Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 3,644
- 4,315
Duh! Tatizo letu sio upungufu bali ni kushindwa kuwa na mipango inayohimili misimu yote. Ya miwa mingi na ya miwa kidogo.
Ndiyo maana zikinyesha mvua umeme unakatika kisa maji yamezidi na zikipungua pia umeme unakata kwamba maji hayatoshi.
Kwa watu wenye akili tatizo linabidi libakie moja tu au yasiwepo yote. Kuwepo kwa matatizo yote ni upungufu wa akili tu ya kuyatawala mazingira
Hiyo miwa kama vipi ikizidi tuzalishie pombe tupunguze utegemezi wa petroli kutika nje. Mambo ya kufanya ni mengi tu tukiweka akili hapo.
Ndiyo maana zikinyesha mvua umeme unakatika kisa maji yamezidi na zikipungua pia umeme unakata kwamba maji hayatoshi.
Kwa watu wenye akili tatizo linabidi libakie moja tu au yasiwepo yote. Kuwepo kwa matatizo yote ni upungufu wa akili tu ya kuyatawala mazingira
Hiyo miwa kama vipi ikizidi tuzalishie pombe tupunguze utegemezi wa petroli kutika nje. Mambo ya kufanya ni mengi tu tukiweka akili hapo.