchi kama mazao mengine?

Wakati wakulima wa Morogoro wakilipwa 108000 kwa Tani Kagera bado tani inalipwa elfu 70 na bado mkulima havuniwi mpaka muwa unachomwa moto kuteketezwa.

Wana jamii forum nawaomba tuutembeze huu uzi mpaka uwafikie wahusika.

Waletee miwa Dar wanywe juice ya miwa
 
Serikali inaagiza sukari nje karibu kila mwaka wakati Tanzania inaweza kuwa inaongoza kwa uzalishaji wa muwa unaoachwa ufie shambani kwa maslahi ya wachache.

Mwaka 2022 nimechoma zaidi ya tani elfu moja kwa kigezo cha muwa umepitiliza muda wa kutengeneza sukari. Tani elfu moja ni tunaongelea million 40 baada ya makato yote.

Huu ni mchezo unaofanywa na Kagera Sugar wakishirikiana na vyama vya ushirika kumuumiza mkulima aachane na muwa ili Kagera Sugar aendelee kwa kutumia muwa anaolima mwenyewe.

Mwaka huu ratiba inaonyesha nilitakiwa kuvuniwa tar 30 june ila mpaka sasa July inaenda mwishoni sijaona navuniwa wala kupewa habari yoyote.

Bashe na wizara yake wapo kimya, serikali ya Ccm ipo kimya mkulima akiendelea kunyanyaswa.

Ni kwanini wakulima wa muwa wasipewe vibali kuuza muwa nje ya nchi kama mazao mengine?

Wakati wakulima wa Morogoro wakilipwa 108000 kwa Tani Kagera bado tani inalipwa elfu 70 na bado mkulima havuniwi mpaka muwa unachomwa moto kuteketezwa.

Wana jamii forum nawaomba tuutembeze huu uzi mpaka uwafikie wahusika.

Kiini Cha kuwepo kwa matatizo hayo yote ni kutokana na kuwepo kwa Utawala mbaya wa nchi usiowajibika kwa Wananchi.
 
Bad enough nasikia muwa wa kuzalisha sukari hauwezi kutumika kwa matumizi mengine kama kula na kutengenezea juisi.
Ila mkuu una moyo sana na icho kilimo unaonekana ni digala fulani au icho kilimo kilishakupa fedha huko nyuma kwa maana mimi nisingweza kurudia tena kulima aisee kwa hasara hiyo.
 
Arusha vyama vya ushirika vilituletea za kuleta kwenye kahawa tukazing'oa tukaachana na hicho kilimo na maisha yanaendelea poa bila kahawa.
 
Kagera sugar na serikali wanapaswa kukaa chini na kumaliza tofauti zao, kinyume na hapo wakulima wa miwa wanaendelea kuumia, hadi tarehe ya leo mashamba mengi yamejaa miwa, ni muda wa kuvuna ila kasi ya uvunaji ni ndogo sana, mvua zinaanza kunyesha na miwa itaharibikia shambani kama msimu uliopita. Kibaya zaidi aridhi kubwa na sehemu kubwa wilayani Missenyi-Kagera watu wamejaza miwa lakini hali ni tete. PIA wakulima wapaswa kustuka wasiendelee na kulima miwa maana Kagera Sugar amekuwa namashamba mengi sana na makubwa sana kiasi kwamba hana uhitaji sana na wakulima wa nje. Wakulima warudi kwenye kilimo cha Kahawa maana msimu mwaka huu Kagera kahawa imekuwa na bei kubwa sana ambayo kwa miaka ya hivi karibuni haijawahi kutokea MAANA KILO MOJA IMEUZWA HADI 5200.
 
Biashara ya sukari kutoka Nje ni ya kimafia tu kwa ajili ya watu wachache wapate Tanzania haina uhaba wa sukari wala mafuta pana wahuni wanachezea hizo mambo toka muda mrefu.
 
Kagera sugar na serikali wanapaswa kukaa chini na kumaliza tofauti zao, kinyume na hapo wakulima wa miwa wanaendelea kuumia, hadi tarehe ya leo mashamba mengi yamejaa miwa, ni muda wa kuvuna ila kasi ya uvunaji ni ndogo sana, mvua zinaanza kunyesha na miwa itaharibikia shambani kama msimu uliopita. Kibaya zaidi aridhi kubwa na sehemu kubwa wilayani Missenyi-Kagera watu wamejaza miwa lakini hali ni tete. PIA wakulima wapaswa kustuka wasiendelee na kulima miwa maana Kagera Sugar amekuwa namashamba mengi sana na makubwa sana kiasi kwamba hana uhitaji sana na wakulima wa nje. Wakulima warudi kwenye kilimo cha Kahawa maana msimu mwaka huu Kagera kahawa imekuwa na bei kubwa sana ambayo kwa miaka ya hivi karibuni haijawahi kutokea MAANA KILO MOJA IMEUZWA HADI 5200.
Shida hivi viwanda vya ndani vitolewe kinga au viuawe kabisa maana havina maslai Kwa taifa
 
Bad enough nasikia muwa wa kuzalisha sukari hauwezi kutumika kwa matumizi mengine kama kula na kutengenezea juisi.
Ila mkuu una moyo sana na icho kilimo unaonekana ni digala fulani au icho kilimo kilishakupa fedha huko nyuma kwa maana mimi nisingweza kurudia tena kulima aisee kwa hasara hiyo.
Hiyo miwa ya sukari tumeitafuna sana, nikiwa mjini mang'ula Morogoro
 
Michezo ya kihuni yoote, kuna watu wanahusika serikalink, aidha moja kwa moja ama kubariki.
 
