Sote tutambue kwamba penye motisha mtu anapambana kikwelikweli je serikali inaweza ikanena lolote kwa vjana hata bodaboda mojamoja au mabati au cementi na hakika watapambana mpira kwa nguvu zote Mimi nahahidi mfuko mmoja wa
Kwa kweli wikiend yangu mbaya niliagiza wine dodoma nifurahie wikend na Taifa stars daaaaa yaaani beki inakata mauno wote wanaelekea upande mmoja,huyu Samatha ndio mzembe kabisa goli la kwanza walitakiwa kurudi nyuma wameganda tu,Sasa naomba kwa heshima hii timu ipelekwe lugalo ikasaidie vikazi vidogodogo......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.