Kagera sugar na serikali wanapaswa kukaa chini na kumaliza tofauti zao, kinyume na hapo wakulima wa miwa wanaendelea kuumia, hadi tarehe ya leo mashamba mengi yamejaa miwa, ni muda wa kuvuna ila kasi ya uvunaji ni ndogo sana, mvua zinaanza kunyesha na miwa itaharibikia shambani kama msimu uliopita. Kibaya zaidi aridhi kubwa na sehemu kubwa wilayani Missenyi-Kagera watu wamejaza miwa lakini hali ni tete. PIA wakulima wapaswa kustuka wasiendelee na kulima miwa maana Kagera Sugar amekuwa namashamba mengi sana na makubwa sana kiasi kwamba hana uhitaji sana na wakulima wa nje. Wakulima warudi kwenye kilimo cha Kahawa maana msimu mwaka huu Kagera kahawa imekuwa na bei kubwa sana ambayo kwa miaka ya hivi karibuni haijawahi kutokea MAANA KILO MOJA IMEUZWA HADI 5200.
5200 maganda au iliyokoborewa??
 
Haya ndo mambo serikali ya Jamuhuri ya Jamaica ingekuwa inafanyia kazi, sio watu kupotea tu...lkn kuwapoteza watu kwenye lindi la fanaka na maisha bora hakuna. Mimi huwa najiuliza kuna utitiri wa viongozi, wanaendeshwa kwenye migari mikubwa, ving'ora..na wengine wakiwa kwenye migari mizito kimyakimya - hawa wote kazi yao ni nini?? Maana kila upande wa Jamaica watu wanalalamika - wengine ndo hao wa miwa, wengine mara wanapotea na hakuna anayesema chochote, bado kuna issue ya madawati mpaka leo, ajira linazidi kuwa janga, in 5 years vijana watakuwa wengi kupita kawaida lkn huoni haya mambo kama yanashughurikiwa...65% ya watu wote ni vijana below 30 huko....hawa wote wataenda wapi kama hakuna viwanda au taasisi imara za wazawa kwa ajili ya kuisaidia serikali..
Tunaujanja mwingi sana wakati mafanikio yoyote hata ya nchi hayana short cut....mfano:
1.Kwa nini pasiwepo na msukumo wa lazima wa kutengeneza mazingira mazuri kwa wakulima na wafugaji, tusindike nyama wenyewe hapa, viwanda hata vitano tu, maziwa yapi mpaka yanamwagika watu hawana ujuzi hata wa kuexport - soko ni kama hakuna tu...
Kuna sehemu kuna shida
 
Kagera sugar na serikali wanapaswa kukaa chini na kumaliza tofauti zao, kinyume na hapo wakulima wa miwa wanaendelea kuumia, hadi tarehe ya leo mashamba mengi yamejaa miwa, ni muda wa kuvuna ila kasi ya uvunaji ni ndogo sana, mvua zinaanza kunyesha na miwa itaharibikia shambani kama msimu uliopita. Kibaya zaidi aridhi kubwa na sehemu kubwa wilayani Missenyi-Kagera watu wamejaza miwa lakini hali ni tete. PIA wakulima wapaswa kustuka wasiendelee na kulima miwa maana Kagera Sugar amekuwa namashamba mengi sana na makubwa sana kiasi kwamba hana uhitaji sana na wakulima wa nje. Wakulima warudi kwenye kilimo cha Kahawa maana msimu mwaka huu Kagera kahawa imekuwa na bei kubwa sana ambayo kwa miaka ya hivi karibuni haijawahi kutokea MAANA KILO MOJA IMEUZWA HADI 5200.
Je wakulima wakishirikiana kuanzisha kiwanda kidogo cha sukari itakuwaje?
 
Serikali inaagiza sukari nje karibu kila mwaka wakati Tanzania inaweza kuwa inaongoza kwa uzalishaji wa muwa unaoachwa ufie shambani kwa maslahi ya wachache.

Mwaka 2022 nimechoma zaidi ya tani elfu moja kwa kigezo cha muwa umepitiliza muda wa kutengeneza sukari. Tani elfu moja ni tunaongelea million 40 baada ya makato yote.

Huu ni mchezo unaofanywa na Kagera Sugar wakishirikiana na vyama vya ushirika kumuumiza mkulima aachane na muwa ili Kagera Sugar aendelee kwa kutumia muwa anaolima mwenyewe.

Mwaka huu ratiba inaonyesha nilitakiwa kuvuniwa tar 30 june ila mpaka sasa July inaenda mwishoni sijaona navuniwa wala kupewa habari yoyote.

Bashe na wizara yake wapo kimya, serikali ya Ccm ipo kimya mkulima akiendelea kunyanyaswa.

Ni kwanini wakulima wa muwa wasipewe vibali kuuza muwa nje ya nchi kama mazao mengine?

Wakati wakulima wa Morogoro wakilipwa 108000 kwa Tani Kagera bado tani inalipwa elfu 70 na bado mkulima havuniwi mpaka muwa unachomwa moto kuteketezwa.

Wana jamii forum nawaomba tuutembeze huu uzi mpaka uwafikie wahusika.

Maskini ili afanikiwe lazima viongozi waache roho mbaya katika mambo yote ya msingi ndani ya taifa
 
Je wakulima wakishirikiana kuanzisha kiwanda kidogo cha sukari itakuwaje?
Huo mlolongo na vikwazo watakavyokutana navyo hadi kiwanda kianzishwe watakuwa hoi bin taaban maana kagera sugar hatakubali maslahi yake kuguswa ana connection tayari serikalini na kwa vigogo wa nchi.TUKO KWENYE NCHI YENYE VIONGOZI WA OVYO SANA

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
Hivi haiwezekani vikaanzishwa viwanda vidogo vya kuchakata sukari kikubwa mtu alipe Kodi inayoendana na uwezo wake wa uzalishaji
 
Back
Top Bottom